Kati ya Yesu na Yehova nani ni Mungu?

Kati ya Yesu na Yehova nani ni Mungu?

Zee la madawa

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,878
Reaction score
4,434
Nipo njia panda kabisa aisee wakuu hivi kati ya Yesu na yehova nani ni Mungu? Maana kuna watu wengine wanamtaja kama yehova ni mungu wao na pia kuna wengine wanamtaja yesu kama ni mungu wao tafadhali msaada wakuu.
 
Hayo majina yote kazi yake ni kutafutia mipunga tu. hakuna lolote la zaidi
 
Mungu ni Cheo tu kama Rais, askari, mwalimu etc... Mungu wa mbinguni jina lake alilopewa na Wazazi wake anaitwa Yehova. Yehova ni jina lake la kwenye vyeti.
 
Na bado kuna siri imefichwa kuhusu Yaweh
Mungu aliyetajwa kwenye Biblia
naona nikisema itazid kuchanganya watu zaidi
Swal moja angalia tofati ya Mungu iliyo kwenye agano la kale na jipya?
Jiulize kwa nn kwenye Mwanzo Mungu hakutaka Adam na Hawa wale lile Tunda?
Jiulize kwa nn Yesu alivyokufa alichukua nafsi za watu zilikuwa zimetekwa na kupelekwa Mbinguni?

Kwa nn Mungu alisema
Isaya 45:5
Mimi ni Bwana, wala hapana mwingine; zaidi yangu mimi hakuna Mungu.

Jiulize hii
Mwanzo 1:26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
 
Mungu ni Cheo tu kama Rais, askari, mwalimu etc... Mungu wa mbinguni jina lake alilopewa na Wazazi wake anaitwa Yehova. Yehova ni jina lake la kwenye vyeti.
Kwamba maana mungu yehova ana wazazi?
 
Back
Top Bottom