Traxtion
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 7,588
- 15,478
Huyu mama hata hesabu za darasa la pili zinamshinda
Hivi kweli nusu ya laki moja ni 556? Hebu msikilizeni wenyewe
Na bado anaendelea kukopa na hajui hata kuchagua maneno ya busara ya kujustify upuuzi wake
Juzi tu katuambia Marekani mafuta lita moja ni dola 8000 sawa na Tsh milioni 20 😂😂
Nishaanza kuona dalili Tanzania inaenda kuwa failed state.
Bi Mdashi miyeyusho sana
Hivi kweli nusu ya laki moja ni 556? Hebu msikilizeni wenyewe
Nishaanza kuona dalili Tanzania inaenda kuwa failed state.
Bi Mdashi miyeyusho sana