(Ramadan Kareem π)
Na, JumaKilumbi.
1. KULA AU KUNYWA WAKATI WA FUNGA
Kitu chochote iwe kinywaji au chakula kikipita ktk koo la mfungaji huhesabiwa amefungua swaum. Hii haihusishi vile vinavyoishia kwenye ulimi bila kupita na kuteremka kooni.
2. KUFANYA MAPENZI WAKATI WA FUNGA, NA KUSISIMKA...