moshi

Moshi Monsters was a British website aimed at children aged 6-12, with over 80 million registered users in 150 territories worldwide. Users could choose from one of six virtual pet monsters (Diavlo, Luvli, Katsuma, Poppet, Furi and Zommer) they could create, name and nurture. Once their pet had been customized, players could navigate their way around Monstro City, take daily puzzle challenges to earn 'Rox' (a virtual currency), play games, personalize their room and communicate with other users in a safe environment, although this has been disputed. Moshi Monsters officially closed on 13 December 2019.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Moshi pasafi, pako organized ni wazi sehemu ya Tanzania kibahati mbaya

    Ni mda sana sijaja Moshi kwa sahivi niko Moshi zifuatazo ni sifa ambazo nilikuwa nazimiss Pasafi-moshi paradise sana aisee sio sawa na miji mingi hapa Tanzania Hakuna makelele ni ngumu kusikia watu wanaropoka kama dsm Watu ni wastaarabu sana Napata usingizi mzuri sana hali ya hewa nzuri sana...
  2. J

    Padre Lui Shayo wa Jimbo Katoliki Moshi aadhimisha Jubilei ya almasi (miaka 75) ya Upadre akiwa na umri wa miaka 106

    Tumsifu Yesu Kristo! Katika Kathedrali ya Jimbo Katoliki Moshi imefanyika ibada ya Misa Takatifu ya Jubilee ya Miaka 75 ya Upadre wa Padre Lui Shayo. Padre Lui Shayo alipata daraja Takatifu la Upadre mnamo June 25, 1950. Pamoja na Jubilee ya miaka 75 ya Upadre, pia Padre Lui anaadhimisha...
  3. Hharyson

    Fuatilia gharama za hii airbnb appartments tunayoendelea kuifanya moshi yenye 2 units each 2 bedroom, high ceiling lounge +255624004650

    🏠 HOUSE DESCRIPTION (2 UNITS) Each unit includes: 🔹 Ground Floor: Lounge, Dining, Open Kitchen, Public Toilet 🔹 First Floor: Family Room with Balcony, 2 Master Bedrooms 💰 COST BREAKDOWN PER PHASE: Foundation – TZS 32,000,000 Wall & Column (Ground Floor) – TZS 15,000,000 Slab – TZS 41,000,000...
  4. DuaZaMama

    Waandamanaji wakicheza mpira wa miguu katikati ya Moshi wa Gesi ya kutoa machozi

    Waandamanaji wakicheza mpira wa miguu katikati ya moshi wa gesi ya kutoa machozi katika mitaa ya Nairobi wakati wa maandamano ya kumbukumbu ya Juni 25. Tukio hilo lilitokea katikati ya maandamano ya kitaifa yaliyoongozwa na vijana, hasa kizazi cha Gen Z, waliokusanyika kuadhimisha mwaka mmoja...
  5. ufalmedigital

    Kijue chuo cha polisi Moshi

    chuo cha siku: Chuo cha Polisi Moshi M By monahyohana June 25, 2025 Chuo cha Polisi Moshi ni taasisi rasmi ya mafunzo ya Jeshi la Polisi Tanzania kilichopo Moshi, mkoani Kilimanjaro. Kimeanzishwa rasmi mwaka 1954 na kinaandaa maafisa na askari kwa ngazi mbalimbali kupitia taaluma za kijeshi...
  6. A

    DOKEZO Uwiano usio sawa wa walimu shule za msingi Moshi manispaa

    Katika manispaa ya Moshi Kuna upendeleo mkubwa wa upangaji walimu katika shule za msingi Kwa kile kinachodaiwa walimu wakuu kutotoa "bahasha ya kaki" Kwa afisa elimu na maafisa taaluma msingi. Kuna shule Zina idadi ndogo ya wanafunzi lakini walimu ni wengi kuliko shule zenye idadi kubwa ya...
  7. Quimica

    Mchumba wangu ameenda CCP Moshi

    Of course limekuwa jambo lakuhuzunisha sana lakini sina Budi maana binti alinieleza kabisa kwamba kabla sjaanza nae mahusiano wiki moja nyuma alishaconfirm na familia yake kwamba anaenda Polisi japo aliniambia kwamba hakutamani kwenda ila msisitizo wa Familia na yeye kusema ugumu wa maisha ,japo...
  8. DR Mambo Jambo

    Kwanini Tunalisukuma Taifa kwenye Inevitable Collapse? Moshi mweusi unapoonekana, Busara ni Kushusha Mapanga & Kurejea Mezani "Mungu Ibariki Tanzania"

    Nimekuwa nikifuatilia kwa makini mwenendo wa mijadala inayozunguka kauli ya “No Reform, No Election” ambayo sasa imekuwa gumzo mitandaoni na imeanza kujitokeza pia kwenye majukwaa ya wazi, hasa Jana Usiku kwenyr Tamasha la Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Kama Mtanzania ninayeamini katika utulivu...
  9. Mkalukungone Mwamba

    Moshi: Diwani aahidi kutoa donge nono kwa watakaofanikisha kujua mtuhumiwa wa mauaji ya wanandoa

    Vilio na simanzi vimetawala katika mazishi ya wanandoa Geofrey Motta (60) na Blandina Ngowi(53) wakati miili yao ikizikwa katika makaburi ya familia yaliyopo eneo la Kariwa chini, kata ya Rau, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro. Wanandoa hao ambao ni wakazi wa Msufuni, Msaranga, wanadaiwa...
  10. T

    Second Press : Leo moshi moto unafuka, Tujiandae

    Wandugu Kama alivyosema, leo moshi unafuka. Tujiandae kwa press kubwa kuwahi kutokea chini ya ardhi ya Tanzania Nakushauri urekodi, tupatie kideo, live press haitaishi ushavamiwa. Kila la kheri
  11. ufalmedigital

    kijue chuo cha Moshi Co-operative University (MoCU)

    Moshi Co-operative University (MoCU) ni chuo kikuu cha umma kilichopo mjini Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro, Tanzania. Chuo hiki kinajikita katika kutoa elimu, mafunzo, utafiti, na huduma za ushauri katika nyanja za ushirika, biashara, na maendeleo ya jamii. Mahali na Historia Mahali: Chuo...
  12. Waufukweni

    Waliofaulu usaili Jeshi la Polisi kuripoti Moshi Juni 12–14 kwa Mafunzo

    Jeshi la Polisi Tanzania limewataka vijana waliochaguliwa kujiunga nalo kuripoti katika Shule ya Polisi Moshi kuanzia Juni 12 hadi 14, 2025 kwa ajili ya kuhudhuria mafunzo. Vijana hao, ni wale waliofanya maombi na kufaulu katika usaili uliofanyika katika maeneo mbalimbali nchini. Taarifa ya...
  13. L

    Moshi Mweupe Wafuka Juu Ya Bendera Ya Tanzania Geneva Uswisi. Tanzania na Professa Mohammedi Janabi Kuibuka Kidedea

    Ndugu zangu Watanzania, Moshi Mweupe Wafuka Juu ya Bendera Yetu ya Tanzania Geneva Uswisi. Yatabiliwa Tanzania na Professa Mohammedi Janabi Kuibuka Kidedea kwa mara nyingine tena katika kinyang'anyiro cha ukurugenzi mkuu wa WHO kanda ya Afrika. Hii ni kutokana na uungwaji mkono mkubwa...
  14. M

    Pisi Kali kwa hapa Moshi - Maeneo ya KCMC zinapatikana wapi??

    Wakuu heshima zenu, Nipo Moshi kwa muda usiopungua wiki kadha.Kwa uwepo wangu hapa bado sijapata kuona maeneo yenye pisi Kali. Naomba uelekeo wenu wakuu na kama yupo humu ambaye yupo serious kidogo aje PM tuyajenge chap.
  15. Webabu

    VIongozi wa Ulaya waenda Kyiv kwa gari moshi kuiomba Urusi isitishe Vita na Ukraine

    Vita vya miaka mitatu vimetoa funzo kubwa kwa mataifa makubwa duniani pamoja na Ulaya. Wakiwakilisha wenzao,viongozi watano wa mataifa ya Ulaya walifika mjini Kyiv hapo juzi na kukushanyika kwa pamoja na raisi Zelenky kwa madhumuni ya kuitaka Urusi iongeze muda wa usitishwaji vita kutoka siku 3...
  16. M

    Nahitaji chumba cha kupanga Moshi

    Amani ya Bwana iwe nanyi. Naomba msaada wa chumba cha kupanga master au master sebule sawa, bei isizidi 130,000/= Maeneo ya mitaa ya Mbuyuni, Dar Es Salaam hadi Soweto na maeneo mengine jirani na hiyo mitaa. Natanguliza shukrani.
  17. M

    PreGE2025 Mwenezi CCM Moshi Vijijini anavyobeba watia nia majimbo ya Moshi Vijijini na Vunjo

    Wakati CCM kupitia viongozi wake wakuu wanakemea kampeni za mapema na viongozi kubeba wagombea/watia nia hali huko wilaya ya Moshi Vijijini ni tofauti. Mwenezi wa CCM wilaya hiyo aitwaye Huseni Abduli eikei mwenyekiti anayeishi mji wa Himo amekuwa kinara wa kubeba wasaka ubunge wakiwemo Nicolas...
  18. Pdidy

    Huu moshi mweupe ama mweusi kuchagua pope unatokea wapi..nani anawasha moto wake

    NILikuwa naangalia wapiga kura wa kuchagua pope mpya Kabla ya yotre ealieleza tukiona moshi mweupe ujue papa amekuja Mweusi mjue shuhuli pevu Sada nawaza huu moshi hutokea wapi Na kama ni sababu ya moto anayewasha n nani?? Kila la kheri mtoa moshi embu kwa walivyochoka wapiga kura njoo na...
  19. Mkalukungone Mwamba

    Maporomoko ya udongo yaliyosababishwa na mvua kubwa yafunika/yasomba Watu na nyumba Moshi

    Watu watatu katika kijiji cha Mbokomu, wilayani Moshi wamefariki dunia kwa kufunikwa na kifusi baada ya maporomoko ya udongo yaliyotokea usiku wa kuamkia leo kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali nchini. Mbunge wa Moshi vijijini Profesa Patrick Ndakidemi amesema mbali na...
  20. B

    Mafuriko Kiboroloni Moshi, maji yaja kwa vishindo

    O6 May 2025 Kiboroloni Mto wafurika na kuleta maafa mjini Moshi https://m.youtube.com/watch?v=kmQ_Uwh_r-g Mkazi wa Kiboroloni rastaman Kimambo aomba serikali inyooshe mto ili eneo hilo liwe kama la Majengo kwa Mtei ambapo kona za mto zilichongwa na kunyooshwa hivyo kuepusha matatizo ya...
Back
Top Bottom