Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Takribani siku chache tangu nitambulishwe ukweni kama kijana mtarajiwa mambo nilioweza kuyaona.
1.Nilikaribishwa salama salmini kwa vifijo na vigelele msosi ulipikwa tukala na kusaza.
2.Baada ya hapo talisman mazungumzo tukiwa watu watatu mimi, baba mkwe na mama mkwe ila yote tisa kumi ni pale nilipoulizwa.
3.Unafanya kazi gani au unashughuliaha na kitu gani.
4.Baada ya kujiibu niliulizwa tena umejipanga vipi kuishi na binti yetu.
5.Kwa kibarua unachofanya utaweza kumtunza mtoto mimi niliasema ndio.
Pia soma: Ushauri: Nakwenda kutambulishwa kama mchumba ukweni
1.Nilikaribishwa salama salmini kwa vifijo na vigelele msosi ulipikwa tukala na kusaza.
2.Baada ya hapo talisman mazungumzo tukiwa watu watatu mimi, baba mkwe na mama mkwe ila yote tisa kumi ni pale nilipoulizwa.
3.Unafanya kazi gani au unashughuliaha na kitu gani.
4.Baada ya kujiibu niliulizwa tena umejipanga vipi kuishi na binti yetu.
5.Kwa kibarua unachofanya utaweza kumtunza mtoto mimi niliasema ndio.
Pia soma: Ushauri: Nakwenda kutambulishwa kama mchumba ukweni