Kuna kampuni ya kutoa mikopo mitandaoni inatumia majina ya "USTAWI LOAN, HAKIKA LOAN, YOYO PESA na BOBA CASH wanatoa viwango vya mikopo tofauti na wanachokitangaza mitandaoni. Mfano, kwenye app yao Facebook wanatangaza kwamba mkopo wao unaanzia 50,000/= na kuendelea ila ukiomba wanakupa 32,000/=...