BigTall
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 422
- 1,049
Tangu asubuhi ya leo mida ya Saa 12 asubuhi (Januari 30, 2024) tumeweka kwenye foleni hapa maeneo ya Kibaigwa (Dodoma) na hatujui kinachoendelea, taarifa ambazo si rasmi inadaiwa kuna msafara wa Kiongozi wa Serikalini.
Jiulize kwa muda wote huo zaidi ya Saa tano inaelekea 6 hours hakuna magari yanayopita, hii ni sawa kweli? Shughuli za watu zinasimama kwa ajili ya msafara wa kiongozi kwa muda wa zaidi ya saa tatu, hii ni sawa kweli?
Makamu wa Rais alipiga marufuku Wananchi kusimamishwa muda mrefu kisa tu kiongozi anapita lakini naona dawa bado haijawaingia Makamu wa Rais Dkt. Mpango apiga marufuku Polisi kufunga Barabara kwenye Misafara
Sasa angalia tunavyoteseka:
Jiulize kwa muda wote huo zaidi ya Saa tano inaelekea 6 hours hakuna magari yanayopita, hii ni sawa kweli? Shughuli za watu zinasimama kwa ajili ya msafara wa kiongozi kwa muda wa zaidi ya saa tatu, hii ni sawa kweli?
Makamu wa Rais alipiga marufuku Wananchi kusimamishwa muda mrefu kisa tu kiongozi anapita lakini naona dawa bado haijawaingia Makamu wa Rais Dkt. Mpango apiga marufuku Polisi kufunga Barabara kwenye Misafara
Sasa angalia tunavyoteseka: