Kuna jamaa muislamu kaoa ndoa moja simple sana yani, no mc, no mbwembwe!
Wakati wa saa moja kasoro ile kufuturu jamaa kaoa hapohapo, watu wametulia kwenye mkeka na vikombe vya uji wanajitafunia zao maandazi, shekhe aliefungisha ndoa kapigwa buku 5 tu ya maji.
Yani ndoa mpaka inakamilika...