Sengimisoji
Senior Member
- Feb 2, 2022
- 128
- 208
Nitawasalimu baadae,
Hivi wanaume wakisukuma ndio mupo hivi au nihuyu tu mjuba wangu,,nitall mweusi,pesa ipo kiasi chake sihaba!!tatizo linaanzia hapa nimwaka wapili Niko nae huyu jamaa hajui kukasirika, hata umuandikie msg zakukera kamwe hawezi kukukasirikia, baadae mtaongea tu vizur Kama vile hakuna kilichotokea.
Ukimwambia mahusiano yaishie hapa hakujibu kitu zaidi atafanya kitu tu ili aongee na we lkn sio kubembeleza mpaka ujue anakumbembeleza, mm Nina kisirani Ila hapa sielewi km napendwa, naona Kama hana amshaamsha, wasukuma wote muko hivi hamtaki kujulikana kama mmezama penzini?
Wasukuma mnisamehe.
Hivi wanaume wakisukuma ndio mupo hivi au nihuyu tu mjuba wangu,,nitall mweusi,pesa ipo kiasi chake sihaba!!tatizo linaanzia hapa nimwaka wapili Niko nae huyu jamaa hajui kukasirika, hata umuandikie msg zakukera kamwe hawezi kukukasirikia, baadae mtaongea tu vizur Kama vile hakuna kilichotokea.
Ukimwambia mahusiano yaishie hapa hakujibu kitu zaidi atafanya kitu tu ili aongee na we lkn sio kubembeleza mpaka ujue anakumbembeleza, mm Nina kisirani Ila hapa sielewi km napendwa, naona Kama hana amshaamsha, wasukuma wote muko hivi hamtaki kujulikana kama mmezama penzini?
Wasukuma mnisamehe.