Mimi ni mwanamke lakini nina mchumba anaitwa X tulikua tunafanya kazi mkoa wa Ruvuma Songea kwa sasa yeye anahamia mkoa wa Njombe kikazi pia na itakua permanent place yake
Hofu yangu ni mahusiano kuvunjika
Ushauri wenu japo anasema ananipenda umbali Sio shida, nawaza atanisahau akienda huko...