Hongera kwa gazeti la Mwananchi, mmethubutu

PAZIA 3

JF-Expert Member
Jan 30, 2018
1,074
1,852
Ni gazeti pekee angalau lilodhubutu kuzungumzia habari za Tundu Lisu mgombea halali wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo, CHADEMA, Azam tv habari pia tuliona habari yenu kumhusu Lissu, inatosha kusema angalau mmethubutu.

IMG-20200811-WA0025-722x950.jpg
 
Hivi hawa viingozi wetu hawaoni aibu kulazimisha mapenzi ya mtu kwa chama fulani au kwa mgombea?

Hata wakizuia habari zinazomhusu Lissu zisitangazwe au kuandukwa gazetini, bado wenye mapenzi na Chadema ama Lissu wataendelea kumuunga mkono. Wakae wakilijua hili.
 
Hivi hawa viingozi wetu hawaoni aibu kulazimisha mapenzi ya mtu kwa chama fulani au kwa mgombea?

Hata wakizuia habari zinazomhusu Lissu zisitangazwe au kuandukwa gazetini, bado wenye mapenzi na Chadema ama Lissu wataendelea kumuunga mkono. Wakae wakilijua hill.
Uko sahihi mno. Itikadi ya Mtu ni kama spiritual beliefs. Hailazimishwi kwa kusikia redioni.
 
Huenda wameanza kugundua hatari ya kumlamba miguu Bwana yule.

Hata hivyo,huenda gazeti likaadhibiwa kwa kuandika habari hii bila ku-balance story kwa kuwahoji watu wasiojulikana!
Hujamsikia IGP? Inaonekana wasio julikana ni Lissu maana polisi wana mtafuta. Watampata akisha pitishwa kugombea Urais maana atakuwa na ulinzi wa polisi.

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom