Wakuu kwema habari zenu vipi Poleni sana na majukumu wakuu,
Ndugu yenu mdau wa Jamiiforum nakufa njaa nimeazisha Uzi wa dagaa na samaki mnipatie kazi niwatafutie lakini Naona kimya sana wakuu, Mimi ndo nimeanza Sina mtaji nimeamua kujiajiri ziwani kwa kuwatafutia samaki na dagaa,
Ili...