Mtandaoni kila mtu daktari, Figo Figo mna uhakika?

Mtandaoni kila mtu daktari, Figo Figo mna uhakika?

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
5,188
Reaction score
14,346
markup_1000304017.png
Kupima kwenu kwa macho kunawaponza mzungu sio mjinga kuweka vipimo sio kila homa ni malaria
 
Tonnie professor bingwa wa kugigida vikali vyote unavojua kama double kick, smart gin, kvant, valuer nk
Vyote tunapiga na bado tupo njema yeye anafeli wapi.!?

Udambudambu wa miguu ya kuku plus utumbo asubuhi supu ya mapupu mixer Bandama mbona unang'aa
 
Ila kwa lifestyle ya pombe yaweza kuwa ndio kituo kinachofata
 
Ukweli ni kuwa utabibu ni mgumu, hilo tunakubali na tunaheshimu sana taaluma yenu madaktari. Ila kwa watu wanaopenda kushughulisha akili zao zama hizi, kuna mambo mengi mtu anajua, walau theoretically.
Ndio maana siku hizi kuna antibiotic resistance kibao, mtu aingia tu AI anakimbilia pharmacy
 
Back
Top Bottom