Plot4Sale Kiwanja kinauzwa - Igoma jijini Mwanza

Ramon Abbas

JF-Expert Member
May 4, 2021
1,964
3,900
Kiwanja kinauzwa Igoma mwanza.
size ni 30*25 ft
kipo mtaa wa kilimo A, Igoma jijini Mwanza.

Umeme upo kiwanjani, maji yapo hapo pia.

Kiwanja ni kizuri sana njoo uone kwa macho.

Bei 6 million

mawasiliano 0713096076


0713096076

IMG_20211219_113937_043.jpg


IMG_20211219_113009_909.jpg


IMG_20211219_113004_381.jpg


IMG_20211219_113000_461.jpg
 
Kina nyaraka (documents) gani?
Beacon tayari zilishawekwa bado nyaraka rasmi za Jamhuri ya Muungano hazijafika kwa mmiliki.

Mwenye eneo ni mmiliki rasmi, hakijawahi kuuzwa hapo kabla.

karibu ujipatie eneo zuri la ujenzi wa nyumba, bar, gesti hauz, shule ndogo ya chekechea ama vyovyote utapenda.

maeneo ya Igoma ni very expensive, huyu anauza hivyo tu kwa sababu ya shida iliyomfika shingoni
 
Beacon tayari zilishawekwa bado nyaraka rasmi za Jamhuri ya Muungano hazijafika kwa mmiliki.

Mwenye eneo ni mmiliki rasmi, hakijawahi kuuzwa hapo kabla.

karibu ujipatie eneo zuri la ujenzi wa nyumba, bar, gesti hauz, shule ndogo ya chekechea ama vyovyote utapenda.

maeneo ya Igoma ni very expensive, huyu anauza hivyo tu kwa sababu ya shida iliyomfika shingoni
2m nimcheki chap
 
2m nimcheki chap
Kwa hio offer utapata kisesa huko mkuu.

kuna viwanja vingi tena size kubwa sana mpaka 30*40 unapata kwa 2.5mil kisesa kona ya usagara, karibu na lami.

kwa hiki naweza punguza kidogo endapo utanipigia
 
Kwa hio offer utapata kisesa huko mkuu.

kuna viwanja vingi tena size kubwa sana mpaka 30*40 unapata kwa 2.5mil kisesa kona ya usagara, karibu na lami.

kwa hiki naweza punguza kidogo endapo utanipigia
Kama yupo tayari Jumatano nikucheki, kama hayupo tayar kwa hiyo bei sina haja ya kukupigia maana offer yangu ni hiyo.

Ila kumbuka hii ni December chukua hela otherwise watu huenda liki,o ya kufanya manunuzi (hela inakata) hadi April huko ndo hali hulejea msitarini.
 
Kama yupo tayari Jumatano nikucheki, kama hayupo tayar kwa hiyo bei sina haja ya kukupigia maana offer yangu ni hiyo.

Ila kumbuka hii ni December chukua hela otherwise watu huenda liki,o ya kufanya manunuzi (hela inakata) hadi April huko ndo hali hulejea msitarini.
Asante mkuu hio offer bado iko downstairs.
 
Kwa hio offer utapata kisesa huko mkuu.

kuna viwanja vingi tena size kubwa sana mpaka 30*40 unapata kwa 2.5mil kisesa kona ya usagara, karibu na lami.

kwa hiki naweza punguza kidogo endapo utanipigia
Vipi Buhongwa hakuna viwanja vya ukubwa huu ?
 
Hivi makazi ya kuanzia pale Usagara hadi Buhongwa... ni uswahilini?

Nina Tsh 4 million nahitaji kiwanja ndani ya Mwanza. Pasiwe uswahilini (mbanano wa makazi holela). Pafikike kwa gari kutokea lami njia kuu.

Cc: Ramon Abbas

Cc: Nijosnotes
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom