Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,401
- 5,525
Yaani nipo hapa najiuliza sipati jibu ni mwananchi wa fani/aina gani atampa kura Magufuli mwaka huu.
Maana kama;-
WAFANYA BIASHARA.
Hawa wamenyanyaswa sana ndani ya miaka 5 hii iliyoisha, refer msoto wa Manji alioupitia toka Magufuli aingie madarakani na wafanya biashara wengine kedekede, mwenyewe ni mashahidi.
WAFANYAKAZI.
hapa nazungumzia waajiriwa serikalini sekta mbalimbali jinsi walivyovuka kwa shida hii miaka 5 pasi na nyongeza yoyote ya mshahara tena na vitisho au maneno ya kebehi kana kwamba kama umechoka kazi basi acha. Hapa kumbuka kuna wale waliofukuzwa kazi kuanzia ile 2016 (vyeti feki) sijawazungumzia ila naomba niishie hapa.
WAHITIMU WA ELIMU ZA JUU NA KATI.
Hawa ndo hatari tupu, naamini wahitimu walio wengi waliohitimu toka 2015 hawana kazi rasmi labda awe na connection ndo anaweza akaja hapa na kutuambia kuwa amepata permant job serikalini.
WAOMBAJI MIKOPO ELIMU YA JUU.
Hawa nao ni majanga tu mikopo ya elimu ya juu imekuuwa kama betting tu kama huna kismart basi kwisha habari yako.
Hao wanaendelea na masomo na walibett na kupata zali LA mkopo show wameiona mwaka huu kwa kupunguziwa mabomm yao eti kisa Corona.
WAKULIMA.
Huku nako ni chenga tu. Jaribu kwenda Lindi na Mtwara ukaone watu wanavyoteseka na zao la korosho na wengine walidirika mpaka kujinyonga..eti wanaambiwa korosho hawajalima wao wao ni Kangomba.
Heeeeee, hadi nimechoka kuandika jamani ongezeeni na mengine naamini ni mengi sana. Ndio maana najiuliza hapaa huyu Magufuli mwaka huu atapata kura ya mtanzania gani?
Maana kama;-
WAFANYA BIASHARA.
Hawa wamenyanyaswa sana ndani ya miaka 5 hii iliyoisha, refer msoto wa Manji alioupitia toka Magufuli aingie madarakani na wafanya biashara wengine kedekede, mwenyewe ni mashahidi.
WAFANYAKAZI.
hapa nazungumzia waajiriwa serikalini sekta mbalimbali jinsi walivyovuka kwa shida hii miaka 5 pasi na nyongeza yoyote ya mshahara tena na vitisho au maneno ya kebehi kana kwamba kama umechoka kazi basi acha. Hapa kumbuka kuna wale waliofukuzwa kazi kuanzia ile 2016 (vyeti feki) sijawazungumzia ila naomba niishie hapa.
WAHITIMU WA ELIMU ZA JUU NA KATI.
Hawa ndo hatari tupu, naamini wahitimu walio wengi waliohitimu toka 2015 hawana kazi rasmi labda awe na connection ndo anaweza akaja hapa na kutuambia kuwa amepata permant job serikalini.
WAOMBAJI MIKOPO ELIMU YA JUU.
Hawa nao ni majanga tu mikopo ya elimu ya juu imekuuwa kama betting tu kama huna kismart basi kwisha habari yako.
Hao wanaendelea na masomo na walibett na kupata zali LA mkopo show wameiona mwaka huu kwa kupunguziwa mabomm yao eti kisa Corona.
WAKULIMA.
Huku nako ni chenga tu. Jaribu kwenda Lindi na Mtwara ukaone watu wanavyoteseka na zao la korosho na wengine walidirika mpaka kujinyonga..eti wanaambiwa korosho hawajalima wao wao ni Kangomba.
Heeeeee, hadi nimechoka kuandika jamani ongezeeni na mengine naamini ni mengi sana. Ndio maana najiuliza hapaa huyu Magufuli mwaka huu atapata kura ya mtanzania gani?