Unahitaji social media manager?
nitakuwa natengeneza simple poster
kuweka posts kwenye account
kusimamia akaunti
na mengineyo
Mawasiliano: 0756704145
Eneo: Dar es salaam, Mbezi
Ndio! Kuna website kama victoriaboost.shop zinazokuruhusu kununua followers kwa bei ya chini kabisa, kisha kuwauzia wateja kwa bei ya juu. Unapata faida papo hapo.
Lakini unahitaji kujifunza JINSI ya kuifanya hii biashara kwa usahihi…
Nitakupa mwongozo wa hatua kwa hatua:
Jinsi ya kujiunga...
Ripoti kutoka vyombo vya habari vya Iran zinaeleza kuwa kumekuwa na shughuli kali za ulinzi wa anga karibu na Uwanja wa Pasteur jijini Tehran, eneo ambalo liko karibu na makazi rasmi ya Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, pamoja na ofisi ya rais.
Shirika la habari la Tasnim...
WanaJF habari za wakati?
Nimeamka Leo tangu asubuhi kwa ajili ya harakati za hapa na pale , ghafura nashangaa Simu yangu inakua nzito kwenye upande wa mtandao, Whatsapp nikituma message haziendi, Facebook same to Instagram hili jambo limenishangaza sana mpaka nimejiuliza labda bando limeisha...
Kwa mujibu wa AI ya Grok;
Idadi ya Watanzania kwa Ujumla: Kulingana na sensa ya 2022, idadi ya Watanzania ilikuwa milioni 61.7, na inakadiriwa kuwa itaongezeka hadi milioni 77.9 ifikapo 2030, ikiwa na ongezeko la takriban watu milioni 1.6 kila mwaka. Hii inamaanisha kuwa mnamo 2025, idadi ya...
Kila media utakayoingia utaskia bodi ya ligi na dabi mara hatuchezi mara betting mara ujinga gani sijui.
Hivi kipaumbele chetu kimekuwa michezo?🤔
Jamani hatuna mengine ya kiuchumi kisiasa kijamii ya kuyaongelea zaidi ya michezo?
Ikiwezekana kuwe na udhibiti wa kiasi fulani aisee vinginevo...
Picha: Pinterest
Mtanzania lazima ufahamu kuwa Kila kitu unachokiona au kusikia kupitia media huathiri ubongo wako, na kwa hivyo utu wako.
Kwani taarifa tunazopokea kupitia media zina athari kubwa kwenye fikra zetu, na hisia.
Hivi karibu nimeona media zikipa kipaumbele habari za local...
John Mrema kahama na accounts za social media za CHADEMA na kuzibadili jina kuwa CHAUMA,siku akiondoka CHAUMA atazibadili tena majina,kuweni makini na huyu tapeli.
Nimekuwa nikifuatilia vyombo vya habari hapa Tanzania nimegundua ndo mipango mikakati wa kuwapumbaza Watanzania na kuwa Fanya masikio na akili zao yasikie mambo madogo ya kipuuzi
Media za Tanzania
Haiwezekani media zinatumia saa nzaidi ya 8 kuchambua Simba na Yanga kila siku, hivi mpira wenyewe...
https://youtu.be/tHAAFLufHDw?si=l5sS0QYnVPjadanB
Sikiza hiyo:
Kuna mpambano mkali sana kati ya Wakenya na Watanzania kwenye mitandao baada ya sekeseke la Wanasheria na Wanaharakati wa Kenya kukamatwa, kuteswa na kufurushwa kwenda makwao.
Wabunge wa Tanzania kina msukuma darasa la 7 anadai...
For us intelligentsia community we are very happy to see how a disgrased people of certain nation swallowed a bait.
Her excellency President of URT Dr Samia Suluhu Hassan has in a carefully calculated manner has proveked a wake up call to.. not one but all of East African Nations on how...
Inasemekana wameandaa barua kuidai fidia bodi ya ligi kwa hasara waliyopata tarehe 8 na endapo bodi itashindwa kulipa fidia ndani ya siku 7 basi mechi namba 184 kati ya Yanga na Simba haitarushwa.
Sijui ni mimi tu ila hili jambo limekuwa linanikwaza sana. Unakuta unaangalia moja ya channel za Azam wanasema ikifika muda fulani kuna kipindi fulani kinakuja.
Muda huo unafika na kupita ila kipindi hiko hakionyeshwi. Nini kinawakwamisha kufuata ratiba zenu?
Nimekaa hapa lisaa zima...
Hizi ni mbinu za kuficha ID yako:
1. Tumia VPN (Virtual Private Network) kila mara
Inaficha IP address yako halisi.
Inaifanya shughuli zako zisifuatiliwe kirahisi.
VPN nzuri: NordVPN, ProtonVPN, ExpressVPN.
2. Tumia Browser ya TOR
Huficha utambulisho wako kwa kuzungusha mawasiliano yako...
Sasa Hivi SAJENTI anaomba kukutanishwa Na PATENI, Hata kama walikuwa na kutoelewana ila kwa namna moja ama nyingine Media zinachochea ugomvi wa hawa madogo.
Hawana experience ya kuhojiwa kila watakachoulizwa hata kma ni chonganishi wanajibu bila kufikiria swali lina maanisha nini.
Ndugu zangu katika Kristo YESU.
Zama zimebadilika, Kwa Sasa ni zama za Kuwawajibisha wote wanaojaribu kupandikizia watu Maneno.
Ninawaomba TEC kama mtasoma Uzi Huu, kabla ya WASAFI HAWAJAFUTA HABARI HII.
Muwachukulie Hatua Mara Moja, WASAFI KWA MAKUSUDI NA KWA KUJUA , Wametumia Maneno ya...
Tukiendelea na masokwe watawala kupoteza watu na kubaki kujifanya kama hawa fahamu ila sasa kinacho washinda kuwa Lissu ni GPS ambayo wakigusa kila jambo tutajua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.