Rock candy or sugar candy (in British English), also called rock sugar, is a type of confection composed of relatively large sugar crystals. This candy is formed by allowing a supersaturated solution of sugar and water to crystallize onto a surface suitable for crystal nucleation, such as a string, stick, or plain granulated sugar. Heating the water before adding the sugar allows more sugar to dissolve thus producing larger crystals. Crystals form after 6 to 7 days. Food coloring may be added to the mixture to produce colored candy.
Kwa mujibu wa ripoti ya mwaka 2020 iliotolewa na taasisi ya Fire Power imeitaja nchi ya Misri kuwa ndio yenye zaidi ya kijeshi Afrika na inashika namba 9 duniani.
---
Budget: $4.4 billion
Active frontline personnel: 468,500
Tanks: 4,624
Total aircraft: 1,107
Submarines: 4
The Egyptian military...
..kwanza nimpe shukurani mwanachama mwenzetu Shwari kwa kutuletea makala hii.
..nimeona niilete makala hii ktk jukwaa la siasa ili iweze kusomwa na wanachama wengi zaidi.
In an interview with Nawal El Saadawy of Egypt's El Mussawar first published on 19 October 1984, Mwalimu Nyerere discusses...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu vijana watanzania;
Mtu mzima aliyekuzidi umri akikukwaza usimtukane matusi. Mkikutana mkwepe au tafuta mtu mzima mwenzake amwambie ajirekebishe.
Nimeamua kusema hivi kwa maana kwamba, juzi baada ya kutoka katika mizunguko yangu...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu watanzania eti;
Nchi ya Misri ina ushawishi mkubwa sana katika siasa (Political Influence) za eneo gani kati ya Africa na mashariki ya kati (Middle East)?
Rais wa Misri Hosni Mubarak akiwa na Saddam Hussein pamoja na Yasser...
Kombe analokabidhiwa Bingwa wa mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika, AFCON limeripotiwa kuibiwa kutoka makao makuu ya Chama cha Soka cha Misri, EFA
Makamu wa rais wa zamani wa EFA, Ahmed Shobier ametoa madai ya kushangaza kuwa kombe hilo lenye thamani kubwa Afrika limepotea katika mazingira...
“Nataka Tanzania iwe kama Ulaya, nataka Nchi hii iwe kama Ulaya, sisi ndio tuwe tunatoa misaada na mipango hiyo tunayo na mipango hiyo imepangwa vizuri kupitia Ilani ya CCM” -JPM
East Africa Television - News
Kama Kauli hii imetolewa tu 'Kisiasa' zaidi kuelekea katika Kampeni za Uchaguzi huu...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Mimi mdogo wenu (Last Born) Infantry Soldier nipo mzima kabisa wa afya. Thanks to God the Almighty.
Eti ndugu zangu watanzania;
Jeshi la anga la Misri linaweza kufanya shambulizi la ghafla (Blitzkrieg) kwenye bwawa kubwa la kuzalishia umeme...
Ethiopia Ni chanzo kikuu Cha maji ya mto Nile, pamoja na Uganda na Tanzania kwa kiasi fulani. Misri na Sudan Ni nchi ambazo zinategemea maji ya mto Nile kwa kunywa, matumizi ya nyumbani, kilimo, ufugaji na viwanda.
Vita kamili inanukia Kati ya Ethiopia na Misri kupigana kwaajili ya matuzi ya...
Rais wa Misri, Abdel Fattah al-Sisi amepitisha sheria inayozuia wanajeshi & waliokuwa wanajeshi kugombea Urais, Ubunge au kujiunga vyama vya siasa bila kuomba ridhaa kutoka Baraza la Juu la Jeshi. Sheria hiyo inadaiwa kuwa inalenga kulinda urais wake dhidi ya waliokuwa wanajeshi.
=======...
Daktari mmoja amekamatwa baada ya kuandika makala juu ya mfumo mbovu wa wafya nchini Misri.
Na mfamasia mmoja alikamatwa kutoka ofisini kwake baada ya kuposti kuwepo kwa upungufu wa vifaa vya kujikinga.
Naye Mhariri alichukuliwa kutoka nyumbani kwake baada ya kudadisi takwimu rasmi za...
Spika wa bunge Mh Ndugai amesema bunge lake limefanya mambo mengi makubwa lakini watu hawayaoni tu au hawataki kuyasema na kusifia.
Amesema bunge analoliongoza limeweka historia ya pekee tangu bunge hilo liasisiwe ya kupeleka wabunge zaidi ya 70 Cairo nchini Misri kuishangilia timu ya taifa...
Ilikuwa 2012, nilichukua package holiday ya siku tano ilijumlisha hoteli ya nyota tatu, nauli ya ndege na usafiri wa ndani kwa £1,200. Hii ilikuwa inajumlisha chai asubuhi na chakula cha usiku.
Tulikuwa watu 10 kwenye group kwetu. Tulipofika airport Dereks wa tour alishika bango eneo la...
Shirikisho la Mpira wa Miguu la Misri (EFA) limetangaza kuwa Mohamed Abdo(59) amefariki Mei, 11 baada ya kuambukizwa #CoronaVirus
Abdo ni mwananichezo wa kwanza nchini Misri kuripotiwa kufariki kwa #CoronaVirus. Michezo yote ikiwemo mpira wa miguu ilisitishwa tangu Mwezi Machi kuepuka...
Salute
Nakumbuka kipindi nipo secondary kwenye masomo yangu pendwa hasa Biology karibia kila terminology nililiyokua nasoma kwenye definition yake ilikua inaanza na maneno “it’s a Greek word”, swali kubwa nililokua nabaki nalo na mpaka sasa hua najiuliza ni kwamba..Je wagiriki ndio watu wenye...
CAIRO, MISRI
JUMUIYA za kutetea Haki za Binadamu nchini Misri zimetangaza kuwa, mfungwa mwingine wa kisiasa, Muhandisi Hisham Abu Ali amefia jela akiwa chini ya mateso ya maofisa usalama wa nchi hiyo.
Jumuiya hizo zimeripoti kuwa, mfungwa huyo wa kisiasa ameaga dunia wakati alipokuwa akipewa...
Aliyekuwa afisa wa ngazi ya juu katika jeshi la Misri Hisham al-Ashmaw, amenyongwa hii jana baada ya kupewa hukumu hiyo kutokana na kuhusika na mashambulio kadhaa
Taarifa ya kunyongwa kwa al-Ashmawy imetolewa na msemaji wa jeshi la nchi hiyo
Ashmawy aliyekuwa afisa wa kikosi maalumu cha...
Misri, Ethiopia na Sudan wamefikia makubaliano ya awali ya kujaza maji na shughuli nyingine kwenye bwawa kubwa linalojengwa Mto Nile.
Taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi tatu, pamoja na Marekani na Benki ya Dunia, imesema kwamba washiriki wanaojadiliana wamekubaliana kujaza bwawa la Grand...
Kampuni ya nchini Misri inayomilikiwa na serikali, Arab Contractors imeshinda tenda ya kubuni/kusanifu na kujenga bwawa la Stiegler's Gorge katika maporomoko ya mto Rufiji.
Baada ya Kampuni hiyo kushinda tenda, Rais wa Misri, Abdel-Fattah al-Sisi amempigia simu Rais Magufuli na kutoa shukrani...
Mheshimiwa magufuli mtetezi wa wanyonge tunatambua kiu ulokuwa nayo ya kuwatumikia watanzania na kuwatoa misiri kuwapeleka kanaani
lakin kwa maoni ya watanzania inaonekana kama vile kanaani ni.mbali bora warudishwe misiri tu
MISIRI WALIYAPATA YAFUATAYO
1. Watu walikwepa kodi misiri
2.watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.