Think2
JF-Expert Member
- Jan 3, 2025
- 2,712
- 4,989
Naomba niwapongeze bodaboda wote walifatilia watekaji kama wasingekuwa wao Djumbe tusingemuona tena bodaboda mmefanya jambo la ujasiri sana kuhatarisha maisha yenu Mungu atawalipeni watekaji walifyatua risasi lakini mlinusurika wote
Djumbe kapata upenyo ameoka nafsi yake kutoka kwa watekaji wasio na roho ya utu.
MWISHO,Bodaboda mlikuwa maeneo ya tukio mhame kwa usalama wenu maana watekaji wanahasira sana hata polisi wakiomba ushirikiano kataeni ndio hao hao
Inakuaje pingu za watekaji polisi wamiiiki funguo za pingu husika?
Djumbe kapata upenyo ameoka nafsi yake kutoka kwa watekaji wasio na roho ya utu.
MWISHO,Bodaboda mlikuwa maeneo ya tukio mhame kwa usalama wenu maana watekaji wanahasira sana hata polisi wakiomba ushirikiano kataeni ndio hao hao
Inakuaje pingu za watekaji polisi wamiiiki funguo za pingu husika?