member

A member of parliament (MP) is the representative of the people who live in their constituency. In many countries with bicameral parliaments, this category includes specifically members of the lower house, as upper houses often have a different title. Member of Congress or Deputy is an equivalent term in other jurisdictions. Another term is Parliamentarian.
Members of parliament seem to tend to form parliamentary groups (also called parliamentary parties) with members of the same political party.

View More On Wikipedia.org
  1. VN Warehouse Limited

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kusajili kampuni ambayo ni Single member company ?

    Habari wakuu, Naomba kuuliza kwa sheria za kampuni hapa tanzania kuna uwezekano wa kusajili kampuni ambayo ni single member company, kwa maana ya kuwa Director ndo huyo huyo share holder? Kuna tafiti zinaonyesha kuwa kulingana na mabadiliko ya sheria hili swala linawezekana, ila nimeona...
  2. Black nyeti

    JamiiForums Tanzania Mimi member mpya

    Mimi member mpya humu
  3. Nelly

    JamiiForums Tanzania Ameenda wapi member huyu?

    Ni kijana aliyejitambulisha kama Tajiri asiye na baya lakini ghafla akapotea katika mazingira ya kutatanisha. Mimi nikiwa kama Kijana Masikini nilipenda sana kuchukua nondo kutoka kwake, Tajiri Sina Baya. Popote alipo Kipenzi chake Marry Diana anamsalimia.
  4. Braza Kede

    JamiiForums Tanzania Natakiwa kufanya nini nikimwona member mwenzangu wa hapa jeiefu?

    Wakuu naomba mwongozo. Kwa mfano upo zako uko kitaa unamuona jamaa amechill sehemu anaperuziperuzi kurasa za jeieFu huku anachekacheka. Unatakiwa ufanyaje yani kwa fellow member kama huyu? Je ni busara kula buyu tu kama vile huijui hata iyo jeiefu yenyewe na ukaendelea na yako? Je sio...
  5. D

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa: Leo nihubiriwa na member wa S.DA kuhusu ufunuo

    Jamani wanajamvi kuna jamaa alinialika kwenye group niseme la maombi amenialika siku nyingi niende leo nikaamua kwenda katika mambo aliyonihubiiria ni kama yafuatayo: 1.Ulazimishwaji wa kuwa wakristo wakipagani. Jamaa amenieleza kwamba kulingana na ufunuo kwamba Marekani wakiungana na kanisa...
  6. Marry Diana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natamani kumuona member huyu nipo tayari tuonane

    Anaitwa Tajiri sina baya. Mbali na wengi kuniita Malaya na kunitafsiri vibaya,sikuchukulia serious sana,niliona ni kawaida tu kwani hata mtaani watu huniambia nimekaa kimalaya yaani , wanaume wengi hujaribu bahati zao.mpaka pale mtu anapokata tamaa. Ila nahitaji kuonana na tajiri huyu, Kuna...
  7. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Kuna Member hapa kaja na uzi wenye kuhitaji Akili Kuuelewa akisitika kuwa Mama yake anaendesha Familia yao vibaya, Watu wameshindwa kwenda nje ya Box

    Na ninajua huko aliko anawacheka tu Watu waliokurupuka Kuujibu bila ya kutumia Akili Kubwa kuuelewa na kumuelewa.
  8. adriz

    JamiiForums Tanzania Natamani nipigane na member anayejiita Maghayo nimpasue

    Moja kwa moja. Sio kwamba namchukia kufikia levo hiyo hapana , ila ninakaugonjwa Cha kupenda kuwakomesha Wazembe , Wajinga , Wahalifu , Wapumbavu na wengine mfano wao. Pamoja na Mgerasi Busu la Kenge Maghayo The Mongolian Savage kuwa kwenye kifungoni kirefu yeye na genge lake ila bado...
  9. MK254

    JamiiForums Tanzania Kuna member aliwahi kusema Iran ikiguswa, ina uwezo wa kutuma maelfu ya makombora kwa mpigo, niliogopa sana

    Mikwara ya makobaz humu kuna wakati hunibabaisha sana, muda wote nilikua na uwoga hawa jamaa labda kuna kitu wanakijua ambacho hatukijui, aidha labda Iran ina uwezo wa kubonyeza na kufyatua makombora 3,000 kuelekea Israel au kuna kitu watafanya na kuishangaza dunia. Kuna kuguswa gani kwingine...
  10. Muimba SINGELI

    JamiiForums Tanzania Sheria na taratibu za kufuata ili kuandaa pambano la masumbwi ni zipi? Kuna member watatu humu nataka niwadunde

    Bila kupepesa macho watu hao ni huyu jamaa anajiita Mume halali wa Ephen, mwingine ni huyu anajiita Mme Mwenza na watatu ni huyu secretarybird. Tajiri Sina BAYA nataka niwakunyuge kisawasawa hawa, tena ulingoni tukaingia wanne kwa pamoja, mimi nitakuwa mwenyewe tu wao watakuwa wananichangia...
  11. The Mongolian Savage

    JamiiForums Tanzania JF Tumempata Deo Kisandu mpya

    Mwamba hana tofauti na Deo Kisandu mwanajamvi ambaye alikuwa haishiwi Na vituko jamvini. Mufti kuku The Infinity Nyau de adriz
  12. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 John Shibuda ajibu madai ya kuwa alinunua chama cha Siasa kama Member wa JF alivyosema

    Baada ya andiko la Mwanachama wa JamiiForums.com lililokuwa na kichwa cha Habari ~ John Shibuda alinunua chama cha Siasa cha Oscer Kambona kisha akakiuza Unguja kwa Wapemba, kwenye Siasa lolote linawezekana Mbowe siyo wa kwanza! Shibuda mwenyewe Amejibu kuhusu andiko hilo kwa kuandika haya...
  13. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Everything you held from the Member of Parliament or Executive Body just know it is planning like action Movies

    It is just series from the book of Regime(Government) kwa vyovyote ni propaganda za kuondoa watu attention zao. Watu wanapika Movies then we pay to watch it.
  14. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania We member Marry Diana kama unataka msaada wa kipesa,kimawqzo,mtaji au mume mtafute tajiri wa kusini jamaa ni very gentleman

    Nimesikitika baada ya kusoma thread ya member humu anayeitwa Marry Diana jinsi anavyoilalamikia jamii forum na member wake kwamba watu wengi humu ni wabaya kusema ukweli nimeumia sana hivi unakuaje mwwnamke mzuri na brain woman wanamkosea hivyo? Ila ninachomuambia huyu member Marry Diana ya...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Naanda petition ya kumuondoa member anayeitwa Dennis Roberts na nyuzi zake zote zifutwe jamiiforums

    Huyu mtu anaitwa anaitwa Dennis Roberts ni mjinga wa kiwango cha juu sana hata deo kisandu ana-afadhali Cha kwanza ana-tatizo la akili kubwa sana, Eti anataka urais yaani Rais wa Tanzania awe maskini wa kutupa, njaa kali kapauka mpaka unamuonea huruma kamwe hawezi kuwa Rais Nyuzi zake zote...
  16. B

    JamiiForums Tanzania Kama nisingempeleka Ulaya kutibiwa mngesikia huyu Member JF amefariki. Mwenzie alisema amekuja kwangu Akhera

    Mara nyingi nimekuwa nikipenda waalika Mabalozi na diplomats nyumbani kwangu kwa vyakula either bfast,lunch au dinner. Nliona niwe nafanya hivi ili wasijisikie upweke na pia wawe wanapata lishe nzuri wailetee sifa Tanzania. Nligundua mabolozi na diplomats wengi pamoja na mawaziri. Hawapati...
  17. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nampenda sana humu member anayeitwa tajiri wa kusini ana pesa na roho mzuri wakuu

    Wakuu kusema ukweli nimetokea sana kumpenda Tajiri wa kusini jamoni wewe huyu mkaka nampenda sana jamani ana hela sana yaani kumsalimia tu na kumpa hi tu najikuta natumiwa pesa taslimu 2.5M wakati sijamuomba jamoni huyu ndiyo husband material kabisa Huyu jamaa sijui anafanya mishe gani sijui...
  18. Maleven

    JamiiForums Tanzania Member kajiunga jumatatu, jumatano ni senior member, howww?

    Kua senior au expert ni kigezo gani?
  19. Daby

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ushauri kwa member anayeitwa Perry

    Kwanza nakulaumu saana kwa ujinga ulioufanya. Nimeangalia ID yako umejiunga JF 2011 ikimaniisha wewe ni mtu mzima. I'm disappointed of you. Kosa mlililolifanya hasa wewe ni kutokusimama na dada yenu....haijalishi yeye ni mkubwa kwako lakini kiafrika mwanaume hasa wa age yako unatakiwa uwe...
  20. Hussie

    JamiiForums Tanzania Hellow! Mimi ni new member hapa

    Nawapenda
Back
Top Bottom