mbwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. JamiiForums Tanzania Baada ya Kula nyama ya mbwa wakaanza Kuiga tabia za mbwa

    Weekend tarehe 23 iliyopita nilitembelea sehemu moja karibu na mji wa kupang ila ni vijiji vya nchi ya Timor-Leste nikiwa na rafiki yangu kwao palikuwa na kama kumbukizi ya mwaka mmoja wa kifo cha babu yake nikamsindikiza kuna tukio moja liliniacha na maswali mengi sana kuhusu mambo ya...
  2. JamiiForums Tanzania Kwanini sisi Waafrika tusitafute breed ya mbwa koko na mbwa mwitu?

    Wajerumani walifanikisha breed ya GS kutoka mbwa wa kawaida na wolf (mbweha), kwanini sisi waafrika tusitafute breed ya mbwa koko na mbwa mwitu? Ni aina ya mbwa ambao wako loyal sana kwa wenzao, pia ni wawindaji wasiokata tamaa ila atafaa kww ulinzi kutokana na asili yake ya mwituni.
  3. R

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tukubaliane wanaume siyo mbwa na wanawake si chuma ulete kwenye mahusiano

    Wakuu habari, Kuna jambo nimeliwaza, kama binadamu tuna mema na madhaifu, kila mmoja wetu ana uwezo katika jambo fulani na ni dhaifu upande mwingine na hii ndiyo sababu ya kuumbwa kwa kutegemeana. Mara nyingi kinachotushinda kwenye mahusiano na kupelekea kuitana majina mabouvu ya fedhea ni...
  4. JamiiForums Tanzania Naomba jina zuri Kwa ajili ya mbwa wangu

    Leo nimenunua mbwa Kwa ajili ya ulinzi nyumbani Mbwa ni mlinzi mwaminifu Mbwa sio kama binadamu kwamba ana usaliti Naomba jina zuri Kwa ajili ya jibwa langu
  5. R

    JamiiForums Tanzania Let it be on record, Chadema fungua mashitaka mahakamani kwanini magereza wanakataa watu wasimuone Lisu. Heche leo kafukuzwa kama mbwa!

    Najua hakuna mahakama. But let it be on record! Hakuna Jaji atakataa kupokea maagizo. Na hili naweza kusema with brevity kuwa hawana jinsi, nao wanatetea uhai wao! Ni vyema mkaenda mahakamani , iwekwe record kuwa mahakama ilikataa kutoa haki! Let it be documented rather than leaving the...
  6. JamiiForums Tanzania Ni kweli Iringa wanakula mbwa?

    Ningependa kujua kama kweli iringa wanakula mbwa maana naskia , iringa nyama bei rahisi kg 1 ya nyama ni elfu 2 Watu wa Iringa nipeni majibu.
  7. JamiiForums Tanzania Je hawa Mbwa hawapatikani Tz? Kwanini Germany Shepherd ndio maarufu ukiacha hawa wa kwetu?

    Wakuu, Kwanini hizi aina nyingine za Mbwa hatuoni zikitangazwa sana hapa Tanzaniaa zaidi ya German Shepherd Je upatikanaji wake ni mgumu au ndio watanzania wamekariri tu? 1.Golden Retriever 2.Labrador Retriever 3.Husky Sifa zao 1.Ni salama na rafiki kuishi na familia hasa watoto. 2.Wana uelewa...
  8. JamiiForums Tanzania Russia na China si Marafiki wa kuwaamini ni Mbwa wanaobweka sana lakini hawaumi.

    Russia na China ni kama mbwa wanaobweka sana.. lakini hawaumi. Siku ukiibiwa unasema usiku mbwa walibweka sana. Ila ndo umeshaibiwa tayari. Maduro kachukuliwa Venezuela huku Maafisa wa China wakiwa wameenda kuongeq naye. Yaani siku unaenda kulipia mahari unafika baada ya muda unaambiwa...
  9. C

    JamiiForums Tanzania Kujificha kwenye kofia ya "HII NI NCHI HURU HATUWEZI KUINGILIWA "halafu unaua wananchi wako kama mbwa! Lazima utolewe kwa nguvu tu hakuna namna

    Linaiva jikoni linasubiri kupakuliwa tuu! Hakuna uhuru wa kuua raia wako namna ile tena raia asiye hata na panga halafu usimame kujifanya oooh! Hii ni nchi huru wasitupangie nyokoooo , utatolewa kwa aibu uhuru wa nchi na nchi kuwa huru sio kofia au tiketi ya kuua raia wako hovyo hovyo hata kama...
  10. JamiiForums Tanzania Je, unafahamu nini kuhusu Mbwa kugandana zaidi ya dakika 45 wakati wa kujamiiana?

    Tukio la uume wa mbwa wa kiume kubaki ndani ya mbwa wa kike baada ya kupandana ni jambo la kawaida kabisa na ni sehemu muhimu ya uzazi wa mbwa. Hali hii huitwa “copulatory tie” au “lock”. Ni mabadiliko ya kibiolojia yanayosaidia kuhakikisha mbegu zinafanikiwa kurutubisha. Hali hii hutokea...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Taifa stars ya mama ipigwe kipigo cha mbwa koko

    Sina mengi sana tuko bar hapa mitaa ya Uyole tunaowashangilia Naigeria wakome na makonda wao ni kipigo cha Mbwa mwizi
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msiba Usio wa Kawaida: Mbwa Kuruhusiwa Kuunusa Mwili wa Marehemu kabla hajazikwa, ni sawa ?

    Nimeshuhudia mambo mengi katika misiba tofauti, lakini tukio hili nililoliona limevunja kabisa rekodi. Mbwa aliruhusiwa kuisogelea maiti na akaanza kuinusa, kulikuwa na watu wachache na ni kabla maiti haijatolewa nje kwa watu wengi kwa ajili ya kuagwa na kisha kuanza safari ya mazishi...
  13. B

    JamiiForums Tanzania Padre Kessy: Mtu mjinga akikaa kimya katikati ya watu wenye hekima na yeye huoenekana ana hekima, lakini akifungua mdomo tu amejitambulisha mwenyewe

    Padre Prosper Kessy (OFM Cap) kupitia ukurasa wake wa Instagram amechapisha video akieleza ni kwa namna gani mtu mjinga anapenda kumshauri mtu mwenye hekima. "Mtu mjinga akikaa kimya katikati ya watu wenye hekima na yeye huoenekana ana hekima, lakini akifungua mdomo tu amejitambulisha mwenyewe".
  14. JamiiForums Tanzania Hili "somo la kwanza” la Wakatoliki kwenye msiba wa Kardinali Pengo mbona kama lilikuwa limelenga kufikisha ujumbe flani?

    Wakuu, Jana wakati wa misa ya kumuaga Kardinali Pengo kulikuwa na hili somo maalum lililoandaliwa na likasomwa kwenye misa mbele ya Samia Kwanza picha linaanza tukio ni la msiba lakini somo limesomwa kutoka kwenye kitabu cha WAFALME. Kilichosomwa: "Neno la Bwana likamjia Elia Mtishbi kusema...
  15. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Bora nikusanye mbwa na paka wa mtaani niwalee kuliko kusomesha mdada eti kisa mapenzi na ahadi ya kuoana

  16. JamiiForums Tanzania Sababu ya mbwa kujipeleka kwa Chatu

    Hii nimetoa Facebook. DAR ES SALAAM;MIONGONI mwa nyoka wanaoogopwa sana na watu, ingawa hana sumu ni yule aitwaye chatu. - Huyu ni mmoja wa nyoka wakubwa zaidi duniani mwenye uwezo mkubwa wa kubana na hatimaye kumeza mawindo yake makubwa yaani wanyama. - Inaelezwa na baadhi ya watu kuwa, nyoka...
  17. JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanadamu wana mengi ya kujifunza kutoka kwa Mbwa Mwitu!

    Wakati wa vita, Mbwa Mwitu wa kike hukaa karibu chini ya wa kiume, kwa utulivu mkuu na usio na hofu. Anamwamini kabisa na anajua nguvu zake zitawalinda wote wawili. LAKINI...! Mbwa mwitu wa kiume wana sheria moja wanayoiheshimu sana ...! Hawadhuru wanawake kamwe; hivyo mbweha jike yuko salama...
  18. JamiiForums Tanzania Kweli mbwa sio msaada kwa ulinzi yani mwizi kaingia ndani jumapili hii kabeba flat TV na mbwa

    Leo nimetoka na familia kwenda kanisani tunarudi mda huu tunakuta flat imetolewa ukutani na mbwa mfano wa Wema Sepetu naye kaondoka. Ila ili likijana na miviatu nilishawai kusema hapa nalo kumbe lilitoka
  19. JamiiForums Tanzania Myahudi au mwanamke au mbwa akipita karibu na muislamu wakati wa maombi, hayo maombi yatakatizwa

    Hapa naona imekatazwa mbwa au mwanamke au Myahudi asipitie karibu na muislamu wakati wa maombi, kwa hivyo wanawake au jamii ya Wayahudi wanachukuliwa kama nini kwenye uislamu, kuna sehemu nimesoma Mohamad aliagiza mbwa weusi wauawe. Book 2, Number 0704: Narrated Abdullah ibn Abbas: Ikrimah...
  20. JamiiForums Tanzania Walichomfanya Catherine Magige (CCM VITI MAALUM ARUSHA) Ndivyo Watachomfanya Paul Makonda. WAJUMBE SIO WATU NI MBWA🤣

    Catherine Magige jana alienda kwenye uchaguzi wao pale ukumbi wa AICC Arusha akiwa anajiamini kuwa atapata kuchaguliwa na wanawake wenzake wa ccm tena viti maalum kwa kipindi cha miaka mitano tena na kukamilisha ngwe ya miaka 20... Mbunge mzigo huyu ambaye kwa miaka 15 alikuwa bungeni tu kama...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…