mtanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kazanazo

    JamiiForums Tanzania Kama mtanzania napataje fursa ya kwenda kufundisha nchi kama Shelisheli, Kanada, Norway au Kenya?

    Wakuu mimi ni mwalimu natamani nikafundishe kati ya Nchi tajwa hapo juu tafadhali mwenye miongozo anipatie hapa jukwaani mimi na wanajukwaa wenye shida kama yangu tutashukuru sana Ahsanteni
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini ukiajiri Mtanzania huwa hafanyi kazi kwa uaminifu

    Kwenye haya maisha hakuna namna kazi zako zote wewe mwenyewe kuzifanya ,soo unahitaji wasaidizi, nimesoma trend ya wafanyakazi wangu aisee kama hakuibii lazima awe ni mvivu, nimeajri sasa nimechoka nimeanza kuajiri watu wasio watanzania ndio at least naona mambo yanaenda japo kwa tabu
  3. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ila wachambuzi wa Soccer wa bongo😂, mnakumbuka kipind kile Shaffih Dauda alikuwa anatuambia kuwa Rashford jina lake halisi ni Rashid na ni Mtanzania

    Kumbe mwamba asili yake ni Jamaican na Saint Kitts. Hadi leo sijui Dauda alitoka wapi na zile habari na alifikiria nini kutumezesha matango pori😂
  4. M

    JamiiForums Tanzania Elon Musk alisema kwamba Donald Trump alikubali kuwa USAID inapaswa kufungwa

    Hili limeniumiza sana Elon Musk amesema kwamba Rais Donald Trump alikubali kuwa Shirika la Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID) linapaswa kufungwa, kufuatia siku kadhaa za uvumi kuhusu mustakabali wa shirika hilo baada ya ufadhili wake kusitishwa na wafanyakazi wake kadhaa kuwekwa...
  5. Yoda

    JamiiForums Tanzania Ni uzalendo uchwara kulazimisha kila Mtanzania kumchukia Kagame

    Kumeibuka kundi la Watanzania ambao wanakerwa sana na Watanzania wenzao wanaomkubali Kagame. Hili kundi lililojivisha kilemba cha uzalendo wanawachukulia Watanzania wenzao wasiomchukia Kagame kama vile ni wasaliti wa nchi. Hii sio sawa, hakuna mwenye hatimiliki ya uzalendo. Kama wewe unamchukia...
  6. T

    JamiiForums Tanzania Mchezaji Mtanzania, Mnyakyusa anayecheza Ligi Kuu Italy akichezea Napoli

    André-Frank Zambo Anguissa (ANGWISA) Nimeukumbuka huu wimbo wa muimbaji mmoja aliimba alikuwa anasema Angwisa....na huyu mchezaji naona kabisa ni mnyaki sijui wa Kyela,Tukuyu au Mbozi. Mi sijui. Hawa ndo mngewarudisha na kuwapa uraia. Zamani naambiwa alikuwapo mnaijeria mmoja wa Kinyakyusa...
  7. President of China

    JamiiForums Tanzania Mnaijeria atamani Kuwa Mtanzania: 8 Culture Shocks I Experienced in Tanzania as a Nigerian!

    Tanzania ni nchi yenye utajiri wa kipekee wa tamaduni, watu wake wa amani, na mazingira mazuri ya asili. Kwa mgeni yeyote, hasa kutoka nchi nyingine za Afrika kama Nigeria, uzoefu huu unaweza kuwa wa kushangaza lakini pia wa kuvutia sana. Mnigeria mmoja ameweka wazi maajabu na tofauti za...
  8. Street Hustler

    JamiiForums Tanzania Vijana wanavyohatarisha maisha yao kwa bodaboda, pombe kali, mirungi, na korokoro la mchina usiku kwenye night club

    Kiukweli hii Hali iliopo Sasa kwenye taifa hili n baya sana. Taifa linakosa nguvu kazi hivihivi tumekuwa tukihitaji vibarua wa mashambani Cha ajabu vijana wa kiume huwapati wanapatikana wamama na wazee huku vijana wakishinda wanakula mirungu na pombe za buku wakipoza na korokoro la mchina...
  9. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Enyi Serikali hivi vifo visivyoeleweka vya Watanzania wenzetu huko Nje ya Nchi, Muwe mnavifatilia, kila Nafsi ya Mtanzania iwe yenye thamani

    Msituletee Habari za Vifo tu vya Viongozi kufia Nje ya Nchi walipokua wanatibiwa. Na Watanzania hawatakiwi Kuogopa Et kufanya kazi Nchi za waarabu ni hatari, Kuna kuuwawa n.k Dunia iliingia mikataba ya Kimataifa Kwa pamoja kuhusu haki ya kuishi ya kila mwanadamu na haki hizo lazima...
  10. errymars

    JamiiForums Tanzania Mtanzania Erry Mars Afungua Website ya Kimataifa

    https://fntaz.com/kyle-walker-aomba-kuondoka-manchester-city/
  11. A

    JamiiForums Tanzania Beki wa Salford city Mtanzania HAJI MNOGA kuanza leo kwenye mechi dhidi ya Manchester city

    Yule full beki wetu wa kulia, HAJI MNOGA anayechezea Taifa stars na Salford city ya nchini Uingereza, anatarajia kuwa sehemu ya wachezaji watakaowakabili Manchester City leo kwenye michuano ya FA. Mchezo utachezwa leo saa 2::45 usiku. Haji mnoga atakuwa mchezaji wa pili wa Kitanzania kucheza...
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Baada ya kuondoka Twaweza East Africa, Aidan Eyakuze ajiunga na Ushirikiano wa Serikali Wazi (OGP)

    Ushirikiano wa Serikali ya Wazi (OGP) unafuraha kubwa kutangaza uteuzi wa Aidan Eyakuze, Mkurugenzi Mtendaji wa Twaweza Afrika Mashariki, kama Mtendaji Mkuu (CEO) mpya wa OGP. Eyakuze analeta uzoefu mkubwa katika masuala ya Serikali wazi, Uwazi, na Ushirikishwaji wa Wananchi barani Afrika na...
  13. eden kimario

    JamiiForums Tanzania hivi jeshi la polisi Tanzania linalinda usalama wa raia wa uingereza na mali zao au linalinda usalama wa raia na mali za mtanzania!!?kwa nini 1919

  14. Determinantor

    JamiiForums Tanzania Naomba mpigie Kura Mtanzania mwenzetu

    The link is on his bio click it and it'll open a browser, select "sports creator of the year " category, scroll down until you see @zerobrainer0 then VOTE NOW https://vm.tiktok.com/ZMkSX5WBV/
  15. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Othman Masoud: Mtanzania akilala hajui kama ataamka salama, tumuondoe CCM

    Othman Masoud Othman, Mwenyekiti wa ACT Wazalendo na Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, ametoa kauli yenye mashiko kuhusu hali ya kiusalama na haki nchini, akisema kuwa Mtanzania akienda mahakamani hana hakika ya kupata haki yake, na hata akilala, hawezi kujua kama ataamka salama. Akizunguza...
  16. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Je, ni kwanini Utajiri wa Mtanzania (Muafrica) hauna muendelezo?

    Kwa sasa Utajiri wa nchi na wafanyabiashara wakubwa na wanaotambulika RASMI upo chini ya wasomali, wahindi na waarabu! Rarely au hakuna kabisa kumkuta Mtanzania amepenya hapa. Kama Mtanzania akifanikiwa kuwekeza na akafika angle fulani ya kuwa na UTAJIRI RASMI kisha ikitokea amefariki, basi...
  17. B

    JamiiForums Tanzania BAMBURI CEMENT YA KENYA YANUNULIWA NA MTANZANIA.

    Mfanyabiashara wa Kitanzania, Edhah Abdallah, kupitia kampuni yake Amsons Industries (K) Ltd, amefanikisha ununuzi wa asilimia 96.4 ya hisa milioni 362.96 za Bamburi Cement, kwa jumla ya KSh 23.2 bilioni (TZS bilioni 424.31). Hatua hii inafanya Amsons kuwa mmiliki mkuu wa kampuni hiyo ya...
  18. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania BAMBURI CEMENT YANUNULIWA NA MTANZANIA

    Mfanyabiashara mashuhuri wa Kitanzania, Edhah Abdallah, kupitia kampuni yake Amsons Industries (K) Ltd, amefanikisha ununuzi wa asilimia 96.4 ya hisa milioni 362.96 za Bamburi Cement, kwa jumla ya KSh 23.2 bilioni (TZS bilioni 424.31). Hatua hii inafanya Amsons kuwa mmiliki mkuu wa kampuni...
  19. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Mitano tena kwa Samia nini ushauri wako kama Mtanzania mwenye nchi?

    Kauli "Mitano tena kwa Samia" nadhani si ngeni masikioni mwa watanzania walio wengi. Ina maanisha kuwa baada ya kumaliza kipindi cha urais uliopatikana kwa mkono wa Mungu, rais Samia apewe miaka mitano tena ya kuongoza kuanzia mwakani baada ya uchaguzi mkuu. Je wewe kama mtanzania mwenye nchi...
  20. ommytk

    JamiiForums Tanzania Sijutiii kuzaliwa mtanzania kila bindamu ana ridhiki yake

    Kuna watu wapo wakilalama naakufikia kusema wanajuta kuzaliwa watanzania wanatamani wangezaliwa nchi zingine bila kujua kila mwanadam amepangiwa ridhiki yake hapa Duniani na vyote tunavyoangaika navyo tunakuja kuviacha
Back
Top Bottom