The lost
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 2,695
- 8,209
Wakuu nilipata kuzaa na mdada mmoja miaka kama mitatu hivi imepita. Kiukweli nimekuwa na mahusiano mema tu na mwanamke huyu kwa muda wote japo mie nimekuwa mtu wa harakati za hapa na pale na kutulia kwangu nyumbani ilikuwa shida.
Kutokana na hali hiyo ilibidi mzazi mwenzangu aendelee kuishi kwao huku mie nikiendelea na harakati huko duniani. Sasa hapa karibuni nilipoteza mawasiliano na mzazi mwenzangu na kupelekea ukaribu wetu kupungua hivyo kunifanya nipoteze imani naye.
Ni mwezi March ndiyo rasmi nimetulia na kumfata mpaka kwao na bahati mbaya alikuwa amesafiri na hakuwahi kunipa taarifa. Binafsi sikufurahishwa na usiri wake na niliamua kubreak mahusiano yetu.
Hivyo kwa mila na tamaduni zetu ilinilazimu kuwaandaa wazee kwa ajili ya kutoa mahari ya mtoto pekee ili awe mtu wa familia na ukoo wetu ambayo familia zilikubaliana kiasi cha laki 8 na jana mchezo umeisha.
Kutokana na hali hiyo ilibidi mzazi mwenzangu aendelee kuishi kwao huku mie nikiendelea na harakati huko duniani. Sasa hapa karibuni nilipoteza mawasiliano na mzazi mwenzangu na kupelekea ukaribu wetu kupungua hivyo kunifanya nipoteze imani naye.
Ni mwezi March ndiyo rasmi nimetulia na kumfata mpaka kwao na bahati mbaya alikuwa amesafiri na hakuwahi kunipa taarifa. Binafsi sikufurahishwa na usiri wake na niliamua kubreak mahusiano yetu.
Hivyo kwa mila na tamaduni zetu ilinilazimu kuwaandaa wazee kwa ajili ya kutoa mahari ya mtoto pekee ili awe mtu wa familia na ukoo wetu ambayo familia zilikubaliana kiasi cha laki 8 na jana mchezo umeisha.