Mwananchi Communications Ltd is a company based in Tanzania. Mwananchi Communications Ltd, engages in the print media and radio, and is the publisher of Tanzania's leading daily newspaper, Mwananchi (in Swahili), and others such as The Citizen, Sunday Citizen, Mwananchi Jumapili, and Mwanaspoti.
The executive editor is Bakari Steven Machumu and the Mwananchi daily managing editor is Frank Sanga. Abdul Mohamed heads Mwanaspoti in Tanzania and Kenya. Sanga is regarded as the sports journalism guru in the region. His influence in sports led Kenyan media to start sports newspapers, such as Sports On and Game Yetu.Thomas Mosoba is the managing editor of The Citizen Daily, which has contributed much to socio-economic changes in Tanzania and in the region as well.
The company was established in May 1999 by Ambassador Ferdinand Ruhinda as Media Communications Ltd. But in April 2001, a new business was established (Advertising Agency & Public Relations) and a new company was formed—Mwananchi Communications Ltd. In the very same year Mwananchi Communications Ltd was acquired by the Nation Media Group (NMG), which is based in Nairobi, Kenya.
Pichani ni marehemu Marine Hassan Marine akisindikizwa na askari kutoka kwenye viwanja vya kampeni Jangwani mwaka 2010 baada ya wapenzi na mashabiki wa CHADEMA wenye jazba kulalama na kumzonga kufuatia matangazo ya moja kwa moja ya TBC kukatika hewani.
August 4, 2020 kulikuwa na mkutano mkuu...
Salamu kwenu,
Kumekuwa na kelele nyingi kuwa ndege zetu hazina maana yoyote kwa mwananchi wa kawaida. Watu wanaenda mbali zaidi kuhoji ikiwa flyovers za Dar es Salaam zina umuhimu wowote kwa watanzania waishio vijijini, mikoani huko.
Ukiangalia hizi hoja, unapata picha mbili. Ya kwanza ni kuwa...
Ni gazeti pekee angalau lilodhubutu kuzungumzia habari za Tundu Lisu mgombea halali wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Azam tv habari pia tuliona habari yenu kumhusu Lissu, inatosha kusema angalau mmethubutu.
Naangalia hapa acceptance speech ya Tundu Lissu.
Hoja zake nyingi, hususan zile za nguvu na uwezo wa rais, nazikubali.
Cha kushangaza ni kwamba, kila akianza kumrushia vijembe na madongo Rais Magufuli, sauti inapotea kwa muda halafu baadaye kidogo inarudi.
Anaendelea tena kuongea, lakini...
Mtia nia anashinda kura za ndani kwa wajumbe halafu Kamati inakuja kumkata kisa sababu zao wanazojua. Swali ikiwa ndani kwa wajumbe alipita je ukimkata atahama na wajumbe wangapi?
Je, hao wajumbe wanawapiga Kura wangapi ambao wanaweza kuhama na mtu wao?
Mwisho wa siku jimbo hiloo kisa kiongozi...
MASLAHI YA MBUNGE:
- Mshahara: TZS 3.8M kwa mwezi
- Shangingi la kutembelea (wanakopeshwa bei chee)
- Posho ya mwezi: TZS 8M kwa mwezi
- Posho ya Kikao: TZS 240K kwa siku
- Posho kujikimu: TZS 120K kwa siku
- Pensheni: TZS 240M baada ya miaka mitano
- Bima ya afya ya daraja la kwanza kwako na...
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi...
Maendeleo na mabadiliko ya Babati yataletwa na kijana wa Babati ambaye anajua ni nini wanababati wamekosa kwa muda mrefu. Pamoja na kuwa anafanya kazi Babati mjini pia ni kijana mzalendo na anayeshirikiana na wananchi katika maisha ya kila siku. Mtu kama huyo ndio anayehitajika na anayetafutwa...
Sports Editor – Mwananchi
Mwananchi Communications Limited, publishers of the leading Tanzania newspapers, Mwananchi, The Citizen and Mwanaspoti is looking for motivated and highly experienced individuals to fill the position of:
Sports Editor – Mwananchi (1 Posts)
To manage the day-to-day...
Mimi sio mchumi, ila nachokiona ni kuwa, awamu hii inakaamua sana wananchi na hela inayokusanywa sehemu kubwa imeelelekezwa katika miradi michache tena inayoplekea baadhi ya fedha kwenda nje ya nchi(kupitia ununuzi wa malighafi kutoka nje,kulipa wataalamu wa kigeni,n.k) na hivyo inakuwa ni...
Kampuni ya Mwananchi inayochapisha Mwananchi, The Citizen na Mwanaspoti ambayo kwa miaka mingi imekuwa ikiaminika kwa kuhabarisha kwa uwazi iko kwenye msukosuko.
Pamoja na kushuka kwa biashara ya habari nchini, hali ya hewa so nzuri Mwananchi. Wafanyakazi wa idara ya matangazo wanasema kwamba...
Deregulation of sugar industry will see the economies of scale and market competitiveness transfer relief that results into lower prices to final consumers.
In order to protect local industries, govt have been placing quotas or embargoes to the importation of sugar something that has resulted...
Jeshi la Polisi Kinondoni limesema limefanikiwa kuwakamata Wafanyakazi wawili wa Kampuni ya Mwananchi Communication-Kitengo cha Matangazo kwa tuhuma za kutuma taarifa za uongo na uzushi kuhusu #COVID19
Limesema waliokamatwa ni Hidari Hakimu (27), Afisa Biashara kwenye Kampuni hiyo ambaye ni...
Mwananchi Communications Limited publishers of leading Tanzania newspapers, Mwananchi, Mwanaspoti, and The Citizen and its various online and digital products are looking for motivated and highly experienced individual to fill the position of:
MARKET DEVELOPMENT EXECUTIVES-REGIONS
Job Purpose...
Mamlaka ya mawasiliano Tanzania kuiptia Kamati ya Maudhui imesitisha leseni ya utoaji wa huduma za maudhui mtandaoni ya Mwananchi Newspaper kwa kipindi cha miezi sita, na kuwapiga faini ya Tshs milioni 5.
Adhabu hiyo imetolewa baada ya kubainika kuwa Aprili 13 kupitia mitandao ya kijamii...
Mzumbe University invites applications from suitably qualified and competent Tanzanian to fill the following Contract vacant posts:
1. SUPPLIES ASSISTANT II (2 Post) - Main Campus in Morogoro
(a) Qualification and Experience
Holder of Form IV or VI Certificate with passes in...
Taarifa ya Mwananchi inadai kwamba mwenendo wa Meena kwenye mitandao ya kijamii unapingana na sera za kampuni hiyo (haikufafanua mwenendo huo ni upi)
Meena alikuwa ni miongoni mwa wahariri waandamizi wa kampuni hiyo na mkataba wake umevunjwa tarehe 23/3/2020.
Haikujulikana kama atalipwa...
Hakuna shaka juu ya huo msemo, mwananchi mwenyewe ndio mwenye uwezo wa kuijenga na kuiharibu nchi. Hata kukitokea mgeni kutaka kuharibu nchi ni lazima apitie kwa mwananchi mwenyewe
Nimeona bandiko la Mjomba Paskali kuhusu alichokiita Security Alert. Alichoandika Paskali kilitakiwa kuonwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.