Sawa mbona ukitumia google ni yale yale kama hiyo hiyo crome wakati wa ku sachiTofauti kati ya Google na Chrome ni kama ifuatavyo:
Google:
- Ni kampuni (Google LLC).
- Inamiliki huduma nyingi kama Gmail, YouTube, Google Maps, Google Drive n.k.
- Pia ni jina la search engine maarufu (Google Search).
- Unapotafuta kitu mtandaoni, mara nyingi unatumia Google.
Chrome:
- Ni browser (kivinjari cha mtandao) kilichotengenezwa na Google.
- Kinatumika kufungua tovuti, kutazama video, na kufanya kazi mtandaoni.
- Chrome hutumia Google Search kwa chaguo msingi (default).
Kwa ufupi:
Google ni kampuni na huduma ya kutafuta,
Chrome ni kivinjari cha mtandao kilichotengenezwa na Google.
Mwalimu wako shuleni alikua na kazi sana, ulikua B au CSawa mbona ukitumia google ni yale yale kama hiyo hiyo crome wakati wa ku sachi
Ni kampuni moja ya google ndo inamilik chromeKwa maana gani wakati zote zinafany kazi moja
Ahaa.Chrome upande wa kulia kuna vidoti vitatu,ukigusa hapoa italeta orodha ya machaguo,katika hayo kuna "desktop site" na pembeni yake kuna kiboksi cha kutiki,kazi ya hio desktop site ni nini?
Unatumia Browser yako kama ukiwa kwenye Laptop ukubwa wakeChrome upande wa kulia kuna vidoti vitatu,ukigusa hapoa italeta orodha ya machaguo,katika hayo kuna "desktop site" na pembeni yake kuna kiboksi cha kutiki,kazi ya hio desktop site ni nini?
Asante kwa ufafanuziUnatumia Browser yako kama ukiwa kwenye Laptop ukubwa wake
Ukutumia kawaida ukubwa wa website unakuwa saw sawa na simu ila ukiweka desktop ni sawa sawa na umefungulia Pc hata website inakuwa ndogo sana haitoshi kwenye screen ya simu
Asante kwa ufafanuziUnatumia Browser yako kama ukiwa kwenye Laptop ukubwa wake
Ukutumia kawaida ukubwa wa website unakuwa saw sawa na simu ila ukiweka desktop ni sawa sawa na umefungulia Pc hata website inakuwa ndogo sana haitoshi kwenye screen ya simu
Ni sawa na kusema chawa na ccmBinafsi sijajua tofauti yake maana naonaga zote kama ni sawa maana ukiingia goole unapata na ukiingia crome unapata.
Je, kuna tofauti nyingine?
View attachment 3487656
Sawa mbona ukitumia google ni yale yale kama hiyo hiyo crome wakati wa ku sachi