Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 5,277
- 8,003
Msafara wa Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi na Uenezi, Paul Makonda umepata ajali leo Februari 11, 2024 katika eneo la Sululu, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, mkoani Mtwara.
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
Inakuwaje Mwenezi wa CCM afuatane na msururu wa magari ya Serikali kwa ajili ya shuguli zisizo na tija.
Haya anayofanya Zerobrain Bashite hayana baraka za Mwenyezi Mungu. Kama kuna wanaojua alama za nyakati, kuna ujumbe kwenye ajali hii
Katika ajali hiyo, magari 13 yaligongana na kusababisha majeruhi kadhaa wakiwepo Mbunge wa Jimbo la Tandahimba, Katani Ahmed Katani na Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara, Bahati Geuza.
Inakuwaje Mwenezi wa CCM afuatane na msururu wa magari ya Serikali kwa ajili ya shuguli zisizo na tija.
Haya anayofanya Zerobrain Bashite hayana baraka za Mwenyezi Mungu. Kama kuna wanaojua alama za nyakati, kuna ujumbe kwenye ajali hii