Bodi ya Mikopo (HESLB) na makato yao ni maumivu makubwa sana

Trubarg

JF-Expert Member
Jan 8, 2020
4,256
6,893
Let's assume mtu aliyesoma sayansi na kupata mkopo 100% ambao jumla ni kama milioni kumi (10,000,000) akakaa mtaani miaka saba, akapata ajira ya ualimu mshahara wa mtu laki tano.

🇹🇿Huyo atakua na penati ya 10% kwa miaka mitano = 10,000,000*10%*5=5,000,000
🇹🇿 Mwisho wa mwaka atapigwa value retention fee ya 6%=10,000,000*6%*5=3,000,000
Jumla yadeni =18,000,000
➡️Kwa mwezi atakatwa 500,000* 15%=75,000

➡️ Kwa mwaka atalipa Jumla 75,000* 12=900,000
➡️Huyu mwisho wa mwaka ataongezewa tena6% ya value retention fee=10,000,000*6%=600,000
➡️This means kwa mwaka atakua amepunguza (18,000,000 - 900,000=17,100,000)
🇹🇿Then watamuongezea Tena laki sita ka value retention fee,=17,100,000+600,000=17,700,000
✔️It's very obvious huyu mtu ataendelea kulipa hili deni for the rest of his life. Halitokuja kuisha.
➡️Mungu wabariki decision makers wetu ili wawe na upeo na akili ya kutambua.😭
➡️ Kwakuwa UVCCM pengine wao hawalipi huu mkopo ndiyo maana wanakuja na nyuzi za ajabu ajabu kila siku, laiti wangekuwa wanalipa wasingekuwa wapumbavu kiasi Cha kutokujua unyama unaotendeka.
➡️Mzazi if unapesa msomeshe tu mwanao...hii kitu inaitwa Mikopo Ni mateso makubwa

KWA MWALIMU WA SERIKALINI MWENYE DEGREE DEGREE..
➡️MSHAHARA Aprox. 713,333
➡️ Ukiwa hajalipa mkopo kwa miaka saba atakua anarudisha (713,333*(15/100)=107,000/
➡️Kwa mwaka atakua amekusanya 1,282,999
➡️Huyu atakua amepunguza (18,000,000- 1,282,999= 16,717,001)
➡️ Akiwekewa value retention ya laki sita atabaki na deni la=17,317,001
 
Hakika nikiwaza juu ya hili suala, nazidi kupambana kuwekeza ili mwanangu asiingie kwenye huu ujinga wao.

Wengi tulidhani ni msaada hasa kwa watoto wa familia masikini/au zile za chini kabisa, kumbe ni kitanzi kwetu.
 
890765.jpg
 
Lipa wengine waweze kuzitumia pia... Na tutashauri muwe mna weka dhamana kupitia wadhamini wenu... Nyumba, viwanja etc... Ili ukishindwa kulipa basi dhamana za wadhamini ziweze kutumika na helsb...
 
Lipa wengine waweze kuzitumia pia... Na tutashauri muwe mna weka dhamana kupitia wadhamini wenu... Nyumba, viwanja etc... Ili ukishindwa kulipa basi dhamana za wadhamini ziweze kutumika na helsb...
UVCCM
 
Dah hii nchi hata sielewi wasomi wetu wanapotunga sheria kandamizi kama hizi sijui wanawaza nini labda watanzania wamekuwa wapole sana kwa maana wanavumilia hizi shida haiwezekani unamkata mtu mkopo ambao haujui utaisha lini sawa ngoja tuone
 
Dah hii nchi hata sielewi wasomi wetu wanapotunga sheria kandamizi kama hizi sijui wanawaza nini labda watanzania wamekuwa wapole sana kwa maana wanavumilia hizi shida haiwezekani unamkata mtu mkopo ambao haujui utaisha lini sawa ngoja tuone
Mkopo haukuwa wa lazima, mkopo ni hiyari...

Kama uliona ni tatizo ulikuwa na hiyari ya kuacha... Na awamu hii wamechukua mkopo wengi sana karibu wote walio chaguliwa mwaka wa kwanza....

Wazazi na wanafunzi walisoma sheria wakasaini na kwa mwanasheria wakaenda, pamoja na sheria hizo zinazo itwa kandamizi

Pia wapo walio pata mikopo watoto wanao toka ktk familia za kipato cha juu na cha kati ambao wana weza kujisomesha au kusomeshwa na familia zao...

Leo baada ya kutatua shida zako bila kuchanga karata vizuri una anza kulia lia...

Dawa ya deni ni kulipa... Uwezi hacha... Wapo wengi walio fanikiwa lakini elimu haikuwa sehemu ya mafanikio waliyo nayo...
 
Mkopo haukuwa wa lazima, mkopo ni hiyari...

Kama uliona ni tatizo ulikuwa na hiyari ya kuacha... Na awamu hii wamechukua mkopo wengi sana karibu wote walio chaguliwa mwaka wa kwanza....

Wazazi na wanafunzi walisoma sheria wakasaini na kwa mwanasheria wakaenda, pamoja na sheria hizo zinazo itwa kandamizi

Pia wapo walio pata mikopo watoto wanao toka ktk familia za kipato cha juu na cha kati ambao wana weza kujisomesha au kusomeshwa na familia zao...

Leo baada ya kutatua shida zako bila kuchanga karata vizuri una anza kulia lia...

Dawa ya deni ni kulipa... Uwezi hacha... Wapo wengi walio fanikiwa lakini elimu haikuwa sehemu ya mafanikio waliyo nayo...
Wewe unalipa au kwakuwa hulipi ndo maana umekua bingwa wa kubwabwaja humu.
 
Mkopo haukuwa wa lazima, mkopo ni hiyari...

Kama uliona ni tatizo ulikuwa na hiyari ya kuacha... Na awamu hii wamechukua mkopo wengi sana karibu wote walio chaguliwa mwaka wa kwanza....

Wazazi na wanafunzi walisoma sheria wakasaini na kwa mwanasheria wakaenda, pamoja na sheria hizo zinazo itwa kandamizi

Pia wapo walio pata mikopo watoto wanao toka ktk familia za kipato cha juu na cha kati ambao wana weza kujisomesha au kusomeshwa na familia zao...

Leo baada ya kutatua shida zako bila kuchanga karata vizuri una anza kulia lia...

Dawa ya deni ni kulipa... Uwezi hacha... Wapo wengi walio fanikiwa lakini elimu haikuwa sehemu ya mafanikio waliyo nayo...
Ndugu yangu usiongee kama hujui hari za watanzania wa chini tambua maisha ya mtanzania wa kawaida anakuwa hana option nyingine ya kufanya inampasa kukubaliana na lolote kulingana na masharti ya kwenye mkopo kwa maana asipo fanya ivyo hawezi kusoma kamwe ukiangalia maisha yenyewe ya kuunga unga so siku nyingine uwe na akiba ya maneno au nyie ndio ukoo wa kina waziri fulani amjui shida mshazoea maisha ya kimalkia
 
Ninampango wa kuongeza ki"Bachelor' mwakan hap lakin nadhan nitajisomesha mwenyewe pamoja na Hela Ya Ofisin!!!!

Hii mikopo pasua ndonga!!!!!
 
Back
Top Bottom