Salaam, Shalom!
Wengi humu mmetishwa muonapo nyoka, au kuota ndoto za kuona nyoka,
Ni kweli, Biblia imemuhusisha Ibilisi na nyoka, Joka la kale, la zamani, akiitwa Joka, pengine Joka linatoa maji mengi kutaka kummeza mtoto aliyezaliwa( kanisa).
Sasa usilolijua ni kuwa, mbinguni wapo nyoka...