mikopo

  1. Abraham Lincolnn

    Mikopo ya awamu ya tano matumizi yanaonekana, Mikopo ya awamu hii ambayo ni mikubwa zaidi imetumikaje?

    Mikopo ya awamu ya Tano; Treni ya kisasa ya SGR Bwawa la umeme la Nyerere (JNHEP) Daraja la Kigogo - Busisi Tanzanite Bridge John Kijazi interchange Mfugale Flyover Ubungo Bus Terminal JK Nyerere international airport Terminal 3 Magufuli city - Dodoma Barabara za Mwendokasi - BRT Ikulu mpya -...
  2. S

    Benki Kuu (BoT) Arusha nani anailinda hii taasisi inayoitwa IVOJ inayotoa mikopo maeneo ya Kilombero!

    Kuna taasisi ipo pale Kilombero jijini Arusha jengo la Summit Centre inaitwa IVOJ inatoa mikopo. Taasisi tajwa ni zaidi ya kausha damu, riba ni kubwa sana, ukichukua Milioni moja unarudisha zaidi ya Milioni moja na laki 8. Mbaya zaidi na kinachodhalilisha wamekusanya kadi za benki za hao wateja...
  3. poisoner

    Kero ya wanafunzi wa mwaka wa kwanza katika kozi za afya, Ongezeni mikopo

    𝐒𝐚𝐥𝐚𝐦𝐮 𝐳𝐚 𝐡𝐞𝐬𝐡𝐢𝐦𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐚𝐧𝐚𝐣𝐚𝐦𝐢𝐢 𝐰𝐨𝐭𝐞 𝕎𝕒𝕟𝕒𝕗𝕦𝕟𝕫𝕚 𝕨𝕖𝕟𝕘𝕚 𝕨𝕒 𝕞𝕨𝕒𝕜𝕒 𝕨𝕒 𝕜𝕨𝕒𝕟𝕫𝕒, 𝕙𝕒𝕤𝕒 𝕨𝕒𝕝𝕖 𝕨𝕒 𝕜𝕠𝕫𝕚 𝕫𝕒 𝕒𝕗𝕪𝕒, 𝕥𝕦𝕟𝕒𝕡𝕒𝕥𝕒 𝕔𝕙𝕒𝕟𝕘𝕒𝕞𝕠𝕥𝕠 𝕜𝕦𝕓𝕨𝕒 𝕜𝕒𝕥𝕚𝕜𝕒 𝕜𝕦𝕝𝕚𝕡𝕚𝕒 𝕒𝕕𝕒 𝕫𝕖𝕥𝕦. ℍ𝕚𝕚 𝕟𝕚 𝕜𝕨𝕒 𝕤𝕒𝕓𝕒𝕓𝕦 𝕞𝕚𝕜𝕠𝕡𝕠 𝕪𝕒 𝕤𝕖𝕣𝕚𝕜𝕒𝕝𝕚 𝕙𝕒𝕚𝕥𝕠𝕤𝕙𝕚 𝕜𝕦𝕗𝕚𝕕𝕚𝕒 𝕞𝕒𝕙𝕚𝕥𝕒𝕛𝕚 𝕪𝕠𝕥𝕖 𝕪𝕒 𝕖𝕝𝕚𝕞𝕦. ℍ𝕒𝕥𝕒 𝕥𝕦𝕟𝕒𝕡𝕠𝕡𝕠𝕜𝕖𝕒 𝕡𝕠𝕤𝕙𝕠 (𝕓𝕠𝕠𝕞), 𝕚𝕟𝕒𝕜𝕦𝕨𝕒 𝕙𝕒𝕚𝕥𝕠𝕤𝕙𝕚 𝕜𝕦𝕥𝕦𝕟𝕚𝕤𝕙𝕒 𝕞𝕒𝕙𝕚𝕥𝕒𝕛𝕚...
  4. komunisti

    Taasisi za mikopo ESS

    Hivi naruhusiwa kuchukua mkopo kwa taasisi yoyote iliyoko ESS hata kama mkoani kwangu hakuna tawi lao?
  5. Just Pray

    Wanufaika mikopo ya asilimia 10 watakiwa kuwa waaminifu kurejesha mikopo hiyo

    Katibu Tawala wa wilaya ya Meatu mkoani Simiyu Bw. Eliasa Mtarawanje amewasisitiza wanufaika wa mikopo ya 10% kuwa waaminifu kwenye kurejesha mikopo hiyo, Mtarawanje amesema hayo leo Machi 16, 2025 alipokutana na vikundi 42 vilivyonufaika na mikopo ikiwa ni katika kutekeleza maono ya Rais Dkt...
  6. Just Pray

    Wajasiriamali mnaitwa kuchangamkia mikopo ya asilimia 10

    Wakati wimbi la mikopo ya kausha damu likiendelea kutikisa nchini, wajasiriamali wilayani Serengeti mkoani Mara wametakiwa kuchangamkia fursa ya mikopo nafuu ya asilimia 10 inayotolewa na halmashauri. Hayo yamesema na Mwenyekiti Wa UVCCM Mkoa Wa Mara, Mary Joseph wakati akizungumza na...
  7. Just Pray

    Katibu Tawala Mara asema Mikopo ya serikali sio zawadi rejesheni kwa wakati. Tusisahau mikopo waliopewa wasanii nao warejeshe harakaa

    Wakuu Katibu Tawala Mkoa wa Mara, Gerald Kusaya amewataka wananchi wa mkoa huo kutumia mikopo inayotolewa na Serikali kwa manufaa na kuirejesha kwa wakati ili iweze kuwanufaisha wengine wenye uhitaji. Akizungumza wakati alipokutana na timu ya wataalamu ya elimu ya fedha kutoka Wizara ya Fedha...
  8. Stephano Mgendanyi

    Martha Mariki awaasa Wanawake kutumia fursa za mikopo ya 10% kujikwamua kiuchumi

    Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi, Mhe. Martha Festo Mariki amewaasa Wanawake wa Mkoa wa Katavi kutumia vyema fursa ya utoaji mikopo ya Halmashauri ya Asilimia Kumi (10%) inayotolewa na Serikali ili kujikwamua kiuchumi Mbunge Martha Mariki ameyasema hayo katika kilele cha Maadhimisho ya Siku...
  9. Just Pray

    Katibu UVCCM Pwani atembelea wanufaika mikopo asilimia 10

    Katibu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Pwani Comrade Iddi Ntonga amefanya ziara yake ya kazi wilayani bagamoyo ambapo ametembelea vikundi ambavyo vimenufaika na mkopo wa asilimia 10 ya vijana unaotolewa na halmashauri zote nchini. Pia ametembelea vikundi vya waendesha Pikipiki...
  10. Just Pray

    Mtwara kutenga bilioni 2.9 kwaajili ya mikopo ya asilimia 10% 2025/2026

    Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala ametoa wito kwa viongozi kuhakikisha wanawasaidia vikundi mbalimbali ili wajue namna bora ya kutimiza vigezo vya kupata mkopo wa aslimia 10 unaotolewa na halmshauri. Sawala ametoa rai hiyo wakati wa kikao maalum cha kamati ya ushauri ya Mkoa (RCC)...
  11. Just Pray

    DAS Kahama: Wanawake acheni mikopo ya kausha damu chukueni mikopo ya Samia

    Wanawake wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga wametakiwa kuchangamkia fursa mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na halmashauri bila riba na kuachana na mikopo umiza. Rai hiyo nimetolewa na Katibu tawala wa Wilaya hiyo Glory Absalum ambaye alikuwa mgeni rasmi kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya hiyo Mboni...
  12. Just Pray

    Wanaotumia miradi ya watu binafsi kuomba mikopo ya asilimia 10 wabainika na kudhibitiwa Ukerewe, Je, maeneo mengine waliopata mikopo hii wanastahili?

    Katika halmashauri nyingi nchini imetolewa mikopo ya asilimia kumi kwa makundi ya wanawake watu wenye ulemavu na vijana. Wapo baadhi ya watu wengine wakishirikiana na baadhi ya viongozi kutoa mikopo kwa watu wasio na sifa stahiki pamoja na uwepo wa udanganyifu. Je, waliopata mikopo hii...
  13. E

    Yaliyo nikuta katika kukopa kwangu ili yawe funzo kwa wengine wa lamba asali

    Kuna la kujifunza kwa waajiliwa wapya soma attachment.
  14. R

    Taasisi zinazohitaji tujaze fomu za karatasi taarifa zetu nyeti za NIDA ni hatari, taarifa zinaweza Kutumika kwenye utapeli, wizi, kuomba mikopo, n.k.

    Kuelekea mapinduzi ya Teknolojia, mambo mengi nchini yameanza kufanyika kwa kutumia NIDA. Kwenye mifumo ya kusajili biashara, kuomba ajira, kuomba mikopo, kujisajili huduma za kiserikali mtandaoni, n.k. huwa unajaza Nida halafu baada ya hapo unaulizwa maswali matatu ya uhakiki mfano jina la...
  15. milele amina

    Athari za Mkopo wa Biashara, Baada ya kukopa mkopo wa biashara kutoka Benki, nimejikuta katika hali ngumu sana

    Utangulizi Baada ya kukopa mkopo wa biashara kutoka CRDB, nimejikuta katika hali ngumu sana. Sijawahi kufikiria kwamba mkopo unaweza kuathiri maisha yangu kwa namna hii. Kila usiku, ninasumbuliwa na mawazo ya kurejesha pesa hizo, na matokeo yake ni kukosa usingizi. Ni kama vile mzigo mzito...
  16. majoto

    Wajasiliamali wa chini kabisa na sakata la mikopo

    Wandugu tupeane A BC za kumaintain biashara ndogo ndogo ili tuwasaidie wenzetu wanaotaabika na mikopo ya kausha damu. Hapa tuwaongelee wale wajasiliamali wa chini kabisa. Kundi hili linateseka mno mno kwa kujitahidi kujikwamua lakini hawajui jinsi ya kujikwamua. Nimeumia sana kuna ndugu...
  17. Red shadow

    Nipeni utaratibu wa kusajili Kampuni ya mikopo?? siyo microfinance

    Hii biashara nimegundua inaendana na mm!! Nipeni tips naanzia wap Taarifa kama Faida na hasara Kodi yake serikalini Changamoto Process za usajili nk yaan A to Z
  18. Just Pray

    PreGE2025 Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama, Singida yakabidhi mikopo ya Sh. milioni 395 kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu

    Halmashauri ya Wilaya ya Mkalama mkoani Singida imekabidhi mikopo ya Sh. milioni 395 kwa vikundi vya wanawake,vijana na watu wenye ulemavu. Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo,Asia Messos,akizungumza jana wakati wa hafla ya kutoa mikopo hiyo alisema baada ya dirisha kufunguliwa jumla ya...
  19. Just Pray

    Mbunge wa Hai Mjini: Wanaume wote wakopeshwe mikopo ya 10%

    Mbunge wa Hai Mjini, Saashisha Mafuwe ameiomba Serikali kuwakopesha wanaume wote mikopo ya Halmashauri ya asilimia 10, ili iwasaidie katika shughuli za kimaisha.
  20. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Mtama yatoa zaidi yamilioni 300 mikopo ya asilimia 10

    Mkuu wa Wilaya ya Lindi VICTORIA MWANZIVA amezindua zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa halmashauri ya Mtama ikiwa ni fedha za mapato ya ndani ya halmashauri na kutoa Hundi yenye thamani ya Shilingi Milioni Mia tatu sitini, laki...
Back
Top Bottom