msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Gulio Tanzania

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kublock matangazo ya mikopo yasinifikie

    Habari zenu wadau Nimekuja hapa kama kichwa Cha habari kinavyosomeka hapo juu naomba msaada wakublock haya matangazo ya mikopo yasinifikie Mwezi iliyopita nilifiwa na tangazo la mikopo kuwa wanakopesha Hadi millioni moja nika click link kupakua App baada ya kujisajiri nakutana mkopo unaanzia...
  2. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Kitabu cha TOBA kina msaada mkubwa kiroho. Mimi Nina ushuhuda.

    Kitabu kinaitwa TOBA na kimeandikwa na Mai Godrey. Ni kitabu chenye sala za TOBA za aina nyingi ambazo ukizisali kwa Imani na utulivu unatengeneza ukaribu na Mungu wako. Kuna wakati nilipitia changamoto nzito na nikachagua moja ya sala za TOBA kwa siku 21 nikawa naamka saa 8 usiku na pia...
  3. hsnaturalfertility

    JamiiForums Tanzania Anaejua muongozo wa ku renew NIDA iliyo expire msaada tafadhali

    Wale wenzangu wenye zile NIDA zetu za 2014 ambazo mwenda zake alizikataa zimesha anza ku-expire, naomba kujua kama kuna mtu amesha renew, utaratibu upoje? Je naweza kwenda ofisi yoyote ya NIDA au lazima niwe mkoa niliojiandikishia? Na maelezo yoyote ya ziada ni muhimu sana. Asante sana🙏
  4. U

    JamiiForums Tanzania Msaada nahitaji Contro box ya suzuki kei

    Wakuu habarini dah naombeni msaada nimehangaika kutafuta contro box ya suzuki kei nimekosa , engine ya waya sita, naomba msaada kwani fundi kajaribu kila aina y contro box gari inakataa , kuwaka ina waka lakini kubadilisha gia ndo kwenye mtihan haikubali, naomba mtaallam anielekeze nitapat...
  5. gammaparticles

    JamiiForums Tanzania Israel wadaiwa kuishiwa silaha za msaada kutoka Marekani

    Kutegemea Us ndio awape silaha kupigana na vikundi vya wanamgambo, taifa teule limeanza kuishiwa silaha za msaada, na sasa wameaanza kutumia silaha za zama za mawe. Huyu bila msaada wa US angeshakuwa ameliwa kiboga zamani sana https://www.youtube.com/watch?v=j9MgjZ2sLQM
  6. N

    JamiiForums Tanzania Msaada: Google Acc yangu inasoma hivi

    Wakubwa shikamooni, wadogo marahaba Google acc yangu inasoma hivyo. Na nilitunza had vyeti vyangu vya kitaaluma nafanyaje wadau.
  7. Mtoto wa nzi

    JamiiForums Tanzania Msaada : Naomba sites zuri za kupakua torrents za movies za kawaida na series.

    Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza. Naomba kiwasilisha
  8. Raghmo

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kupata kazi nimesomea mazingira

    Habari, Mimi ni kijana Nina miaka 24, Nina degree ya Sanaa ya geografia na mazingira, nipo Zanzibar. Mwenye connection ya ajira ya kada hio tafadhali.
  9. G

    JamiiForums Tanzania Inauma sana unapoombwa pesa au msaada unapambana kumsaidia mtu, ukimpa hakujulishi kapata, anakwambia alishasaidiwa, atautumia siku nyingine, n.k

    Mtu anakuja kwako anaonesha shida imembana anakuomba umsaidie iwe ni pesa, nguvu zako, connection zako, n.k. Yawezekana haupo vizuri kifedha inabidi ukope, umebanwa na ratiba lakini unazivuruga kwajili yake, connection unazo lakini hadi zinyenyekewe kwa kujishusha, n.k. unaamua kujitoa umsaidie...
  10. maina23

    JamiiForums Tanzania Napata mshahara ila unaisha ndani ya wiki mbili au tatu, naishia kukopa

    Mim naitwa Maina ni mtanzania nisoma marekani chuo kikuu cha MIT nina umri.wa miaka 23. Sina muda mrefu kuingia humu JF. Nimekomaa kiakili ila si kimwili. Nilisoma Tanzania kidogo nikahamia Marekani. Nilisoma level zote ke na hadi chuo. Nimeamua kuja nchi ya amani. Naipenda sana Tanzania...
  11. Singasinga

    JamiiForums Tanzania Msaada dawa nzuri ya PID

    Habari wakuu Rejea kichwa tajwa hapo juu,kuna dada anasumbuliwa na huu ugonjwa anawashwa ukeni na tumbo linauma kwa chini. Naomba dawa nzuri itakayomsaidia.
  12. C

    JamiiForums Tanzania Msaada Wana JF

    Hivi tunavyofanya application ya diploma kupitia nacte je ni chuo husika ndo kinachagua wanafunzi au nacte ndo wanakupangia chuo kama ilivyo kwa advance?
  13. Wasomba

    JamiiForums Tanzania Msaada: Napata changamoto ya ku-login NACTEVET akaunti

    Naomba msaada, nimekamilisha kujiunga na kulipia NACTEVET kwa ajili ya application ya diploma. Tatizo linakuja Kila nikitaka kuloqin naambiwa nimekosea username au password ukizingatia username ni namba yangu ya mtihani. Mbaya zaidi nikijaribu option ya kuset password naye inakataa. Mbaya zaidi...
  14. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Naomba msaada; kila akinikosea ananitegeshea sambwanda na ugomvi unaisha!!

    Natoka kwa hasira baada ya kunikwaza na kwenda zangu nje au mtaani kidogo kutuliza munkari. Ile narudi tu nakutana na tego la haja la msambwanda basi makosa yanasahaulika au kusamehewa hapo hapo. Hii hali siipendi maana naona kama itakuja kuniathiri huko mbele. Msaada wehu tafadhali wadau.
  15. Simeone

    JamiiForums Tanzania Nawezaje ku connect internet ya PC kwa kutumia hicho kifaa (router)

    Nawezaje ku connect internet ya PC kwa kutumia hicho kifaa (router)
  16. JF Member

    JamiiForums Tanzania Msaada; Dawa ya Miguu kufa ganzi na kukosa nguvu

    Habari za wana JF? Kwa kipindi cha miaka miwili sasa Bibi yangu amekuwa na tatizo la kuishiwa nguvu kwenye miguu, Umri miaka 70. Akisimama kwa mda wa lisaa lazima aanguke chini, akitembea nyayo zinakuwa na ganzi. Naimbeni tiba na ushauri. Yuko DAR ES SALAAM. Ombi la rafiki yangu wa karibu...
  17. Singasinga

    JamiiForums Tanzania Msaada wakuu, binti anaomba kazi yuko Mwanza

    Habari wakuu Naomba kwa mwenye mchongo wa kazi kwa binti. Anaishi na bibi yake na bahati mbaya kapunguzwa kazin kwenye kampuni ya usafi na yeye ndio tegemeo kwa bibi yake. Yuko Mwanza Igoma ana miaka 23 elimu yake kidato cha nne. Namba yangu ni 0764 339 400 kwa ataeguswa kumsaidia. Asanteni...
  18. Webabu

    JamiiForums Tanzania Kwa msaada wa Marekani mateka wanne waokolewa,wanne wafa katika purukushani za uokoaji pamoja na raia 274

    Israel inaposhangilia kuokolewa kwa mateka 4 huku 4 wengine wakishindikana na kufa pamoja na raia 274 ni tangazo la kusema vita dhidi ya Hamas ni vigumu mno. Mateka hao wamepatikana kwa msaada wa askari wa Marekani waliopo Gaza na wenzao wa kiyahudi waliojifanya kama wahamiaji kutoka Rafah...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Njia niliyokuwa natumia kutuma meseji kutoka Facebook, X, etc kwenda kwenye Yahoo mail haifanyi kazi, msaada wakuu

    Nilikuwa naweza kutuma msg kutoka mitandao mingine ay yahoo, facebook , X etc kwenda kwenye yahoo mail yangu KUPITIA GOOGLE E-MAIL YANGU. eg nikitaka kutuma msg toka whatsapp nina highlight, click share, then inakuja :from google email yangu, then naweka yahoo email nazikuta huko naand then can...
  20. Uwesutanzania

    JamiiForums Tanzania Nina vijana wawili wamekosa msaada kwenye soka wakuu nahitaji msaada wenu

    Katika pitapita zangu vijijini kulikuwa na ligi inaendelea katika kijiji kimoja wapo hapa nchini Tanzania. Niache unafki nimevutiwa sana na uchezaji wa vijana wawili katika ile ligi. Mmoja ni winga. Ni dogo wa miaka kama 17 hivi ni 17 kweli sio za mchongo. Dogo kipaji anacho, kwanza ana...
Back
Top Bottom