mema

Méma is a region in Mali, Africa. A plain of alluvial deposits, it is situated north of Massina; west of Lake Debo and the Inner Niger Delta; and southwest of the Lakes Region. The now-senescent basin may have been the first settlement area for communities who migrated from distressed homelands of the Sahara during the last two millennia BC. Historically, Mema was one of the smaller Soninke states; it was also at one time a province of Ghana Empire.Toladié, which dates between at least 430 CE and 670 CE, is the largest occupation site (76 hectares) in Mema. As a primary center in the region, Toladié utilized smelted iron tools produced by the communities of Akumbu, Boubou, Boundou, Boulel, Kobadie, Kolima, and Nampala for purposes of tribute and trade with the Ghana Empire.At the Akumbu mound complex, in Mema, its findings date between 400 CE and 1400 CE; at the cultural deposit of AK3, which contained three human remains, the dates range between 400 CE and 600 CE. While two out of three human remains were in a fully decomposed state, one of the human remains were able to be determined to be a young adult (17-25 years old) female, who was buried with two copper bracelets - one on each wrist, 13 cowrie shells, 11 stone beads, and a fully intact pot.

View More On Wikipedia.org
  1. Yoda

    Ni vibaya kuwashukuru wakoloni wetu kwa mema mengi waliyotufanyia?

    Kabla ya Wakoloni hawajaanza kutawala Africa baada ya mkutano wa Berlin wa 1884/1885 Africa ilikuwa haijawahi kuwa na hospital, shule, reli, barabara, mfumo wa sheria, mahakama na umeme. Hivi vitu vilianza kuwepo Africa baada ya Wakoloni kuja. Hata hivyo historia ya ukoloni inayozungumzwa...
  2. a sinner saved by Christ

    Matendo mema ni akiba yako(wema hauozi)

    Wema hauozi ,matendo mema ni akiba yako mbinguni na duniani. Uzuri wa mtu upo katika matendo yake mema. Mikono inayosaidia watu ni bora kuliko midomo inayosali bila matendo. Imani bila ya kuwa na matendo mema imekufa. Ni heri kutoa kuliko kupokea.. Mikono inayotoa kusaidia wahitaji...
  3. Z

    Malezi mema ndio msingi wa maadili mema

    Jamii Imetakiwa Kuwa na Mashirikiano Katika Kulea Watoto Ili Kuwakuza Katika Maadili Mema. Ushauri huo umetolewa na katibu wa kamati za maadili kutoka Jumuiya ya Maimamu Zanzibar JUMAZA Abdallah Mnubi Abass wakati akizungumza na wanawake wa kiislamu huko tomondo mshelishelini Wilaya ya magharibi...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Maombi ya Wazazi wako hayana mchango wowote katika mafanikio yako. Matendo yao Mema ndio sadaka kwa mafanikio yako

    MAOMBI YA WAZAZI WAKO HAYANA MCHANGO WOWOTE KATIKA MAFANIKIO YAKO. MATENDO YAO MEMA NDIO SADAKA KWA MAFANIKIO YAKO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Hata waombe na kubinuka. Hata wafunge 40 kama Yesu. Hata wafunge Ramadhan na Shaban. Hata wagaregare na Kuvaa magunia. Ni Kazi bure tuu. Maombi...
  5. Magical power

    Kaka pamoja na kwamba umeamriwa kupenda ila hakikisha unayempenda naye anakuelewa kuna utii, baraka na matendo mema utayapata

    Kaka pamoja na kwamba umeamriwa kupenda ila hakikisha unayempenda naye anakuelewa kuna utii, baraka na matendo mema utayapata Mwanamke akupenda kuna upendo utaupata, atakusaidia na atasimama na wewe kwenye changamoto zako. Mwanamke akikupenda hata kama atakuwa na mzuri wa muonekano au atakuwa...
  6. Mandela5599

    Huwezi kutenda mema kwa nguvu zako mwenyewe ukatoboa

    Mambo vipi wadau! Nataka nitumie jukwaa hili kuwakumbusha vijana wenzangu kwamba ni dhahiri kila mmoja wetu anatanani kuwa mtu mwema Hakuna mlevi anaependa kulala mitaroni kwa ulevi au kujidhalilisha Hakuna mtu anaependa kuwa na hasira kali zinazo haribu hatma ya maisha yake na wengine...
  7. N

    Afande Muliro: Atakayethubutu kuandamana Dar es Salaam kesho atakiona

    WAKATI mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) Freeman Mbowe akitangaza uwepo wa Maandamano ya Chama hicho Siku ya jumatatu September 23 ,Jeshi la Polisi Nchini limeweka mkazo wake kuwa piga marufuku maandamano hayo . Kuwa maandamano hayo yana viashiria vyote vya uvunjifu wa...
  8. Bata batani

    Ewe kijana acha kujifanya mtenda mwema kwenye maisha ya watu hao wanakuzunguka hakuna anayekuwazia mema

    Acha kujifanya mtenda mwema katika maisha ya watu hao wanaokuzunguka hakuna anayekuwazia mema huu ni ukweli japo ni mchungu...... Maisha tuliofikia hivi sasa watu wanaotuzunguka maeneo ya makazini, mtaani,majumbani ambao tunawaona kama ndugu,jamaa,mashemeji au marafiki hakuna anayekuwazia mema...
  9. Melki Wamatukio

    Wanaume wanaofanya kazi hizi huufurahia sana uumbaji wa mola. Wanafaidi mema ya nchi

    Nimefanya utafiti wa kutosha. Hivyo nina 100% na kile ninachokizungumza (a) Fundi Simu (b) Chipser (Mkaanga Chips) (c) Bodaboda (Afisa Usafirishaji) (d) Wasusi wa kiume na wapaka rangi kucha (e) ?
  10. Msukusu

    Viboko Mashuleni Kukomeshwa, Je Imechangia Kwa Maadili Kuporomoka Au Maadili Mema Kuongezeka?

    Wakubwa habari zenu mimi ni kijana wa 30+ na hivi karibuni natarajia kupata mtoto wa pili, majaliwa ya mwenyezi mungu. Haya tujikite kwenye mada hapo juu, kwa jamii ninayo ishi nimeshuhudia vitendo viovu na maadili mabaya hasa kwa wadogo zetu, wengine watoto ambao unao uwezo wa kumzaa...
  11. de Gunner

    Kwanini watu tuna chuki na hatutakiani mema? Je kunasuluhisho?

    Katika safari yangu ya maisha, nimekutana na watu wengi, lakini ukweli sijabahatika kuina mtu mwenye roho nyeupe asilimia 💯 na mimi nikiwemo. Au angalau mtu anayeweza kumaintain ubinafsi wake na maslahi ya watu wengine. Ni kitu ambacho kila nikifikiria huwa nakosa majibu. Wazazi wamekua wema...
  12. Kitchener

    Tena tusichoke kutenda mema!

    Kuna ofisi moja nilipita, ya serikali, ndugu wapokezi (receptionists) jueni kuwa Mungu amewaweka hapo ili mhudumie wananchi, acheni kiburi, fanyeni kama mnafanya huduma kwa wanadamu mliyotumwa na Mungu kwasababu kwanz amnapokea mshahara kutokana na kodi za wananchi hawahawa! acheni dharau...
  13. Uwesutanzania

    Dunia ni tamu ila nifupi sana jitahidi kufanya yaliyo MEMA

    Ndugu zangu DUNIA ni kweli ni TAMU ila ni FUPI sana., jitahidi sana kufanya yaliyo MEMA. Katika mema yako usisahau na muumba wako, pia usisahau na WAZAZI wako. Kwani wao ndio wamefanya uone mwanga wa jua wa DUNIA. Pia jitahidi sana kuishi vizuri na wanao kuzunguka pia. Kwani...
  14. GENTAMYCINE

    Nitaachaje Kumpenda Rais mwenye Maamuzi Mema ya Kiutendaji kwa Wananchi wake kama huyu wa Nigeria?

    Rais wa Nigeria Bola Tinubu kupitia Waziri wake wa Maendeleo na Madini ameamuru kuanzia Jana tarehe 20 Desemba, 2023 hadi tarehe 4 January, 2024 Treni zote za nchini Nigeria kubeba bure Wananchi wanaoenda Kutembelea Ndugu zao Kipindi hiki cha Sikukuu za mwisho wa mwaka ( Christmas na Mwaka Mpya...
  15. Pdidy

    Haya mabasi mnayoamsha na abiria asubuhi msiache kutenda mema siku zote

    Kidogo tumeanza kubadilika Majuzi nilisafiri na basi moja to Arusha Wakataka details zangu hamad nikaweka alarm, yaani sijaamka Nasikia simu habari naviga toka kampuni fulani safari yako ni saa tukukute kituo fulani muda wa kuamka sasa Nilipenda sana nikatamani na ndege mtuamshe hivi maana...
  16. Tlaatlaah

    Nakutakia maandalizi mema ya Christmas na mwaka mpya 2024 in advance

    Mpendwa, Mary Christmas 🎄 and Happy New Year in advance. Tunapoelekea sikukuu muhimu za Christmas na Mwaka mpya 2024, nachukua fursa hii kukuombea Baraka na Neeema za Mwenyezi Mungu ziambatane nawe katika kila unachokifanya kujiandaa na sherehe hizi pendwa na muhimu, mathalani unajipanga...
  17. Kiplayer

    Maovu ndio mema na mema ndio maovu

    Vipi unafika kwa Sir God anakuambia Yale uliyofundishwa kuwa ni maovu duniani kumbe ndio mema, Yale uliyofundishwa ni mema ndio maovu!
  18. FaizaFoxy

    Mema kwa mkulima wa Tanzania... Bashe na Rais Samia wanafanya kweli

    Mkulima wa Tanzania sasa hivi ana kituo cha kisasa cha huduma kwa mtej (,Customer care). Bashe kwa mara ya kwanza Tanzania, anaifanya Wizara ya kilimo kuwa ni watoa huduma wa kisasa kwa wakulima. Jionee: Mengine tutaendelea kuwaletea. Hongera Bashe, Hongera Rais Samia. === Waziri Hussein...
  19. Q

    Kitendo cha Uhuni cha UVCCM Chato kinapaswa kulaaniwa na watu wote wanaoitakia mema nchi yetu

    Sielewi kwa nini hadi sasa jeshi la polisi halijachukua hatua zozote zile kuhusiana na kitendo cha kiharifu cha wale Vijana, sijui ni kwanini Msajili wa Vyama vya Siasa hajakemea, na sijui ni kwa nini Viongozi wa Dini hawajajitokeza kukemea. Wako wapi wanaojiita viongozi wa vyama walinda amani...
  20. Surya

    Elon Musk hatutakii mema sisi watu wa kawaida

    Kujua dunia inakwendaje ni Jambo la Muhimu maana kuna maamuzi juu ambayo yakitolewa ni lazima yaguse maisha ya kila moja wetu. Maisha yanakua mabaya au mazuri zaidi hilo usiniulize utajaza mwenyewe. Nay wa Mitengo kakosoa wajinga na kawatukana sana muamke acheni kulala. Kuwa na maisha mazuri...
Back
Top Bottom