Tabora wanafuraha sana kumuona Katibu Mwenezi ndg. Shaka Hamdu Shaka mapokezi ni Makubwa sana hata Freeman Mbowe hapokelewi kwa shangwe hivi pale Hai kwao pamoja kuwa ni mwenyekiti wa CHADEMA taifa.
Kweli CCM chama kubwa mkubali hapo kaja Mwenezi tu Hali ipo hivyo.
Hivi CHADEMA Mwenezi wa...
Adai ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
Mwigulu Nchemba auchuna.
Mbowe ahoji utitiri wa magari msafara wa Rais
=======
Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema utitiri wa magari katika msafara wa Rais Samia Suluhu Hassan hauendani na dhana ya serikali ya kubana matumizi.
Amesema...
Salama wandugu
Mama yupo mtaani akifungua baadhi ya miradi na kuona maendeleo ya nchi.
Sasa si vibaya sana tukapewa gharama yote ya mafuta ya msafara wake
Kupata gharama hizo tuweze kutoa ushauri magari yapunguzwe au yafungwe mifumo gesi asilia yote .
Haileti maana bei ya mafuta IPO juu lakini...
Kiukweli that guy hana hata uchungu akikosa magoli huwa anatabasamu na kuendelea kutafuna jojo, he is a waste takataka kabisa
Sasa naamini maneno kwamba ana mahusiano ya kimapenzi na kigogo wa kike, nilidhani angempisha manzoki au attacking midfielder anayeweza kupasua
Inaboa sana huo ni mzigo...
Cristiano Ronaldo hatakuwa sehemu ya wachezaji wa kikosi cha Manchester United kinachotarajiwa kusafiri leo Julai 8, 2022 kuelekea Bangkok kwa ajili ya mechi za maandalizi ya msimu mpya, kutokana na kuongezewa muda wa kushughulikia masuala yake ya kifamilia.
Pamoja na hivyo bado haijulikana...
Watu wenye silaha wameshambulia msafara timu ya wa walinzi na maafisa wa itifaki wa vyombo vya habari wa Rais Muhammadu Buhari mjini Katsina, na kuwajeruhi watu wawili kabla ya kudhibitiwa na jeshi.
Msemaji wa Rais, Garba Shehu amesema kuwa Msafara huo ulikuwa umetangulia safari ya Rais Buhari...
Hakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba.
Mwenye Nguvu mpishe tu.
Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita.
Walitaka kumkomoa Morrison kwa kumpunguzia mshahara na kumnyima release letter ila wakili msomi kawaumbua.
.
Mitsubishi Outlander ni compact crossover [medium sized] SUV inayotengenezwa na kampuni ya kijapan ya Mitsubishi Motors, Mwanzoni ilikua inajulikana kama Mitsubishi Airtrek ilipokua introduced Japan mwaka 2001..
.
Mpaka sasa Outlander ina generation 4, Generation ya 1 ikianza [2001-2005]...
Kila nikikumbuka mwaka 2015 alivyochora mawe na madaraja kwamba yeye ndie Rais ajaye naanza kuamini jamaa anapenda siku moja awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Juzi kaenda kusoma bajeti ya mwaka mpya wa fedha bungeni, msafara wake sio mdogo yaani hadi mapikipiki ubavuni mwa gari lakr...
Awali alikuwa ameeleza kuwa atakuwepo kwenye mkutano wa Azimio la Umoja One Kenya Allance kwa vile chama chake cha Wiper, kinamuunga mkono Raila Odinga
Hata hivyo alipowasili alivamiwa na vijana waliokuwa na hamaki kufatia hatua yake kujitosa katika kinyan'anyiro cha ugavana Mombasa
Polisi...
Drones za Uturuki ni hatari sana, na ndio dunia inakoelekea, ujeda wa kukaa ofisini ukibonyeza bonyeza, sio ubabe wa kupasua matofali kwa kichwa.
_____________
Ukraine’s Armed Forces reported that Russia also lost 684 tanks, 1,861 armored personnel carriers, 1,324 vehicles, 332 artillery...
Kuna jambo limenistua kidogo japo linaonekana la kawaida lakini ni kubwa sana katika siasa na uadilifu,
Huyu Mwenezi wa CCM Bwana Hamdu Shaka, ana role gani kwenye ziara ya Rais huko Dubai katika mkutano huu wa kibiashara?
Mlinzi?
Mwekezaji?
Mfanyabiashara?
Mjasiliamali?
Machinga?
Kangomba...
Wakuu naomba muongozo kuhusu misafara binafsi kupewa escort!
Ni vigezo vipi inabidi uwe navyo ili kupewa escort?
Maana siku hizi kwenye foleni kuwekwa pembeni then hiyo misafara ipite ni jambo la kawaida sana!
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
Picha: Waziri Mkuu wa Libya, Abdulhamid Dbeibah
Watu waliokuwa na silaha wameshambulia msafara wa Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Abdulhamid Dbeibah Jijini Tripoli. Shambulio hilo linakuja wakati kuna mvutano mkali kuhusu udhibiti wa Serikali.
Dbeibah ambaye ametoka salama baada ya tukio hilo...
If you don't fancy a certain presidential candidate don't attend his campaigns. Simple
Wakenya sisi watz tuaipenda sana democracy yenu lakini ndugu zetu mmekosa uvumilivu kbs kisiasa
Wale walioko Arusha na viunga vyake leo tumeshuhudia/kuona Mh. Raisi mama Samia Suluhu Hassan kaongezewa ulinzi mara dufu, tofouti na tulivyozoea na msafara wake umekuwa na ulinzi mkali na idadi kubwa ya askari na usalama wa taifa kitengo cha ulinzi.
Pia msafara wake una magari zaidi ya 70...
Mkuu wa wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha ,Frank Mwaisumbe amemsimamisha kazi mwenyekiti wa Kijiji cha Engaroji ,Ngarama Mapema Kwa tuhuma mbalimbali ikiwemo kuhamasisha wananchi kushambulia Kwa mawe msafara wake na kuvunja vioo vya magari likiwemo gari lake la ofisini.
Akitoa ufafanuzi Mbele ya...
Bila kuficha Mwigulu anapenyeza kila njia kwa wananchi ili jina lake ling'ae kwa urais.
Magari ya Polisi kwenye msafara na polisi wanaomlinda alipokuwa ziarani Tunduma. Chakushangaza amegeuka njiani kuwa na misafara ya magari mengi kama naye ni Rais, haya sio matumizi mabaya ya muda kwa...
Mwamba Mbowe pamoja na Umwamba wake leo amegonga mwamba huko Nachingwea baada ya wananchi kulala barabarani wakilazimisha awasalimie.
Ikumbukwe kwamba Mwamba Mbowe au Mtemi Isike yuko Kanda ya Kusini kwenye kampeni ya Operesheni Haki yenye lengo la kuhamasisha upatikanaji wa Katiba mpya na Tume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.