mitandaoni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. X

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenu JF wajuaji, katika pitapita zangu mitandaoni nimekutana na haya meneno "CHUDAI" na "WATAA" yana maana gani?

    CHUDAI na WATAA ni maneno yanashika kasi sana kwenye pages mbalimbali za social media Nimekutana nayo sana huko mjini X nimeyaona tena usiku huu Hebu tusioyajua tueleweshwe tuache kupretend tunajua Yana maana gani hayo maneno?
  2. Akilindogosana

    JamiiForums Tanzania Andaeni mdahalo kati za Mzee Wassira na Heche. Uwe live kwenye tv, radio na mitandaoni

    Wahusika andaeni mdahalo kati ya Heche na Mzee Wassira. Uwe live kwenye tv, radio na mitandaoni. Chief odemba uwepo. Watiane spana vizuri Mdahalo uzungumzie 1. Masuala ya vijana 2. Hali ya kiuchumi 3. Ukosefu wa ajira 4. Nyingine muongezee
  3. Carlos The Jackal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ujinga wa Watanzania unavyofanya wanatapelewa mitandaoni Kila siku !!

    Maisha yanaenda Kasi, Kila MTU Kila siku anatafuta namna ya kuishi. WACHINA Kila siku wanakuja na Gunduzi za Kila aina , Gunduzi zao zinawekwa mitandaon , zipo Gunduzi zinazowekwa mitandaoni lakn zinakua restricted kutumika kwenye Nchi zao tu . WABONGO MATAPELI, na vile tuna TCRA ya kudeal...
  4. O

    JamiiForums Tanzania Changamoto na matangazo ya mitandaoni

    Inakuwaje au unajisikiaje unapolipia tangazo alafu watu wanabofya bofya tu ila hawana nia ya kununua bidhaa zako mtu anaulizia singsung s23 shingapi unampa bei anapotea hata kurudiaha jibu hapana yaani unaweza kupokea message hata 20 halafu majamaa ukiyajibu yanakaa kimya hakuna kurudiaha jibu...
  5. W

    JamiiForums Tanzania Ukongwe / legend inakujaga pale msanii au producer anapotea sokoni na kazi zake hazisikiki redioni wala kutrend mitandaoni, hii ni mifano bongo fleva

    Ukongwe unakujaga pale unapopotea sokoni & husikik Radion wala mitandaoni, Lakini kama bado msanii anatoa ngoma zenye impact ni ngumu kuitwa mkongwe (mfano kwa Ali Kiba na Diamond walioanza kuhit kabla ya 2010 na bado wapo). Mifano ya legends / wakongwe Wasanii. 20 Percent Lady Jay Dee Ray C...
  6. Fortilo

    JamiiForums Tanzania Ya Kikwete na Mkapa wa 1995, kujirudia Chadema 2025?

    Wakuu salam, Wakati huko mitandaoni watu wanataka kuuwana na kuchukia wengine, siku zote wanasiasa ni wale wale Kwa miaka takribani 30 sasa, Chadema inaenda ku set a very new political pathway kwa vyama vyote vya upinzani kufuata.. Nawashangaa sana vijana wanaopasuana kwa matusi mitandaoni...
  7. Rorscharch

    JamiiForums Tanzania Walimu jiongezeni maarifa mitandaoni kabla ya kuingia Darasani maana wanafunzi wenu wanawaona vilaza mkijongea hapo ubaoni na kushika chaki

    Kwa kizazi hiki cha kidigitali, kama mwalimu unaendelea kufikiri kwa mtazamo wa kianalogia, ni wazi kwamba wanafunzi wako watakudharau sana. Fikiria, unawafundisha kuwa kuna sayari tisa, lakini wao wakigoogle wenyewe wanagundua kuwa zipo zaidi ya 1,000. Unategemea watachukulia masomo yako kwa...
  8. Q

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Mbowe yupo kimya anatafuta kura, Lissu yupo bize mitandaoni kukilaumu chama

    The difference is clear. Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele. As a result ukishindwa unaanza kusingizia umeibiwa kura kumbe muda mwingi uliutumia kutoa lawama kwa mshindani wako...
  9. matunduizi

    JamiiForums Tanzania Hadi sasa kwa maoni mitandaoni, Karibu 90% wanamtaka LISSU ambebe sura ya chadema mpya.

    Wafia Chadema mitandaoni karibu wote wako upande wa LISSU. Watu wanaoikosoa Serikali bila kuwa na mlengo wa chama wako na Lissu. Inaonekana picha ya Upinzani mitandaoni ni chama kisicho na ukaribu kabisa na watawala. Yaani ule wa kupinga na kuponda. Chochote nje ya hapo unahesabika ni CCM au...
  10. hamis77

    JamiiForums Tanzania Kwanini Prof Janabi kafuta CV yake mitandaoni?

    Prof Janabi Aliweka CV yake mitandaoni kwa bashasha sana, ikiwa imejaa karibu kurasa 18 Huko Instagram na Twitter ilikuwa ni hongera tu zinamwagika CV yake ilipofika mikononi mwa Great thinker wa JF imechambuliwa kinagaubaga , Imeibua mambo mengi yanayoleta maswali ,kwanza kaonekana sio...
  11. Shanily

    JamiiForums Tanzania Kujipost mitandaoni Kila siku napo ni utumwa

    Kuna watu hawezi kupitisha siku bila kujipost mtandaoni. Anajaza status weeee utasema analipwa na WhatsApp. Hana siri kila kitu hadharani kwenye mitandao, yaani huna hata haja ya kupeleleza habari zake , ukizitaka tu unazipata mtandaoni. Akiachwa, akiwa na huzuni, akiwa na furaha vyote ni...
  12. L

    JamiiForums Tanzania Wale mnaowashambulia viongozi wetu mitandaoni Angalieni alichopost Elon Musk Tajiri Namba Moja Duniani

    Ndugu zangu Watanzania, Mimi kila siku huwa naangalia na kusoma vitu anavyopost na kuandika mitandaoni Tajiri Nambari Moja Duniani Elon Musk kupitia mtandao wake wa Twitter maarufu X. Ambapo amekuwa akipost na kuandika vitu vya kawaida na vyepesi sana ambavyo huwezi kujifunza kitu chochote...
  13. Carlos The Jackal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana acheni kuoa wanawake wa mitandaoni

    Kuna ka upepo ka Ulimbukeni ambako kanaendelea kuwapitia hawa watoto wa kike. Kwasababu tu yupo TikTok, IG ana followers wengi n.k, tayari hujiona kichwani kwake anahitajika kuliko chochote, na hili ndio kosa kubwa. Waschana wa aina hii, suala la Ndoa halipo kichwan kwake, na ukimuona kubali...
  14. The Palm Beach

    JamiiForums Tanzania Ajali ya bus la Wabunge: 98% ya wananchi waliotoa maoni yao mitandaoni waliombea wafe wote...!

    Mimi binafsi nilijizuia nisiseme neno lolote... Lakini kimoyomoyo niliona na kufikiri kuwa kwa kuwa wameikataa njia ya haki ya kubadilishana uongozi na madaraka.... Basi, pengine njia inayofaa kuuondoa huu utawala wa uovu chini ya CCM, obvious ni hii ya kufagiliwa kwa mauti za namna hii...
  15. Msaga_sumu

    JamiiForums Tanzania Makampuni ya mikopo mitandaoni

    Tunaamini ukila ukashiba na akili inalala,, Kama elimu yako ndogo, masikini na matapeli ndo hawatowaelewa hawa watu ukitaka jua sifa ya mtu hohehahe ni kuwachukia hawa jamaa. Wakati najitafuta niliwahi pita na kupewa kibarua na kampuni zao wameajiriwa vijana wengi wanajipatia chochote cha...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Lugha za baadhi ya madalali wa nyumba mitandaoni hazina maadili na huweza kuleta athari kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii

    Mitandao ya kijamii imekuwa na athari kubwa kwa watumiaji zikiwemo zenye matokea chana na zingine matokea hasi. Moja wapo ya manufaa chana ni namna ambavyo mitandao ya kijamii imesaidia utangazaji wa biashara mbalimbali mitandaoni na upatikanaji wa bidhaa mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii...
  17. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Nawapongeza wanajeshi wa Tanzania kwa kutokuinajisi sare ya jeshi mitandaoni

    Ni nadra sana kuona mwanajeshi wa Tanzania kapiga picha na kuitupia mtandaoni akiwa na vazi la jeshi . Si kwa maafisa au kwa maaskari. Hii adabu si kwa JWTZ tu hata polisi, magereza, fire and rescue, uhamiaji na majeshi usu yote. Jirani zetu Kenya wanajeshi wanachezea comedy sare zao. Good...
  18. Carlos The Jackal

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kutoka mitandaoni ,kutana na Mmoja ya wanaume wapuuzi wa kizazi cha leo

    Mnajua Wanawake wanatuhitaji sana sisi wanaume ndicho kitu walichoumbiwa. Mwanamke inabidi ndio awe mwenye Furaha sana pale unapomwambia Ninakuoa !!. Et waoo kasema ' ndio' , Kwa lugha nyingine Jama alikua Kwa Mahusiano ambayo bado Demu alikua na Option nyingine !!. Hivi inakuaje Mwanaume...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Katika kuwalinda watoto, mambo kama haya mitandaoni ndio ninayoyapiga vita Kila siku

    Inawezekana likawa ni suala ambalo watu mmelizoea mitandaoni na kulichukua poa tu lakini Kwa maoni yangu Binafsi ni jambo la hatari linaloharibu watoto ambao ndio kizazi cha kesho. Narudia kama tutashindwa kuweka mikakati ya kuwalinda watoto dhidi ya upuuzi Huu unaoendelea, ni wazi tutakua na...
  20. Mwanadiplomasia Mahiri

    JamiiForums Tanzania Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni malalamiko ni mengi kuhusiana na network yao, naombeni ushauri

    Nataka kununua router ya Airtel ila mitandaoni naona kelele ni nyingi juu ya malalamiko kuhusiana na internet kuwa slow. Nilipo hapa natumia bando la kawaida la Airtel na liko poa. Naombeni ushauri kuhusu hizo router zinafaa au hazifai kabla sijaingia mkenge! NB Matumizi yangu ni ya kawaida...
Back
Top Bottom