beauty oo1
Member
- Sep 3, 2022
- 8
- 34
Jamani naombeni ushauri nilikuwa na mahusiano na mwanaume kumbe alikuwa na mtoto hakuniambia nilivyogundua ndo akakubali kweli mtoto anae lakini mama ake mtoto hana mahusiano naye.
Nimekuja kugundua ana mahusiano naye maana kuna siku alikuwa ananitafuta ananiambia niachane na mwanaume wake.
Mimi nikaachana naye nikampata mwanaume mwingine akaenda kumfanyia fujo huyo ambae nilikuwa nataka nianzishe nae mahusiano akaniacha na mwanaume huyo wa kwanza ananitisha ataniua.
Nikimwacha na huku mwanamke ananiambia atanifanyia kitu kibaya lakn mm nmefanya maamuzi ya kuachana na huyo mwanaume lakn mara nyingi nikifanya maamuzi ya kuachana nae ananifanyia fujo cjui nifanyee nini.
Nimekuja kugundua ana mahusiano naye maana kuna siku alikuwa ananitafuta ananiambia niachane na mwanaume wake.
Mimi nikaachana naye nikampata mwanaume mwingine akaenda kumfanyia fujo huyo ambae nilikuwa nataka nianzishe nae mahusiano akaniacha na mwanaume huyo wa kwanza ananitisha ataniua.
Nikimwacha na huku mwanamke ananiambia atanifanyia kitu kibaya lakn mm nmefanya maamuzi ya kuachana na huyo mwanaume lakn mara nyingi nikifanya maamuzi ya kuachana nae ananifanyia fujo cjui nifanyee nini.