Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 24,054
- 71,337
Huyu Jamaa ni Jamaangu , ni Mpiga pombe sana. Sasa ana Mke na watoto.
Mke wake ana rafiki yake ( shosti) kindaki ndaki wa kusindikizana mpaka saluni.
Kumbe jamaa alimzunguka mkewe akawa anakula Shost wa mkewe ( Shem).
Sasa Jamaa Jana alikua kalewa pombe, wamegombana na mkewe, mwisho jamaa akalopoka "Wee ukininyima K, Rafiki yako Kila siku ananipa nikitaka ".
Sasa Mkewe kalipuka, kalibeba , usiku huohuo Mke akamtafuta Rafiki yake , kumgombeza kwann anatembea na Mumewe !.
Mke wa Jamaa katika kutafuta Amani, akaishia kunitafuta, nikamshauri shaurii hapo weeeee nikimsihi asipanick, ni pombe tuuu, lakini mwanamke kakomaa, "Shemu mlevi na mwenye hasira ndio watu wanaosema kweli".
Leo Shem wangu ananitafutaa, uko wapi? Nikajibuwa Niko job, Basi nakuja.
Akaja mida ya saa 10, sikuwa na wagonjwa, hivyo tukaanza piga Stori, Demu akaanza kuliaa weee!!.
Nikampanga panga kajifuta machozi akasepaa.
Mida ya saa Moja ananitumia meseji
"Shem nahitaji kesho unikule kisawasawa mpaka niwe na Furaha ".
Kisasi Cha Mwanamke, Huwa ni Mpaka aliwe tu!!.
Mke wake ana rafiki yake ( shosti) kindaki ndaki wa kusindikizana mpaka saluni.
Kumbe jamaa alimzunguka mkewe akawa anakula Shost wa mkewe ( Shem).
Sasa Jamaa Jana alikua kalewa pombe, wamegombana na mkewe, mwisho jamaa akalopoka "Wee ukininyima K, Rafiki yako Kila siku ananipa nikitaka ".
Sasa Mkewe kalipuka, kalibeba , usiku huohuo Mke akamtafuta Rafiki yake , kumgombeza kwann anatembea na Mumewe !.
Mke wa Jamaa katika kutafuta Amani, akaishia kunitafuta, nikamshauri shaurii hapo weeeee nikimsihi asipanick, ni pombe tuuu, lakini mwanamke kakomaa, "Shemu mlevi na mwenye hasira ndio watu wanaosema kweli".
Leo Shem wangu ananitafutaa, uko wapi? Nikajibuwa Niko job, Basi nakuja.
Akaja mida ya saa 10, sikuwa na wagonjwa, hivyo tukaanza piga Stori, Demu akaanza kuliaa weee!!.
Nikampanga panga kajifuta machozi akasepaa.
Mida ya saa Moja ananitumia meseji
"Shem nahitaji kesho unikule kisawasawa mpaka niwe na Furaha ".
Kisasi Cha Mwanamke, Huwa ni Mpaka aliwe tu!!.