The Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 11,074
- 13,643
Katika jina la Mungu wajinga wengi walibatizwa au kusilimishwa.
Walipewa majina ya kigeni.
Walifundishwa lugha za kigeni.
Walifundishwa kuabudia kila upuuzi wa kigeni
Waliacha kufikiri na kuacha dini zifikiri kwa ajili yao.
Walidhalilishwa, kudharauliwa, na kunyonywa.
Walivisha kongwa vifuani na vichwani.
Walifundishwa kujichukia na kuchukiana.
Walianza kuana kwa ajili ya dini.
Waliporwa ardhi, mali, na utu wao.
Walitapeliwa.
Wamepotezwa na wamepotea milele.
Hilo ndilo neno la Mungu.
Aaaamina.
Walipewa majina ya kigeni.
Walifundishwa lugha za kigeni.
Walifundishwa kuabudia kila upuuzi wa kigeni
Waliacha kufikiri na kuacha dini zifikiri kwa ajili yao.
Walidhalilishwa, kudharauliwa, na kunyonywa.
Walivisha kongwa vifuani na vichwani.
Walifundishwa kujichukia na kuchukiana.
Walianza kuana kwa ajili ya dini.
Waliporwa ardhi, mali, na utu wao.
Walitapeliwa.
Wamepotezwa na wamepotea milele.
Hilo ndilo neno la Mungu.
Aaaamina.