msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Msaada juu ya tatizo la kushtuka mara kwa mara

    Habari wana jamvi nimekuja na tatizo apo nisaidiwe nina tatizo la kushtuka baadhi ya muda bila kufanya kitu chochote yaan ata kama hakuna kitu cha hatari naweza kuwa nachesea simu nikiacha kuangalia simu tu naweza kushtuka mapigo ya moyo yakaenda mbio hlf yakakata,naomba ushaur wa haraka
  2. Blasio Kachuchu

    Vodacom na Stanbic Benki wametoa msaada wa kijamii kwa Halmashauri ya Mji wa Bariadi, ukiwemo wa viti mwendo, Simiyu.

    Meneja Mauzo Mwandamizi wa Vodacom Tanzania Plc Kanda ya Ziwa, Straton Mchau (wa pili kushoto) pamoja na Meneja wa Benki ya Stanbic Tanzania Tawi la Mwanza Geoffrey Makondo wakikabidhi moja ya viti Mwendo 4 kwa Afisa elimu maalum - Halmashauri ya mji wa Bariadi Rutherford Magayane (kulia) na...
  3. Surya

    Wajuzi msaada dawa ya asili kutibu Homa ya Matumbo (Typhoid)

    Jamani msaada mti gani unaweza kupambana na hawa wadudu, wanao sababisha homa ya tumbo ?? Kama kuna muhanga aliyetumia mti fulani ukamsaidia Tunaomba taarifa.
  4. Matata25

    Nahitaji msaada mwenye contacts za Nempak Tanzania

    Jamani nahitaji mawasiliano ya Nempak. Kama Kuna mtu mwenye number zao za simu zinazopatikana anisaidie. Natanguliza shukran za dhati.
  5. Champion_Boy

    Msaada wa hatua za kufuata ili kufanya Biashara ya Internet

    Hivi karibuni nimepata wazo la kufanya Biashara ya Internet ISP akiwa TTCL kwenye maeneo ya Sokoni au Center zenye watu wengi kwa kuweka WiFi mteja atalipia kwa njia ya Vocha (number maalumu) mfano kwa Masaa 12 kwa Sh 1000 au 500 kwa masaa 6 n.k Hivyo ni hatua gani za Kufata kwa kuanzia na eneo...
  6. R

    Msaada tafadhali: Kuweka majina matatu kwenye Cheti

    Cheti cha kuzaliwa kina majina matatu. Vyeti vyote vya shule vina najina mawili. Ni taratibu gani naweza kufanya ili majina yangu ya vyeti vya shule niweke jina la tatu ambalo liko kwenye cheti za kuzaliwa. Kindly advise, please!
  7. R

    Msaada tafadhali wa mfumo wa vyeti vya kuzaliwa

    Eti kwa sasa kila cheti say cha kuzaliwa lazima kiwe kwenye mfumo wa kitu kama ATM cards? please advise/assist if this is the policy now
  8. N

    Msaada wa kupata ajira ya kueleweka

    Habari za muda huu wakuu, mimi ni mhitimu wa shahada ya awali ya Bima na udhibiti viashiria hatarishi (Bachelor in insurance and risk management) 2022, kiukweli nashukuru sana tangu nimalize chuo sijawahi Kaa bila kazi nilipomaliza mwaka 2022 ni moja ya wanafunzi tuliofaulu vizuri na kuchukuliwa...
  9. Ayos

    MSAADA: Kuwafikia wateja wengi kwa njia ya sms

    Wakuu kwema? Nilikua naomba mwenye kujua njia ya kuwatumia wateja wanao nizunguka sms hata bila ya kuwa na namba zao wote. Yani wateja walio karibu na biashara yangu tu ndio wapate meseji ya huduma nnazotoa. Asante, nasubiri mchango wenu
  10. Beberu Mwitu

    Msaada wa Mawasiliano ya admission office Open University

    Habari za asubuhi wana JF, Niende moja kwa moja kwenye jambo langu. Siku kadhaa zilizopita nilijisajili na mfumo wa kuomba kozi mojawapo pale chuo kikuu huria. Nilikamilisha taratibu zote na baada ya hapo nikapewa password ili nikamilishe taratibu za maombi. Nilipotoka kwenye mfumo na kujaribu...
  11. M

    Wataalamu wa madini msaada

    Habarini wadau. Kwa mwenye ujuzi na madini haswa laboratory results. Matokea mazuri kwa upande wa copper huwani kuanzia % ngapi . Namaanisha results ambayo inaonyesha copper ina kiwango na inafaa kwa kuuzwa na pia bei ya ton 1 copper ni bei gani??.
  12. Rector1983

    Msaada wenu kwenye interview utumishi kada ya msaidizi wa hesabu II

    Msaada kwa wanaohitaji aptitude interview questions kada ya msaidizi wa Kumbukumbu II, nimeyaambatanisha maswali na mshindwe nyie tu.
  13. Brojust

    Msaada wa fasta ndugu zangu

    Ndugu zangu Mimi kijana wenu wa hapa jukwaani. Nina shida ya 10K nakurudishia 20K jioni ya Leo. Kuna mistake Moja nimefanya nimeibiwa Kila kitu. Nimeamka na simu tu na bundle. TIGO 0710782874 (Brown Nyanza) Natanguliza shukrani.
  14. PLOII

    Msaada kwa anayefahamu mawasiliano ya Ofisi za Rita Ilemela

    Habari za Leo Wadau, Nina shida na namba za Ofisi ya Rita- Ilemela. Hata nikipata za mtu anayefanya Kazi Halmashauri ya Ilemela it's good for further follow up. Hearing from you guys, it's urgent.
  15. A

    Msaada: Kuna Chama Cha Watu wasiosikia vizuri Tanzania?

    Habari, Kuna Chama Cha Watu wasiosikia vizuri Tanzania? Mimi ninashinda ya masikio kupiga kelele kutokana na sikio la ndani kuwa na shida. Nimehangaika sana mahospitalini lakini shida niliyonayo ni haitibiki (Tinnitus) ni ugonjwa wa kawaida na unawakumba watu wengine Duniani. Naomba mwenye...
  16. Montania

    Msaada: Tiba ya vitu kumbea mwilini

    Habari za wakati Huu, Naomba kwa mtu aliyewahi kupona tatizo la kutembelewa na vitu mwilin kama vile mkononi, mgongoni atusaidie dawa yake ni nini? Au kama kuna mtaalamu (Daktari) anayejua matibabu ya hii hali anisaidie sababu ni hali inayokera na inatokea mda wowote. Natanguliza shukrani.
  17. jblus

    Msaada kwa anayeifahamu Zanzuli Secondary

    Habari wana JF Kuna mdogo wangu anaingia kidato cha Tano, kapangiwa shule inaitwa ZANZULI SECONDARY ipo SHINYANGA. Cha ajabu ni kwamba Joining instruction form ya shule hii haipatikani kabisa kwenye tovuti ya tamisemi. Na hata nikiingia google siipati kabisa, nakutana na shule inaitwa ZUNZULI...
  18. M

    Msaada Vitafunwa sahihi kwa mtu mwenye Madonda ya tumbo

    Wakuu nauliza vitafunwa vipi sahihi kwa mtu mwenye Madonda ya tumbo,atumie vitanwa Gani kwa ajili ya chai
  19. Mr Beach Boy

    Naomba msaada kuhusu kujitolea kazi ya kujitolea

    Nilikuwa nauliza hivi, nimemaliza chuo Mwezi huu.. Matokeo bado hayajatoka mpaka mwezi wa nane. Je kwa mfano nataka kuandika barua mahali Fulani nikiwa na Lengo la kujitolea... Nina takiwa kuambatanisha kitu gani ili kuthibitisha kuwa na taaluma ya kazi husika?? Ahsante karibuni kwa ushauri mzuri
  20. M

    Msaada Madonda ya tumbo yananitesa tumbo linauma sana

    Habar wakuu nimekua nikisumbuliwa na vidonda vya tumbo mda Sasa tangu 2019 nilipima mpaka endoscopy nkaonekana na vitatu vidonda na acid,,nimetumia dawa za hospital kila aina Bado msaada wenu wa tiba kwa waliopona kupata changamoto ya Madonda ya tumbo sugu
Back
Top Bottom