Picha: Haya ndio magari ya msafara wa Paul Makonda

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,306
Tumekuwa tukiona Mhe. Paul Makonda akiingia na Toroli, Bulldozer, Baiskeli n.k kwenye ziara zake mikoa tofauti nchini.

Je ulishawahi kujiuliza ni jinsi gani msafara wa magari wa Makonda unavyoonekana akiwa anaelekea kwenye ziara zake huko mikoani.?

Hapa nimekuletea picha tofauti za muonekano wa magari ya msafara wa Paul Makonda.

Snapinsta.app_421859558_18416244394042406_5735673604617917875_n_1080.jpg


Snapinsta.app_420080256_18416244403042406_2031658489666272059_n_1080.jpg


Snapinsta.app_421921595_18416605834042406_2738007977117593714_n_1080.jpg


Snapinsta.app_421848744_18416605846042406_311214686595100446_n_1080.jpg


Snapinsta.app_420131147_18416605858042406_455471724076254369_n_1080.jpg


Snapinsta.app_421865285_18416244448042406_2236650034911383246_n_1080.jpg


📸 WasafiMedia
Written by Mjanja M1
 
Nchi hii ili kuepuka stress.
Moja, Jizime Data au..
Pili, Usitarajie ikafanyie lolote zuri.

Just Fight for the best, Expect for the worst. Unachotakiwa uwe na uhakika nacho ni disappointments tuu, by then hautakua surprised na lolote.
Otherwise utake actions.
 
Na makonda anapenda sana ,mambo ya misafara huyu jamaa ,hamkuona alivyokuwa mkuu wa mkoa,misafara kibaaao na ulinzi,ili hali watu hakuna mwenye time nae,anapenda saana misafara mikubwa,westing of the money,westing of the money
 
Back
Top Bottom