Hawa ni mtu na mkewe wa ndoa kabisa ambapa wamebahatika kupata watoto watatu kwenye ndoa yao lakini baada yakupima DNA imegundulika kuwa watoto wote watatu sio wa mwanaume huyu
Yani Mwanaume unateseka unadharaulika kuhakikisha familia yako inapata huduma na malezi bora kumbe unaishi na mtu...
Mwenyezi Mungu anapokuangalia Bado anaona ndani yako uwezekano mkubwa wa KUWA Bora kuliko ulivyo Sasa.
Watu wanaweza kuona mwisho wako utakuwa hivyohivyo, lakini Mungu wako anaona uwezakano mkubwa wa kukupandisha VIWANGO vya juu zaidi ya ulivyo Sasa.
Inategemea unatumua muda mwingi kusikiliza...
Walaamu serikali na chama tawala na unabii kuombea mabaya watawala Mungu ndiye aliyewaleta duniani hangakieni na yeye tu sio CCM au serikali
Mi frustration yenu na kutoa Nabii feki na maombi koko kulaani CCM au serikali nk mnapoteza bure maombi yenu Mungu hajawahi anzisha chama cha siasa iwe...
Wana wa Mungu wana wataifa teule la Tanzania na wana wataifa la babu zenu Tanganyika haya ndio yata tukia ktk siku zijazo na kama mkiyaona basi inuweni vichwa juu na kumtukuza Mungu.
1. Patakuwa na ukimya mzito haujawahi tokea tangu kuwepo kwa Taifa
2. Kwa wale mpo miji mikuu mtasikia sauti za...
Ndugu zangu wapendwa huu ndiyo wakati wa kuwa imara zaidi kuliko wakati wowote. Simama na mathayo 10:28 HATISHWI MTU
Kumbukeni hili msije kusahau hata siku moja! Mungu yupo pamoja nasi wakati wote, Yeye mwenyewe Alisema DUNIANI MNAYO DHIKI LAKINI JIPENI MOYO, MIMI NIMEUSHINDA ULIMWENGU (Yohana...
Tubadilishe mifumo ya demokrasia na haki. Bila hivyo mabaya yatawarudia. Vyombo vya unyanyasaji na utekaji unavitumia leo lakini kesho utatekwa wewe
Hawa walikuwa Mungu mtu Mungu katuonyesha walikuwa binadamu leo wote wako wapi
Habari za Ijumaa!
Moja ya vitu vinavyotutofautisha Watibeli na watu wengine ni pamoja na hili.
Sisi hatunaga cha mzazi.
Hatunaga cha Mke/mume
Hakunaga cha Mtoto
Hatunaga cha Sijui Boss, sijui Mkurugenzi.
Hatunaga cha sijui Rais, sijui Rais, sijui Waziri.
Hatunaga cha Sijui kamanda wa jeshi...
Baada ya jeshi la Israel kupiga kanisa na kuuwa watu waliokuwemo ndani, sasa huu umekuwa muda wa watu kufunguka macho na kuanza kuhoji huo utakatifu wa ardhi ya Israeli.
https://www.bostonglobe.com/2025/07/17/world/israel-strikes-gaza-church-pope-used-call-nightly/
Nina uhakika hao machawa wa CCM wao mtu kupotezwa au kuuwawa kama mzee Ali Kibao sio ishu kubwa kwao maana chawa anajali tumbo lake kuliko uhai wa Mtanganyika.
Tumuachie Mungu. Tuache kuwakebehi wanapofiwa.
Ipo siku Mungu ataikomboa Tanganyika
Natamani Ujumbe Huu, AUONE RAIS SAMIA, na Mungu amsaidie asikie saauti yake !!.
Machawa wamempoteza Rais SAMIA !!.
https://www.facebook.com/share/r/16rjwu6mHy/
Hata kama mimi ni MCCM damu damu ukweli moyoni ni binadamu bado. Tunachomfanya TAL hakika ninamwomba Mungu ama yeye mwenyewe TAL akija bahatika akaingia madarakani au MwanaCCM mwingine yeyote akimpokea mama asije akakifanya.
Asitokee mwanaCCM au TAL akaamua tu kumwanzishia tuhuma mtangulizi...
Mimi namtegemea Mungu pekee, sitegemei binadamu...alisema
Ninajiuliza huyo Mungu atashuka kukufanyia wewe jambo fulani? Sio kwamba anapotaka kufanya anafanya kupitia hao watu? Ulipoumwa si mtu daktari alikutibu?
Huo mshahara si mimi mtu muhasibu nilikulipa? Sasa iweje useme hutegemei watu...
Instructions ⚠️Acha uvivu Mwenye Akili atasoma hadi mwisho wa haya maelezo na maswali yanayokuguide na utaona kuna kitu. Na Tumia imagination
Anayetumia imagination kwenye haya maswal ataelewa haraka na kugundua kitu (vuta picha🤔)
Kuna siri kuhusu Biblia
Majibu nitakuja kuyatoa baadaye sana...
bible
creation
god
hidden knowledge
jesus
marco seth
mungu
new posts
old and new tastement
secrets of bible
siri iliyojificha kwenye mwanzo
siri kuhusu mungu
siri ya kwenye biblia
trending
uumbaji
yaweh
Nabii Denis Asema :Watanzania hamtalia tena, Mwakani Kuna Sura mpya za Uongozi, Kuna Matukio yataendelea kutokea kwakua Mungu kawakumbuka Watanzania
https://youtu.be/-V_qMCCuYFE?si=gVQU5_fSwHiIgutx
Nipo njia panda kabisa aisee wakuu hivi kati ya Yesu na yehova nani ni Mungu? Maana kuna watu wengine wanamtaja kama yehova ni mungu wao na pia kuna wengine wanamtaja yesu kama ni mungu wao tafadhali msaada wakuu.
Wanasiasa huja na kuondoka, lakini wachache huacha alama za kudumu.Ni yeye tupende tusipende kwa maana imeandikwa. Safari yake ina mkono wa Mungu.
Ndiyo maana tunasema yeye ni mpango wa Mungu ni unabii ambao lazima utimie. Yeyote atakaye jaribu kumzuia hatafanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.