Huu ni wizi, hakuna jina zuri la kuita hii tozo
Hebu fikiria unaenda kuomba mkopo ambao utaulipa na riba juu tena kubwa tu, pale bank wameajiri ma-afisa mikopo ambao kazi yao ni kutoa elimu na mikopo kwa wahitaji.
Ukifika, Unapewa maelezo na form then unaambiwa ufatilie mwenyewe kila document...
Mikopo kwa ajili ya wanaosoma shahada za kwanza (degrees) , Maana kuna wahanga wengi (mimi nikiwamo) , tumeacha masomo kwa sababu tumekosa fedha ya kujilipia ada , !!
Msaada please kwa anaejua please ili tuandae (important documents) .
Maana ule msemo unaosema " MTEGEMEA NDUGUYE UFA...
Benki ya Exim imetangaza msamaha wa zaidi ya Sh bilioni 160 wa likizo ya malipo ya mikopo kwa wateja wake wakubwa, wa kati na wadogo waliopo katika sekta zilizoathirika zaidi kiuchumi kutokana na athari za mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu inayosababishwa na virusi vya corona (Covid-19)...
Katika hali ya kustaajabisha Leo June 1, 2020 mamia ya wanachuo kutoka vyuo mbalimbali mkoani Dodoma wameonekana wakisotea fedha zao za mkopo "Boom''
Hii imeleta sintofahamu maana Waziri wa Elimu ya Juu Mhe. Ndalichako alinukuliwa siku chache kabla ya vyuo kufunguliwa akisema kwamba mpaka sasa...
Wakuu Kama Kuna member yeyote anafahamu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi Elimu ya Juu wasifu wake anisaidie nipate kumfahamu vizuri maana jamaa naona kama ni kichwa kwelikweli na akiongea anaongea kwa msisitizo kabisa.
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema imeshapeleka Tsh Billioni 122.8 katika vyuo na taasisi za elimu 81 kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi.
Imesema wanafunzi wanaostahili kupata mikopo kwa mwaka wa masomo 2019/2020 ni 132,119, fedha wanazopewa ni kwa ajili ya malazi, posho...
Wameanza Wakala wa Majengo ( TBA) kuwadai moja kwa moja wabunge kodi za pango bila kupitia ofisi ya Katibu wa bunge.
Ulipoombwa mwongozo bungeni waziri wa ujenzi mh Kamwelwe alisema mikataba hiyo ni binafsi kati ya TBA na wabunge hivyo wabunge wapambane na hali zao.
Kinachoendelea ni benk...
NMB ndio benki yenye wateja wengi sana nchini karibia asilimia tisini ya wafanyakazi wa umma mishahara yao inapitia benki hii. Lakini tatizo kubwa la NMB kama benki mama ni huduma ya mikopo mbovu kwa watumishi wa umma kuna mlolongo na usumbufu wa kutosha kwa mtumishi hadi anashawishika kutoa...
Jipatie KISIMA cha Maji kwa LAKI TANO ( nchini kote) Kutoka Asasi ya PDPR Njombe, Gharama za mradi:kuchimba laki 5, kama kitakuwa ndani ya mita 25 kila mita itakayo zidi utalipia 20,000ukihitaji kufungiwa water pump ipo ya solar milioni 1.6 ya umeme laki 5 zote zikiwa complete pamoja na...
Kama kichwa kinavyojieleza, nimepata dharura leo nahitaji mkopo wa faster kiasi cha laki nne, ni taasisi ipi wanaweza kutoa mkopo kwa riba nzuri, dhamana ipo kadri ya mahitaji ya taasisi...
Ili kupunguza tatizo la ajira nchini, serikali kupitia Halmashauri zote nchini na Mfuko wa Rais, wanatoa mikopo isiyo na riba kwa vijana, wanawake na walemavu
Halmashauri zinatoa asilimia 10 ya mapato yake ya ndani kwa vijana, wanawake na walemavu, ikiwa ni asilia 4, wanawake, asilimia 4 vijana...
Ni Zitto akinukuu utafiti wa wataalamu wa Benki ya Dunia kupitia twitter:
Utafiti wa Wataalamu wa Benki ya Dunia (World Bank
Chief Economist) umeonyesha kuwa zaidi ya Dola za Marekani 680 milioni zimewekwa kwenye Benki za kigeni na Watanzania kutokana na kuongezeka kwa misaada na mikopo kutoka...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Fedha na Mipango yatiliana saini makubaliano ya Mkopo wa Shilingi Trilioni 3.3 za kitanzania kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wa reli ya Kisasa – SGR Daresalaam-Makutupora, Singida, katika ukumbi wa Benki Kuu jijini Dar es Salaam...
Habari za maisha wote mtakaopitia hapa. Ninahitaji msaada kuhusiana na mkopo nilioufanya katika moja ya benki hapa nchini.
Mie ni mwajiriwa katika manispaa ya Lindi mwaka wa sita sasa, tangu niajiriwe sikuwahi kufanya mkopo na benki yoyote hadi ilipofika mwaka jana mwezi wa nane nikalazimika...
Waziri huyo ameeleza jinsi ofisa mikopo wa benki moja jijini Dar es Salaam, alivyojipatia nyumba tano kutokana na kudhulumu wateja.
Alikuwa akizungumza jana jijini Dar es Salaam wakati wa uzinduzi huduma ya utoaji mikopo ya muda mrefu ya ujenzi wa nyumba inayoitwa ‘Nyanyua Mjengo, inayotolewa...
Habari za Jumapili wakuu!
Napenda tujuzane mahali pa kupata mikopo kwa njia ya simu.
Binafsi nimekuwa mnufaika mzuri wa mifumo hii ya ukopeshaji kwa njia ya simu.
Nimekuwa mteja wa makampuni haya kwa muda sasa na kiukweli yanasaidia sana hasa unapokuwa na emergency.
Miongoni mwa...
Dodoma 20, 2019
WAZIRI MPANGO: Baada ya Uchumi wa Tanzania 'kufanya vizuri' kumepelekea Kupungua kwa misaada na kumeathiri baadhi ya miradi ya maendeleo nchini
Serikali imesema kupungua kwa misaada ya maendeleo kumeathiri baadhi ya vyanzo vya ugharamiaji wa miradi ya maendeleo nchini na hivyo...
Hili swala la wanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam kucheleweshewa fedha zao za mikopo ni swala nyeti na mtambuka, busara inahitajika katika kuliendea jambo hili pasina kuleta sintafahamy yoyote kwa jamii. Cha kusikitisha hili swala baadhi ya viongozi wa upinzan wameshaona ndo agenda yao na...
Serikali ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam imetoa saa 72 kwa Bodi ya Mikopo (HESLB) kutekeleza maagizo 4 likiwamo kuwaingizia fedha wanafunzi ambao hawajapewa tangu chuo hicho kifunguliwe, yasema isipotekeleza watakusanyika nje za ofisi ya HESLB.
Taarifa iliyotolewa na Waziri wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.