ngomaHABARI JF: MKE WANGU MIMBA YAKE ILITOKA IKIWA NA MWEZI MMOJA. Lakini tangu itoke ni mwezi sasa na bado anatema mate mengi sana. Je inaweza ikawa ni dalili ya nini? Ni mimba au inaweza ikawa tatizo lengine
utanipata tu 😂Ngoma ipi sijakupata ndugu 🤔
🏃♂️🏃♂️🏃♂️utanipata tu 😂
Mimba ikitoka bado mwili unakua una secrete pregnancy hormones kwa kipindi kingine kifupi.
So mpka ziishe hizo hormones thats when she wil get back to normal
Mkuu, hapo changamoto unayopata ni ipi?"that is when she will get back to normal", ----maneno haya hayana Kiswahili ??
Hicho ni kingereza.Kwani hiyo ni lugha gani??
Hicho ni kingereza.
Sasa shida iko wapi, ni wewe hujaelewa au ni mtoa mada hajaelewa?
Bado sijaona changamoto yoyote hapo.
Well ni vyema ungesema tangu mwanzo kua hujaelewa maana ya maneno hayo.Changamoto ni mimi sijaelewa kwani mada yoyote inapowekwa wazi hiyo haiwi tena ni mada inayomuhusu mtoa mada pekee bali jamii nzima ya jf, kama ingemuhusu mtoa mada pekee hapo ndipo mtu anaweza kuandika lugha yoyote anayoitaka lakini kupitia PM ya mtoa mada.
Shida ni kwamba maneno yale hayana maneno ya kiswahili kwa faida ya sisi sote ??!
Well ni vyema ungesema tangu mwanzo kua hujaelewa maana ya maneno hayo.
Maana kila neno unaloliona humu lina tafsiri yake katika lugha mbali mbali.
Anyway, maana yake ni kwamba, "akifika hapi atarudi katika hali yake ya kawaida"