mchungaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Faana

    JamiiForums Tanzania Mauaji yanayoendelea yanatokana na kutokumwabudu Mungu

    Kuna kipindi kinaendelea asubuhi hii 1:53 Radio One, watangazaji ni Authman Juma na Abdallah, mgeni ni Mchungaji (wa kike) mjumbe wa Kamati ya Amani, Maadili na Haki za Binadamu. Mchungaji ameulizwa na watangazaji nini chanzo cha watu kurudi nyuma katika kumwabudu Mungu? Mchungaji ameitupia...
  2. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Atlanta: Mchungaji na Mkewe wakamatwa kwa kuwafungia Walemavu ndani ya nyumba yao

    Picha: Mchungaji Curtis Keith Bankston Mchungaji mmoja na mkewe wamekamatwa kwa madai ya kuwafungia walemavu katika eneo la chini la nyumba yao. Maafisa wa polisi wanasema Curtis Keith Bankston , 55, na mkewe walikuwa wakiendesha kituo cha kuwaangalia walemvu bila kibali , katika eneo la...
  3. Suley2019

    JamiiForums Tanzania Marekani: Mchungaji azua tafrani baada ya video yake ya kumponya muumini kwa kumpaka mate kusambaa

    Mwinjilisti maarufu wa Marekani Michael Todd azua tafrani na kuibua hisia za hasira miongoni mwa watu baada ya video yake akimpaka mate muumini kusambaa. Katika ibada hiyo ya Jumapili Mchungaji huyo alipokuwa akiongoza ibada iliyokuwa mbashara alionekana akitema mate kisha kumpaka muumini wake...
  4. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Wana-CCM wajitokeza kuchukua fomu ya kutia nia ya kuwania nafasi ya Spika wa Bunge la JMT. Yupo Dkt. Tulia na Masele

    Aliyewahi kuwa Makamu wa kwanza wa Rais katika Bunge la Afrika (PAP), Stephen Masele na Naibu Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Ackson wamechukua fomu ya kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Tanzania Mtu mwingine aliyechukua fomu ni Patrick...
  5. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Kuchinjwa kwa binti wa mchungaji Mtungutu

    Wakati niko Safarini tokea Dar kulelekea kijijini kwenye msiba wa babu yangu, njiani kwenye njia ya kutokea Chemba kupitia kijiji kinaitwa Mtungutu, Pembezoni mwa barabara nilikuta gari la polisi likiwa na askari kadhaa, na upande mwingine wa barabara nikaona wanakijiji wengi wamekusanyika kwa...
  6. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Jimbo la Kawe Wazi!. Ubunge wa Gwajiboy Kwenye Hati Hati!. Umehang Kwenye Utando wa Buibui!. Ama Achanje Asalimike, Akikomaa, Amwagwa!.

    Wanabodi, Declaration of interest. Kwa vile mimi ni kada wa Chama Cha Mapinduzi, CCM na niliomba fomu kupitia CCM kuomba kupitishwa kugombea ubunge wa jimbo la Kawe, kwa tiketi ya CCM, ila watu wanaitwa Wajumbe wakafanya yao. Tulikuwa wagombea 176, tunatafuta nafasi moja!, hivyo ilikuwa ni...
  7. T

    JamiiForums Tanzania Je, unayajua anayopitia mchungaji wako?

    KAZI YA KUCHOSHA, LAKINI INAONEKANA KAZI YA UVIVU Mchungaji - Hakuna anayejua: Mchungaji anasikia nini, Anachokiona, Siri anazopaswa kuzihifadhi, Majaribu anayokutana nayo, machozi anayomwaga, Huzuni anayovumilia, Upweke anaousimamia, Uchungu anaoupata; Uongo anaoelekezwa na baadhi ya watu...
  8. Dr Matola PhD

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Munishi amlipuwa Gwajima wa Kawe huko kwenye mitandao ya Meta

    Gwajima Atuma Wafuasi wanitukane What's App FaceBook na Twitter. Tafadhali Msimtukane. Mkishindwa kabisa kuvumilia Mwiteni BIBLIA WEWE au TENZI ZA ROHONI WEWE. Au mwekee wimbo huu ausikilize. MIMI NIMEMUULIZA Kawe ya Askofu Gwajima mzee wa Connection iko vipi? Alisema akipata ubunge kawe...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara soko la Mbezi Beda wadai DC Kheri James anamhujumu RC Makalla kwa kuwarejesha baadhi yao kusikoruhusiwa

    Wafanyabiashara wadogo katika soko jipya la Mbezi Beda Ubungo wamemlaumu mkuu wao wa wilaya Kheri James kwa kuwarejesha baadhi ya wafanyaniashara maeneo yasiyo rasmi. Wamedai kila wakimfata DC James ofisini kwake anawaambia wakaanxie kwanza kwa mchungaji kabla ya kwenda kwa askofu akimaanisha...
  10. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Rungwe: Mchungaji aomba msamaha kwa kukataza waumini wake kutumia ARV'S na kusababisha wengine kufariki

    MCHUNGAJI wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya, Emmanuel Mlundilwa amesema kukosa uelewa wa kutosha juu ya matumizi ya dawa za kufubaza virusi vya ukimwi (ARV’s), kulisababisha kuwakataza waumini wake kutumia dawa hizo na wakazidi kudhoofu na...
  11. mama D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ndoa: Baba Mchungaji anawakumbusha vijana wetu wa kike na wa kiume misingi imara kwa mahusiano na ndoa imara

    Hii mambo ya vijana kuchukuana na kuanza maisha bila kutushirikisha wazazi imekaaje? Binti unajiskiaje kuishi na mtu asiyejulikana kwenu? Kijana wa kiume unapata amani kuishi na binti bila kufuata taratibu? Ni kushindwa kulipa mahari au kushindwa kujua faida za kufuata taratibu? Wazazi...
  12. DeepPond

    JamiiForums Tanzania Nabii Daudi Mashimo: Yanga kufanyiwa maombi

    [emoji4][emoji116]
  13. E

    JamiiForums Tanzania Serikali ikimchekea Mchungaji Gwajima yatatokea yale ya Kinjingitile Ngwale na Mchungaji wa Loliondo

    Serikali ikiendelea kumchekea huyu Mhuni Mchungaji Gwajima yatajirudia yale yaliyotokea wakati wa vita vya majimaji wapiganaji walivyopotoshwa na Kinjikitile eti risasi zitageuka maji ambapo watu walipoteza maisha kwa malaki kwa ujinga wa mtu mmoja. Hivi majuzi babu wa Loliondo kama Mchungaji...
  14. Shadow7

    JamiiForums Tanzania Nigeria: Mchungaji achoma mawigi ya muumini

    Mchungaji Cyril Utomi kutoka Nigeria ameyachoma mawigi na vipodozi vya muumini wa kike kwa madai asingeweza kukutana na Yesu akiwa na nywele na vitu vingine vya bandia ikiwa ni pamoja na viatu virefu. Picha ya Mchungaji Cyril Utomi. Utomi alichoma vitu hivyo katika mkutano wa mahubiri...
  15. F

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima, umekosea kujifanya mwamba na mwanaume, uwe mfano kwa jamii na heshimu familia yako. Uliyofanya na unayoyatetea si sahihi

    Nimefuatilia kwa karibu majibu machafu na ovyo ya huyo Gwajima (siamini kama kweli ni mchungaji au askofu mwenye karama), Kama kweli ni mchungaji kuna ethics zake, ni upumbavu na upuuzi kujitapa kuwa hata kama amelala na mrembo yule kwani kuna shida gani? Hivi ni wewe unayehubiri kanisani neno...
  16. mzee wa liver

    JamiiForums Tanzania Zambia: Mchungaji aliyeomba kuzikwa ili afufuke siku ya 3 kama Yesu akutwa amefariki dunia

    Mchungaji wa kanisa la Zion amekufa baada ya kuzikwa hai --- Mchungaji wa kanisa la Zion nchini Zambia James Sakara, aliyewaomba baadhi ya waumini wake wamchimbie kaburi na kisha wamzike akiwa hai kwa madai ya kwamba baada ya siku tatu angefufuka kama Yesu, amekutwa akiwa amefariki dunia...
  17. S

    JamiiForums Tanzania Kumbe Askofu Gwajima anaweza kuanzisha chama cha siasa na kikawa na nguvu kuliko CHADEMA

    Askofu Gwajima siku zinavyozidi kwenda anazidi kuwaaminishia watanzania kuwa yeye si mtu wa kuyumbishwa yumbishwa na wachumia tumbo hata kama yupo chama cha CCM , ana uwezo wa kumpinga Mwenyekiti wake pamoja na viongozi wote wa CCM kama sehemu ya misimamo yake pamoja na imani yake. Nguvu hii...
  18. A

    JamiiForums Tanzania Tafakari na Kipanya: Mchungaji anaacha mifugo ijiongoze yenyewe

  19. Analogia Malenga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uingereza: Mchungaji Mwenye Asili ya Kenya Kortini kwa Kuuza Mafuta analiyodai yanatibu Covid-19

    Askofu Climate Wiseman mwenye asili ya Kenya amefikishwa mahakamani kwa tuhuma za kuuza mafuta anayodai yanatibu COVID19 Askofu huyo anayeishi Uingereza anakabiliwa na Mashtaka ya udanganyifu na kufanya Biashara isiyo na usawa (fairness) Hakimu wa Mahakama ya Lavender Hill ameshindwa kutoa...
  20. donlucchese

    JamiiForums Tanzania Mchungaji na Bilionea Shilla...

    Wakuu, huyu bwana mdogo nimekua nikicheck posts zake mitandaoni napata ukakasi kama kweli (roho yu ndani yake) na vile maandiko yanavosema tujihadhari na manabii wa siku za mwisho. And what's the source of his lavish style?
Back
Top Bottom