mwanza

  1. A

    JamiiForums Tanzania RESOLVED Mwanza: Taka zilizorundikwa Stendi ya Makoroboi zimeondolewa

    Siku kadhaa zilizopita (Juni 23, 2026) niliandika kuhusu mazingira ya katika stendi ya mabasi madogo ya Makoroboi jijini Mwanza kuwa na uchafu mwingi. Nilieleza uchafu huo umekuwa ukitoa harufu kali kwa siku siku kadhaa na kuwa kero kwa Wananchi na watumiaji wa eneo hilo. Hali ilivyokuwa awali...
  2. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kiongozi wa Kata ya Buyombe – Ilemela (Mwanza) anauza maeneo ya wazi, RC tuma timu ikague

    Mwenyekiti wa Kata ya Buyombe, Wilaya ya Ilemela, Mkoa wa Mwanza anauza maeneo ya wazi (open space) kinyemela, yaliyotengwa na Serikali kwa ajili ya shughuli za Kiserikali. Anaharibu ramani ya mipango miji na anatutengeneza mazingira mabovu ya makazi, tunaomba Mkuu wa Mkoa aje akomeshe tabia...
  3. kadeti

    JamiiForums Tanzania KERO Swala la foleni NATA Mwanza litaisha lini....?

    Wanaohusika na maswala ya mipango miji pamoja na Tanroad tunaomba mtuondolee stendi ya mabasi apa NATA kwani ndo chanzo cha Foleni katika Barabara ya Nyerere, just imagine foleni ya magari inaanzia buzuruga ,unakaa barabarani mpaka muda wa kazi unakuishia ukiwa kwenye jamm. Lakini hata pawepo...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kijiji cha Nabweko, Ukerewe hatuna umeme wa TANESCO wala maji ya uhakika tangu Uhuru

    Wananchi wa Kijiji cha Nabweko, kilichopo Kisiwa cha Irugwa, Wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza, tunaendelea kukabiliwa na changamoto kubwa za huduma za msingi. Kwanza, tangu Tanzania ipate uhuru, kijiji chetu hakijawahi kufikiwa na huduma ya umeme wa TANESCO. Hadi leo, wananchi wanalazimika...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO UCHAFUZI WA KELELE ILEMELA NYAGUNGURO: Ni lini mamlaka za Mwanza zitazinduka?

    Tumechoka, tumenyanyasika, na tunapuuzwa kabisa! Kwa miezi kadhaa sasa, wakazi wa Ilemela Nyagunguro tumekuwa tukiteseka kwa kukosa usingizi usiku kucha kutokana na uchafuzi uliokithiri wa kelele. Muziki unaopigwa kwa sauti ya juu ya juu sana kutoka Kwa Tunza na Mamboleo umekuwa kero...
  6. G

    JamiiForums Tanzania Namna ya kua mfanyakazi wa delivery kwa kampuni hizo mkoani Mwanza

    Mm ni dereva boda nataka kupata kampuni ya kudeliver mizigo kwa wateja.. Napatikana mwanza sifa na vigezo vyote ninazo ikiwemo dhamana...kwani ni mtumishi japo cjabanwa sana kazini
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Bar ya G Seven iliyopo Mwanza (Darajani, Kata ya Mkolani) imekuwa ikipiga muziki kwa sauti kubwa sana

    Habari, Naomba kufichua uovu kuhusu Bar inayoitwa G Seven iliyopo mkoani mwanza sehemu inaitwa Darajani Kata ya mkolani, Bar hiyo imekuwa ikipiga muziki usiku kucha Kwa sauti ya juu. Jambo hili limekuwa ni kero Kwa wakazi wanaoishi maeneo Jirani, Jambo ambalo limekuwa likileta makelele na...
  8. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Manispaa ya Ilemela - Mwanza kuomba michango ya Mwenge. Je, hakuna bajeti yake rasmi?

    Manispaa ya Ilemela Mwanza, Kata ya Ilemela kuna Mtendaji anakusanya michango kwa ajili ya kufanikisha shughuli za mwenge, wanapita katika ofisi na taasisi mbalimbali kuomba michango hiyo. Sasa swali langu ni kwamba Serikali Kuu haina bajeti ya kufanikisha mbio za mwenge? Hadi kufikia hatua ya...
  9. D

    JamiiForums Tanzania KERO SK Bar & Grill iliyopo Mitimirefu, Mwanza inapiga mziki na kelele usiku na ipo kwenye makazi ya watu

    Hongereni Dar es Salaam kwa kuanza kudhibiti kelele za baa zilizopo karibu na makazi ya watu. Naomba mamlaka husika ziangalie pia hali ya SK Bar & Grill iliyopo Mitimirefu, Mwanza, mkabala na Shule ya Sekondari Pamba pamoja na Hospitali ya Aga Khan, eneo ambalo pia lina makazi ya wananchi. Baa...
  10. A

    JamiiForums Tanzania HOJA BARABABARA YA MKUYUNI - VOIL (MWANZA) ITATENGENEZWA LINI?

    Wakazi wa mwanza, Nyamagana kwa miaka sasa tunateseka na ubovu wa barabara katika wilaya yetu na hasa barabara kuu ya kuelekea mjini. Barabara ina mashimo mengi, vumbi na mbovu. Mradi wa SGR haukamiliki na hatujui timeline yao ni ipi, lakini kadhia ya kutumia barabara hii ni kubwa. Tunaomba...
  11. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mwanza: Barabara ya Mkuyuni inaonekana kujengwa chini ya kiwango

    Barabara ya Mkuyuni, iliyofunguliwa mapema mwaka huu, inaonekana kujengwa chini ya kiwango kinachotarajiwa. Ikumbukwe kwamba mwezi Aprili kulikuwa na mafuriko makubwa yaliyosababisha hasara za mali na usumbufu mkubwa wa usafiri. Mimi ni mkazi wa Mwanza, na kwa zaidi ya miaka 20 eneo hilo...
  12. G

    JamiiForums Tanzania Watu wa Mwanza wasivuruge Amani na kuleta taharuki ya maji yaliko jirani TU hapo ziwani tuwe wavumilivu Bora tuchote maji na madumu

    Kwanza sio LAZIMA Kila kitu tusubiri viongozi wananchi wenyewe wajiorganize hapo waone namna ya kutatua hiyo changamoto Pia uvumilivu ni jambo la muhimu sana Bora kuchota maji na ndoo ziwani Kwa muda tukisubiri michakato ikamilike Au Kila mtaa wachangangishe wananunue matank makubwa ya maji...
  13. ANT DRUGS

    JamiiForums Tanzania Tatizo la maji jijini Mwanza bado hali ni tete

    Mnaopeta na maji kila siku habari zenu?. Tatizo la maji jijini Mwanza bado hali ni tete.Yaan nina miezi miwili sioni tone nyumbani kwangu.Baada ya Waziri Kuja Mwanza nilijua tunaenda kumpeleka ila ni kama hakuna kilichofanyika.Najiuliza maswali yafuatayo; 1.Ilikuwa siasa? 2.Timu iliyoundwa na...
  14. O

    JamiiForums Tanzania ATCL Yazindua safari za mwanza - dodoma, abiria 1300 kwa siku

    ATCL YAZINDUA SAFARI ZA MWANZA - DODOMA, ABIRIA 1300 KWA SIKU Shirika la Ndege Tanzania(ATCL), limezindua safari zake za utoaji huduma kati ya Mwanza -Dodoma ikiwa ni kurahisisha safari kwa watumiaji kwa njia ya anga. Safari hizo zilianza Juni 5,2026, ikitajwa kusaidia wafanyabiashara na...
  15. O

    JamiiForums Tanzania Kambi ya Waziri Aweso Mwanza, huduma maji safi yarejea awaonya watumishi

    KAMBI YA WAZIRI AWESO MWANZA, HUDUMA MAJI SAFI YAREJEA AWAONYA WATUMISHI Kambi iliyowekwa jijini Mwanza na Wazir wa maji Jumaa Aweso, imeleta manufaa kwa wakazi wa Jiji la Mwanza baada ya huduma ya maji safi kurejea katika maeneo mbalimbali. Baada ya kambi hiyo ya siku nne Jiji Mwanza...
  16. MaweSaba

    JamiiForums Tanzania Kiwanja Kinauzwa, Usagara Mwanza

    Habari wadau? Kiwanjq kizuri, gentle slope, eneo la makazi 45/23m 1km from Main road Bei 4M tu Njoo tuzungumze
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malalamiko yangu kuhusu Kampuni ya Ulinzi ya Rampart iliyopo Nyakato, Mwanza juu ya kazi, mishahara na mazingira

    Ninafanya kazi katika kampuni hii kwa zaidi ya miaka mitatu, lakini hadi sasa bado ninadai mishahara ya kipindi kilichopita ambayo sijalipwa. Mbali na kucheleweshwa kwa mishahara, hivi karibuni uongozi wa kampuni ulifanya kikao na kutangaza kuwa wafanyakazi waliokuwa wakilipwa mshahara wa...
  18. T

    JamiiForums Tanzania Upanuzi wa barabara jijini Mwanza

    Habari zenu wanaJF, natumaini nyote mnaendelea na pirika za kila siku kwa ajili ya familia na ujenzi wa taifa. Twende kwenye hoja yangu direct! Swali langu ni kwamba "Ni lini serikali itapanua barabara hizi muhimu zinazounganisha Mwanza mjini na maeneo kuanzia Usagara hadi mjini kati na Kisesa...
  19. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mwanza kuna shida kubwa sana ya maji, na MWAUWASA hawafanyi kitu chochote

    Mwanza tuna shida kubwa ya maji ambayo imekuwa ikidumu kwa miaka mingi, lakini haiongelewi kabisa. Kwa mfano, maeneo ya Kirumba, maji hutoka mara moja tu kwa wiki, na mara nyingi hutoka usiku wa manane. Mbaya zaidi, bili za maji zinakuwa kubwa kwa sababu tunalazimika kuacha mabomba wazi kila...
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi wa Pasiansi jijini Mwanza hatuna maji wiki mbili sasa na hakuna taarifa yoyote imetolewa

    Wananchi wa eneo la Pasiansi jijini Mwanza wamekumbwa na ukosefu wa huduma ya maji kwa takribani wiki mbili sasa, hali inayosababisha usumbufu mkubwa katika shughuli zao za kila siku. Kinachozua malalamiko zaidi ni kwamba mamlaka husika hazikutoa taarifa yoyote kwa wananchi kabla ya huduma hiyo...
Back
Top Bottom