1. Kama ulivyosema, UONGOZI/viongozi wanachaguliwa/ wanatafutwa na mtu hatafuti uongozi.
2. Sasa kama uongozi unatafutwa na chama na siyo individual, na wewe ni mmoja wa senior members wa CCM na ulishiriki katika mchakato wa kumpata Mgombea Mwenza, kweli mlikubaliana kuwa huyu mama anaweza...
Hadi sasa nipo njiapanda sijui nishike wapi, kwanza nina uchungu kwa tunayofanyiwa na tuliofanyiwa na tutakayofanyiwa yani nimechanganyikiwa hadi pumzi inatoka kwa shida kila nikizunguka Jf ,X, Ig , hasira zimejaa kifuani kinataka kupasuka.
Kwanini sisi wapole tunaonewa hivi au sisi ni...
Mimi nimelazwa regency hospital wiki ya pili sasa nina shida ya kifua sasa oxygen kilasiku inashuka nimewekewa oxygen lakini still inashuka leo imefika 68 naombeni msaada nipewe rufaa mloganzila maana naona hapa sipati huduma nzuri sina mtu wa kunisaidia kutoka hapa ninatumia bima ya nhif ya...
Habariini.
Natumia Infinix hot 30i.
Ninatumia sim cards mbili halotel na Vodacom.
Shida ipo hivi nimechagua sim 1 ambayo ni halotel kutuma meseji.Sasa nikituma meseji inaenda kwenye upande WA Vodacom ambapo sijaset Vodacom kutuma ujumbe.Shida itakuwa nini niendelee kutuma sms sim card 1 ya...
Wakuu hbr za Leo naombeni msaada mnielimishe kuhusu taasisi ya NIMR kuhusu ajira zake huwa zinatangazwa na kwa degree ya lab technician anaeanza mshahara wake ni kiasi gan
Hbr za Leo wakuu naombeni msaada mnielimishe kuhusu taasisi ya NIMR kuhusu ajira zake huwa zinatangazwa ? Na vip kuhusu mishahara kwa upande wa degree ya lab technician anaeanza?
Habari wana jukwaa wa jf.
Mimi naomba ushauri juu ya swala langu kama ifuatavyo.
Kuna kampuni nilikuwa nafanya kazi kwa kipindi cha miaka minne sasa mpaka ilipofika tarehe 11/7/2025 nilipoachishwa kazi kwa kosa la upotevu wa mafuta Lita 20 kwa kuambiwa nimeweka Lita 60 badala ya Lita 80 ambazo...
Litakuwa jambo jema sana.
Walimu wanaishi vijinini hawana nyumba.
Manesi na madaktari wanangaika vijijini kuokoa maisha ya watu.
Hakuna anayepewa hata sh tano kama motisha.
Leo stars afungwe tano bila
Kutwa nikisema hapa kuwa Vijana wa leo acheni Kuwadharau Wazee na kuendekeza Uzungu kwani Uzee ni Dawa nami pia mnaniona nimepitwa na wakati.
Haya sasa hebu Kuleni Chuma kikali hiki!!!
Mara nyingi usiku nikilala huwa sipati kabisa ndoto au nikiota asubuhi nakua nimesahau nilichoota.
Ila jana usiku nimeota ndoto ambayo imenitisha na naikumbuka kwa sehemu kubwa, siku nzima nimejaribu kuwa bize ili kuisahau ila imegoma kabisa kutoka kichwani na kuna kitu kinanisukuma niisimulie...
Hivi ni simu gani model ya Samsung galaxy nzuri yenye uwezo wa kupiga picha, kuitumia kama cctv na mambo mengine kama hayo?
Bei yake ni she ngapi?
Naomba kujua kwa anayeelewa please.
Wakuu habari...naomba msaada nielekezeni jinsi ya ku Post thread kwa picha au video
pia jinsi ya ku save picha kwa account yangu
Naomba KUELEKEZWA si kwa ubaya 🙏🏾
Wakuu habari zenu.
Kuna jambo ningetamani kupata muongozo na ikiwezekana nijipange tupate mwanasheria mzuri wa kesi za kuzurumiwa nyumba, tena aliefanya hichi kitendo ni hakimu mstaafu,na ndio sababu hata hakimu alieamua kesi akafanya maamuzi ya kujuana na kupindisha sheria nyumba akapewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.