Wafanya kazi wa usafi wa vyumba wanatakiwa kwenye Hoteli ya Lahe.Maombi kuanzia tarehe 21.12.2021 hadi 15.1.2022. Tafadhali omba kwa namba 0754290084 au 0655290084.
Lahe ndo ile ya RC alokua Dar zen Kilimanjaro afu akaja gombea uenyekiti wa ccm mkoa akapigwa chini na Diallo nimemsahau jina sijui kagasheki sijui mabina sijui nani vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.