mchumba

"Bwatue" is a song by Phil Ochs, a U.S. singer-songwriter best known for the protest songs he wrote in the 1960s. He co-wrote the song with two African musicians named Dijiba and Bukasa. "Bwatue" was written and recorded in 1973."Bwatue" was written while Ochs was visiting Kenya. Its lyrics are in Lingala. The title means "canoe"; the lyrics develop the river as a metaphor for life. "Bwatue" was released as a single in Africa by A&M Records. The B-side of the single, "Niko Mchumba Ngombe", also by Ochs, Dijiba, and Bukasa, was written in Swahili. Both songs were recorded by Ochs with the Pan-African Ngembo Rumba Band. The record was a commercial failure."Bwatue" and "Niko Mchumba Ngombe" have been described as early examples of blending Western popular music with world music, and critics note that they predate Paul Simon's Graceland by more than ten years. Still, one critic says the record "should be seen more as a curiosity rather than a serious attempt at exploring a new style". One of Ochs' biographers cynically suggests that Ochs recorded the songs in order to deduct the cost of his trip to Africa from his income tax as a business expense.In the early 1990s, the single was reissued in a limited edition of 1000 by Sparkle Records, ostensibly on behalf of the Phil Ochs Fan Club of Canada. The reissue was unauthorized and is considered a bootleg.The only known review of the single was positive. Reviewing the bootleg release in Dirty Linen, Cliff Furnald wrote that "the band gives a superb look at the Zaire/Kenyan dance style at the time before mass marketing started the diluting downward trend".Because of the single's limited release, "Bwatue" and "Niko Mchumba Ngombe" were extremely rare. Most Ochs fans never heard the songs before they were included in 1997's American Troubadour. "Niko Mchumba Ngombe" was also included in the 2004 collection Cross My Heart: An Introduction to Phil Ochs.

View More On Wikipedia.org
  1. Pain killer

    Ukija Dar es Salaam hujaoa basi hutaoa kabisa kama usipoondoka

    Habari wakuu, Hii kitu sio utani kabisa, kama kichwa cha habari hapo juu kinavosema, kwa kijana ambaye kakulia DSM katika ujana wake kuoa ni kipengele kizito sana, kuna kaka yangu toka nasoma shule ya msingi alikujaga DSM kusoma chuo, sasa alimaliza akapata kazi huko huko dsm, huwezi amini...
  2. Kifaru86

    Kabla ya kuoa ni mambo gani mnatakiwa kuzingatia wewe na mchumba wako

    Wakuu nina mpango wa kuoa ifikapo mwakani ila naombeni muongozo ni mambo gani ya kuzingatia wewe na mpenzi wako kabla ya kufikia hatua ya kuoana? Kwa wale mnaofahamu nitashukuru mkinipa mwongozo.
  3. kindikinyer leborosier

    Aliomba afikie nyumbani kwangu nikakataa. Je, nilikosea?

    Habari wanajamii? Poleni na majukumu ya week nzima! Niende moja kwa moja kwenye uzi husika, mwaka 2013 nilianza mahusiano na binti mmoja ambae familia yao ilikua karibu sana na familia yetu. Tulidumu kwenye mahusiano kwa muda kidogo mpaka 2017 ambapo tuliamua kuachana, sababu kubwa ikiwa yeye...
  4. Wakusoma 12

    Nimetoa mahari ya Tsh. laki nane (8) nyumbani kwao na mzazi mwenzangu na wamenikabidhi binti yangu (mwanangu) ili nimsomeshe

    Wakuu nilipata kuzaa na mdada mmoja miaka kama mitatu hivi imepita. Kiukweli nimekuwa na mahusiano mema tu na mwanamke huyu kwa muda wote japo mie nimekuwa mtu wa harakati za hapa na pale na kutulia kwangu nyumbani ilikuwa shida. Kutokana na hali hiyo ilibidi mzazi mwenzangu aendelee kuishi...
  5. J

    Natafuta mpenzi mtu mzima

    Akiwa na mtoto au watoto amezaa ni vizuri. Akiwa aliachika katika ndoa na angalau alipewa taraka itapendeza zaidi. Asiwe chini ya miaka 35 na asifike 55. Dini yake yoyote aendelee nayo. Mi situmii pombe na yeye ajitathimini. Awe ni mnene wa shep au awe na mzigo. Awe anaishi Dar au jirani...
  6. rkid49

    Natafuta mchumba baadaye awe mke

    Habari za majukumu Nimejitokeza hapa kwenu kwa lengo la kutafuta mchumba then baadae awe mke Sifa zangu: Rangi: mweusi Kimo: mrefu Miaka: 28 elimu: degree Location: mbeya Awe atleast na sifa hizi: Rangi: mweupe/ maji ya kunde Kimo: asiwe mfupi miaka: isizidi 30 Elimu: kuanzia sekondari Kwa...
  7. Nick0001

    Natafuta mchumba ili awe mke

    Natafuta mchumba hadi kuwa mke Awe tayari kuwa mke Awe mkristo hata akiwa Muislam tutaongea Age 20 hadi 24 Mwajiriwa au amejiajiri Awe Dar es Salaam SIFA ZANGU: Niko Tayari kusudia Mwajriwa / Kuhusu kazi tutaongea Msafi Nipo Dar es Salaam
  8. Beka hamisi

    Nahitaji mchumba

    Mimi ni kijana wa umri wa miaka 28 Elimu: Electrical and Electronics Engineer Makazi: mbezi luis dar es salaam Kazi: Kwasasa bado sijaajiriwa Nahitaji msichana kuanzia umri wa miaka 21 tuwe wachumba mpaka ndoa pia awe muislam, Whatsap:0677452164 Kawaida: 0688862638
  9. jitulawatu

    Natafuta mchumba baadaye awe mke

    Nataka mchumba ambaye baadae atakuwa mke, nataka nipate mwenzangu kama mchumba sasa hivi ili tuandaane kwa miez isiyopungua 5 mpaka ndoa. Sifa 1. Awe na umri 22-24 2.mwenye elimu isiyozidi diploma, wa degree wanasumbua sitaki ligi Nyumban kwangu maana wanajifanya wajuaji sana, 3. Awe mkristo...
  10. Nduka Original

    Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

    Mbunge Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda, Ex TRA Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamiliki kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ya umauti haujamkuta. Walianza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia. Walitofautiana...
  11. Mboka man

    Mrejesho: Baada ya kwenda kutambulishwa ukweni kama mchumba mtarajiwa

    Takribani siku chache tangu nitambulishwe ukweni kama kijana mtarajiwa mambo nilioweza kuyaona. 1.Nilikaribishwa salama salmini kwa vifijo na vigelele msosi ulipikwa tukala na kusaza. 2.Baada ya hapo talisman mazungumzo tukiwa watu watatu mimi, baba mkwe na mama mkwe ila yote tisa kumi ni pale...
  12. Mboka man

    Ushauri: Nakwenda kutambulishwa kama mchumba ukweni

    Baada ya mgogoro na kelele za muda mrefu za lini utakuja kwetu kujitambulisha mara nyumbani hawanielewi kila siku wananiuliza lini utakuja, mara unavyozidi kuchelewa unaniweka katika wakati mgumu sana haya ni maneno ya mtoto wa kike aliokuwa akiniimbia takribani miaka miwili tangu tuanzishe...
  13. joshydama

    Nimegundua mchumba wangu kanisaliti baada ya kuona meseji za mapenzi kwenye simu yake

    Habari za asubuhi wakuu. Ni matumaini yangu kwamba hamjambo humu ndani. Wakuu bila kupoteza muda ni kwamba leo asubuhi nikiwa tumelala, mpenzi wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa mwezi wa tano aliniomba nimsaidie kutengeneza simu yake kwa sababu ilikuwa na matatizo katika upande wa WHATSAPP...
  14. DolphinT

    Anahitajika mchumba

    Umri miaka 25-29 Mkristo Elimu kidato Cha nne na kuendelea Rangi (asiwe wa kijichubua) Makazi Dsm (au awe tayari kurelocate) Kimo wastani
  15. E

    Natafuta mchumba seriously

    Vigezo; Awe Mkristo awe dhehebu lolote. Awe ana miaka isiyozidi 25 Awe mweupe, mrefu kiasi na elimu yake isipungue frm4 Pia awe mcha Mungu na awe anahudhuria kanisani. ******* Mimi ni msabato na ni nina miaka 28 Pia ni mwajiriwa na nimejiajiri "Mungu awabariki nyote" No_0626408314. Pia...
  16. Tumainiely Moshi

    Natafuta mchumba wa kike kuanza nae mahusiano

    Naitwa Junior Mkazi wa DSM nina miaka 27 natafuta mchumba wa kike wa kuanzisha nae mahusiano ya kudumu SIFA: 1.Awe na umri kuanzia miaka 19-25 2.Awe mweupe au maji ya kunde 3.Asiwe mnene sana wala mwembamba sana 4.Dini yeyote 5.Kabila lolote 6.Awe na nidham pamoja na maadili mema 7.akiwa...
  17. kekule benzene

    Natafuta mchumba (mwanamke) muislamu

    Wasalaam wakuu!! Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, natafuta mwanamke ambaye atakuja kuwa mke wangu Wasifu wangu *Umri -26 *Elimu -Bachelor degree * Dini - muislam *Rangi- Mweusi(pure) *Urefu-Wastani *Makazi- DSM NB Kama kuna kitu cha ziada nitaweka nikikumbushwa (Nikiulizwa) SIFA ZA...
  18. Tumainiely Moshi

    Natafuta Mchumba Wa kike

    Natafuta mchumba wa kike umri kuanzia miaka 21-27 awe dar es salaam tukikubaliana tuje kuishi Pamoja Sifa; 1.Awe mweupe au maji ya kunde 2.asiwe mwembamba Sana wala mnene Sana 3.kama atakuwa ameajiriwa itapendeza KWA yeyote aliye tayari tuwasiliane santosdavid554@yahoo.com
  19. Da Vinci XV

    TAHAR SABAR: Mwanadada aliyefanya plastic surgery zaidi ya Hamsini ili Afanane na Angelina Jolie

    WASAALAM Fatemeh Khishvand, anayejulikana na jina lake la Instagram Sahar Tabar ni mwanada wa Irani ambaye alijizolea umaarufu mnamo 2017 kwa upasuaji na mapambo , kwenye picha zake zilizoenea mtandaoni ili tu afanane na mwigizaji nguli wa hollywood ANGELINA JOLIE Ilisemekana kwamba alikuwa...
  20. dennoo_appliances

    Natafuta mchumba

    Mim Nina sifa zifuatazo Jinsi Mwanamme Umri miaka 29 Dini mkristo Elimu Bachelor degree Kazi Nimeajiriwa Makazi Dar es salaam Mhusika awe na sifa zifuatazo Jinsia Mwanamke Miaka chini ya 25 Dini mkristo Elimu Bachelor degree yeyote Makazi Dar es salaam Ambaye atakua interest anifuate pm
Back
Top Bottom