Nitawasalimu baadae,
Hivi wanaume wakisukuma ndio mupo hivi au nihuyu tu mjuba wangu,,nitall mweusi,pesa ipo kiasi chake sihaba!!tatizo linaanzia hapa nimwaka wapili Niko nae huyu jamaa hajui kukasirika, hata umuandikie msg zakukera kamwe hawezi kukukasirikia, baadae mtaongea tu vizur Kama vile...