Ibudigital
JF-Expert Member
- May 11, 2020
- 323
- 653
Heshima kwenu wakuu!
Nahitaji developers watatu (3) wasio na ajira rasmi, kuna kazi watatakiwa kuifanya na baaada ya hapo kutakuwa na ajira rasmi kwao kwaajili ya kukiendesha walichokiunda, ajira rasmi itakuwepo endapo watafanikiwa kukamilisha kazi hiyo ya awali.
Wanatakiwa devs 3 wenye ujuzi tofauti wa web development (front end na back end) na pia wafahamu database na API vizuri. Design za project ya kwanza tayari zipo, ni website lakini ina mambo mengi kidogo. Wanatakiwa kuicode hii website na iingie hewani ndani ya mwezi mmoja au wakichelewa sana miezi 2. Tutawalipa kwa hii kazi na tutalipia gharama zote za hosting wenyewe, na wakifanikiwa tutaingia mkataba wa miezi 6 kwa mshahara wa wa laki 4 kwa mwezi + nauli + msosi (nauli/chakula ni juu yangu), baada ya miezi 6 wakiwa wamefanya vizuri mshahara utapandishwa na tutaingia mkataba mkubwa zaidi.
NASISITIZA;
Nahitaji devs ambao hawaja ajiriwa! Lengo ni kuwa na team kwaajili ya kuunda huu mradi na kuuendesha pia, na ndio maana nawahitaji wasio na ajira ili niwape ajira. Kama UNA UHAKIKA kuwa wewe ni developer mzuri mwenye ujuzi na unahitaji kuwa mmoja wa hii team, basi nicheki kupitia Telegram (Ibu Digital).
Wakishapatikana wa3 nitaunda group letu ili tuwasiliane kwapamoja, hii kazi itaanza mapema mwezi wa 7. Hawa devs wawepo dar kwasababu tutakuwa tunakutana physically kwaajili ya hii project ya awali. Asanteni!
Nahitaji developers watatu (3) wasio na ajira rasmi, kuna kazi watatakiwa kuifanya na baaada ya hapo kutakuwa na ajira rasmi kwao kwaajili ya kukiendesha walichokiunda, ajira rasmi itakuwepo endapo watafanikiwa kukamilisha kazi hiyo ya awali.
Wanatakiwa devs 3 wenye ujuzi tofauti wa web development (front end na back end) na pia wafahamu database na API vizuri. Design za project ya kwanza tayari zipo, ni website lakini ina mambo mengi kidogo. Wanatakiwa kuicode hii website na iingie hewani ndani ya mwezi mmoja au wakichelewa sana miezi 2. Tutawalipa kwa hii kazi na tutalipia gharama zote za hosting wenyewe, na wakifanikiwa tutaingia mkataba wa miezi 6 kwa mshahara wa wa laki 4 kwa mwezi + nauli + msosi (nauli/chakula ni juu yangu), baada ya miezi 6 wakiwa wamefanya vizuri mshahara utapandishwa na tutaingia mkataba mkubwa zaidi.
NASISITIZA;
Nahitaji devs ambao hawaja ajiriwa! Lengo ni kuwa na team kwaajili ya kuunda huu mradi na kuuendesha pia, na ndio maana nawahitaji wasio na ajira ili niwape ajira. Kama UNA UHAKIKA kuwa wewe ni developer mzuri mwenye ujuzi na unahitaji kuwa mmoja wa hii team, basi nicheki kupitia Telegram (Ibu Digital).
Wakishapatikana wa3 nitaunda group letu ili tuwasiliane kwapamoja, hii kazi itaanza mapema mwezi wa 7. Hawa devs wawepo dar kwasababu tutakuwa tunakutana physically kwaajili ya hii project ya awali. Asanteni!