mwanza

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ni jeuri ya pesa ? Gachuma, tajiri wa Mwanza kampeleka Diamond Tarime kwajili ya Birthday wakati angehitajika harusi ya mtoto wa tajiri wa Katoro

    Tajiri wa Katoro sio mtu wa kupenda unyonge! Hapana kabisa! hana dogo, anapenda kujulikana kwamba ana mkwanja mrefu kama mguu wa twiga! Na usidhani ni maneno tu, tuliona video wiki iliyopita zilizotuteka headlines mitandaoni. Kwenye sendoff ya mtoto wake alianza kwa kum book Ali Kiba na wala...
  2. Nyankurungu2020

    JamiiForums Tanzania Inasikitisha sana. Ujenzi wa SGR Makutupora ni 14% wakati angelikuwepo hayati Magufuli Ujenzi wa SGR ungekuwa umefika Mwanza kwa 100%

    Kuna janjajajanja tu tu wafanyabiasha wanaomiliki mbasi na malori hawataki ujenzi wa Sgr ukamilike kufikia 100% kwa sababu ya manufaa ya biashara zao. Hayati JPM aliwadhibiti .Leo hii Sgr ingekuwa imeshakamilika.
  3. Frank Wanjiru

    JamiiForums Tanzania Malori marufuku mchana Mwanza

    Mkurugenzi wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Wakili Kiomoni Kibamba amesema magari makubwa hayatakuwa yakiruhusiwa kushusha mizigo katikati ya Jiji la Mwanza wakati wa mchana, hatua inayolenga kupunguza msongamano wa magari na kuwezesha Wananchi kufanya shughuli zao kwa urahisi. Akizungumza...
  4. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wahitimu wa Diploma katika Chuo cha Mipango Campus ya Mwanza tunachelewa kupata vyeti

    Wanafunzi tuliomaliza masomo ya Diploma tunaomba msaada kuhusu changamoto ya kucheleweshewa vyeti vyetu. Kila tunapofika chuoni kufuatilia vyeti, tunaambiwa kuwa mashine ya kuchapisha au kutoa vyeti imeharibika. Hali hii imetuletea usumbufu mkubwa, hasa kwa wale wanaotoka maeneo ya mbali ambao...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Tangu 2000 Mwanza ilipokuwa jiji la pili kwa watu wengi, uchangiaji wa kodi, wanafunzi, bado serikali haijajenga chuo kikuu kuna kipi kinafichwa?

    Kwanini hadi leo Serikali haijajenga chuo kikuu Mwanza ? Mwanza ni jiji la pili nje ya Dar tangu 2000, Mwanza ni hub ya mikoa ya kanda ya ziwa, eneo lenye idadi kubwa zaidi ya watu nchini Tanzania Mwanza ni jiji la pili kwa watu wengi Mwanza ni jiji la pili kwa wanafunzi wengi wa sekondari...
  6. A

    JamiiForums Tanzania KERO Halmashauri ya Kwimba nao walalamikia kutolipwa posho za kujikimu kwa ajira mpya

    Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba, Ngudu mkoani Mwanza, wafanyakazi wa ajira mpya 2026 bado hatujalipwa posho za kujikimu. Tunaomba mamlaka husika zishughulikie suala hili, na tunawaomba mtusaidie kupaza sauti yetu.
  7. B

    JamiiForums Tanzania Watu wa Mwanza, Arusha na Mbeya wanafuata nini Dar?

    Hivi Tanzania haiwezi kujenga majiji mengine vizuri yakawa makubwa na maarufu kama Dar es salaam? Inakuwaje kila m Tanzania anataka kuishi Dar? Hivi Dar Peke yake ndio kuna maisha? Au wanazuzuliwa na umaarufu wa jiji la Dar? Watu kutoka mikoa kama Lindi, Mtwara, Mo to go to etc wakija Dar...
  8. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Watu 23 Wakamatwa Mwanza Kwa Tuhuma za Uchochezi na Kupanga Vurugu Sabasaba

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikikia watu 23 kwa tuhuma za makosa ya uchochezi, kupanga njama za kufanya vurugu pamoja na uhalifu mwingine katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Sabasaba. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo Julai 8 na Kamanda wa...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kero ya upatikanaji wa maji Kazamoyo, Kirumba, Ilemela – Mwanza

    Wakazi wa Kazamoyo, Kirumba, Ilemela – Mwanza, tumekuwa tukikabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa maji kwa muda mrefu, wakati mwingine hupita wiki moja hadi mbili bila kupata maji, na mara nyingi hulazimika kumpigia simu mwenyekiti wa eneo ili awasiliane na mamlaka husika. Kinachoshangaza ni...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Wapishi 3 wanahitajika kwa ajili ya hoteli

    Wapishi 3 wanahitajika kwa ajili ya hoteli mshahara 250000-300000 kutokana na uzoefu,malazi bure na matibabu pia. 0655290084.
  11. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mamlaka ya maji Mwanza wamenipa bili kubwa huku mita ikiwa imejaa uchafu ndani hata kusoma ni shida

    Kero yangu inahusu utaratibu wa utoaji wa bili unaofanywa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira jijini Mwanza. Nimepokea bili kubwa ya maji, huku mita ikiwa imejaa uchafu kwa ndani kiasi kwamba usomaji wake hauonekani. Sijui hiyo bili imetolewa kwa msingi gani, wamefanyaje usomaji wa...
  12. Mwafrika mmoja

    JamiiForums Tanzania Kwanini hatuwazi kama Japan, Korea, Singapore na Ulaya?

    Mwaka 2026 dunia sasa inakimbia sana, mambo yanabadilika kila baada ya sekunde 30 lakini kwa nchi nyingi za Afrika. Inawezekana kabisa mambo yanabadilika.Kila baada ya wiki 30. Huwa inaumiza sana na kushangaza, katika karne ya 21 mwaka 2026 unakuta binadamu wanagombania usafiri kituoni mpaka...
  13. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania RC Mtanda: Hakuna taarifa yoyote ya kifo kutokana na ajali ya moto iliyoteketeza maduka mtaa wa Lumumba

    Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kifo kutokana na ajali ya moto iliyoteketeza maduka mtaa wa Lumumba uliopo katikati ya jiji hilo. Akizungumza na waandishi wa habari Mtanda ameeleza kuwa alipata taarifa mapema juu ya tukio hilo na kuwasiliana na...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mtaa wa Lumumba Mwanza nyumba zinawaka moto muda huu!

    Moto umezuka na kuendelea kuteketeza nyumba kadhaa katika Mtaa wa Lumumba, jijini Mwanza, na kusababisha taharuki miongoni mwa wakazi wa eneo hilo Tutakufahamisha zaidi kinachoendelea ============ Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Said Mtanda amesema mpaka sasa hakuna taarifa yoyote ya kifo kutokana na...
  15. ngara23

    JamiiForums Tanzania Geita inaenda kuchukua nafasi na ukubwa wa Mwanza Kanda ya Ziwa

    Mwanza umelala mno Vibe na biashara, matajiri yote Sasa ni Geita Oyaa Geita ni balaa, Geita mjini, KATORO,Buseresere, Chato, Mganza, Runzewe, Nyangwale Kuna mzuka sio poa, watu wanapiga pesa na starehe kubwa kila siku weekend Mara Kibao naona wasanii wakubwa hapa Tanzania na nje ya nchi...
  16. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Polisi: Tunachunguza taarifa za kikundi kukamata madereva Bajaj Mwanza

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, limebaini uwepo wa ujumbe unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii (kama inavyoonekana kwenye picha) ukidai uwepo wa kikundi kinachokamata Bajaji kibabe kwa kigezo cha "Wrong Parking" na kutoza kiasi cha Tsh. 22,000 bila risiti, huku kukiwa na tuhuma kuwa baadhi ya...
  17. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Mlipuko wa baruti waua na kujeruhi watu saba

    Mtu mmoja amefariki dunia na saba wamejeruhiwa kufuatia mlipuko wa baruti uliotokea leo tarehe 01 Julai 2026 majira ya saa 12:46 asubuhi kwenye kibanda cha kahawa katika Mtaa wa Sahwa ya Juu, Kata ya Lwanhima, Wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza. Kwa mujibu wa taarifa ya Kamanda wa Polisi mkoa wa...
  18. A

    JamiiForums Tanzania RESOLVED Mwanza: Taka zilizorundikwa Stendi ya Makoroboi zimeondolewa

    Siku kadhaa zilizopita (Juni 23, 2026) niliandika kuhusu mazingira ya katika stendi ya mabasi madogo ya Makoroboi jijini Mwanza kuwa na uchafu mwingi. Nilieleza uchafu huo umekuwa ukitoa harufu kali kwa siku siku kadhaa na kuwa kero kwa Wananchi na watumiaji wa eneo hilo. Hali ilivyokuwa awali...
  19. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Kiongozi wa Kata ya Buyombe – Ilemela (Mwanza) anauza maeneo ya wazi, RC tuma timu ikague

    Mwenyekiti wa Kata ya Buyombe, Wilaya ya Ilemela, Mkoa wa Mwanza anauza maeneo ya wazi (open space) kinyemela, yaliyotengwa na Serikali kwa ajili ya shughuli za Kiserikali. Anaharibu ramani ya mipango miji na anatutengeneza mazingira mabovu ya makazi, tunaomba Mkuu wa Mkoa aje akomeshe tabia...
  20. kadeti

    JamiiForums Tanzania KERO Swala la foleni NATA Mwanza litaisha lini....?

    Wanaohusika na maswala ya mipango miji pamoja na Tanroad tunaomba mtuondolee stendi ya mabasi apa NATA kwani ndo chanzo cha Foleni katika Barabara ya Nyerere, just imagine foleni ya magari inaanzia buzuruga ,unakaa barabarani mpaka muda wa kazi unakuishia ukiwa kwenye jamm. Lakini hata pawepo...
Back
Top Bottom