Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia wahamiaji haramu 14 raia wa Burundi, waliokamatwa wakiwa wameingia nchini kinyume na sheria kwa kutumia usafiri wa magari Mawili tofauti ya abiria
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana, Novemba 23 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, DCP Wilbroad...
GEREZA KUU,Butimba MWANZA.
Haya ndio maisha halisi ya Askari wanapolala, Tukidai reforms wanatupiga risasi na kuwauwa ndugu zetu, Wanao watumia hawaishi kwenye nyumba kama hizi Tunawakumbusha tu kuna maisha baada ya kazi.
Wazalendo,
Ukombozi wa nchi yetu unakaribia.
Tulichokifanya tarehe 29/10/2025 hawatakuja kukisahau. Tulifanikiwa kuuzuia uchaguzi. Ilikuwa muhimu vijana kuwepo kila sehemu ili kuuzuia uchaguzi.
Sasa tunahitaji kuchukua nchi. Inatakiwa nguvu kazi kubwa iwe maeneo muhimu na yenye impact kubwa...
Maandamano haya yameweka historia mbaya sana kwa watanzania! Yamechukua roho za watu kwa watu kuuwawa, yameharibu ajira za watu, na biashara.
============
Zaidi ya Magari 34 ya usafirishaji katika Mkoa wa Mwanza yametajwa kuharibiwa baada ya kuzuka kwa vurugu za waandamani siku ya Oktoba 29 hadi...
10 November 2025
Mahakama ya Wilaya
Ilemela, Mwanza
Tanzania
https://m.youtube.com/watch?v=EK5udu5ot38
Jumla ya watu 114 wamefikishwa mbele ya mahakama ya wilaya ya Ilemela
Mwanza: Jumla ya watuhumiwa 114 waliokamatwa wilayani Ilemela mkoani Mwanza kati ya Oktoba 28 na 29, 2025 wamefikishwa...
WATU 172 KORTINI WAKITUHUMIWA KUFANYA VURUGU, UNYANG’ANYI WA KUTUMIA SILAHA MWANZA
Watu 172 wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nyamagana, mkoani Mwanza na kusomewa mashtaka kadhaa yakiwemo ya kuharibu mali, kuchoma moto na unyang'anyi wa kutumia silaha...
John Pambalu ameandika:
Wamemuua Mwenyekiti wetu wa Bavicha jimbo la Nyamagana Mwanza Kamanda Michael Christian Mutabuzi.
Naambiwa alikamatwa na vijana waliompeleka jengo la CCM lililo karibu na Cetral Police mnamo tarehe 29.10.2025, siku moja baadaye tarehe 30.10.2025 mwili wake uliokotwa...
Kituo cha polisi cha nyegezi kimechomwa moto wandamanaji wapambana vikali na jeshi last polisi ..
Kituo cha mafuta GBP cha shambuliwa na gen-z wamevunja warehouse na kubeba maji na vinywaji musoma Road nyamhongolo near nanenane.
Taifa gas pia yavunjwa na wandamanaji kubeba mitungi ya gesi...
Mwanza imejitokeza kumpokea mgombea Urais Samia Suluhu Hassan ikiwa ni nembo ya kukubalika nchini.
Wapinzani wengi wa Samia walipambana kuitenganisha Kanda ya ziwa na Samia lakini imekuwa tofauti na kila la kheri kesho asubuhi na mapema kazi itakuwa imeisha.
Baada ya kumwaga petrol ya kutosha kila eneo Tanganyika, na baada ya mkutano usio na maana yoyote (empty pleasure) kule mwanza, Bi.Nwyinwyi na familia yake yote wataelekea zao Zanzibar na Dubai kujificha. Hatajipigia hiyo kura yake Dodoma wala Dar es Salaam. Shida za Bara hazimhusu mjue
Atakaa...
Kamati ya amani ya mkoa wa Mwanza imesema, kwa kushirikiana na serikali pamoja na viongozi wa dini zote nchini, itaendelea kutoa hamasa kwa Watanzania kujitokeza kwa wingi kupiga kura kwa uhuru na haki tarehe 29 Oktoba 2025, huku ikiwahimiza wananchi kutumia haki yao ya msingi kwenda kuchagua...
Akizungumza katika Kongamano la Amani la Viongozi wa Dini mbalimbali linalofanyika Mwanza leo Oktoba 20, 2025 Mwenyekiti wa amani mkoa wa Mwanza, Sheikh Hassana Kabeke amesema kuwa tunapoenda kupiga kura Oktoba 29, 2025 hatuendi kuchagua dini wala jinsia bali tunaenda kuchagua kiongozi...
Wakuu,
Akizungumza katika kongamano la viongozi wa dini ya kiislamu leo, Sheikh wa Mkoa wa Mwanza Hassan Kabeke amesema kuwa Waislamu mkoani Mwanza wameamua kujitokeza kwa wingi kusikiliza sera za wagombea na hatimaye kupiga kura kwa amani na utulivu ifikapo Oktoba 29, mwaka huu ili kulinda...
Naomba nijifunze kupitia nyinyi, tiririka hoja zako hapo kisha weka kwa muhtasari tu kuonesha walikuwa sahihi au hawakuwa sahihi. Lugha ngumu (matusi, dharau, kebehi na mfano wa hayo) marufuku!!!
1. Ni sahihi
2. Siyo sahihi
Ndugu zangu Watanzania,
Kiukweli ukweli usemwe tu . Paul Makonda ni Bingwa wa kuteka hadhira na hisia za watu, ni Bingwa wa kutengeneza mijadala na kubakia midomoni Mwa watu, ni bingwa wa kutengeneza habari na akabakia akizungumzwa yeye tu ,ni bingwa na fundi hodari wa Kukonga nyoyo za watu...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewashukuru wananchi wa Misungwi kwa kujitokeza kwa wingi katika mkutano wake wa kampeni leo Jumanne, Oktoba 7, 2025, akisema mwitikio mkubwa ni ishara ya imani kwa chama na viongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.