MnyonyesheHabari ndugu wanajamii, Nina kitoto cha mbwa umri miezi mitatu toka juzi ni kagonjwa hakataki chakula, kamelegea, kanalala TU, kalitapika juzi usiku naomba ushauri dawa Gani nitumie
kape panadoHabari ndugu wanajamii, Nina kitoto cha mbwa umri miezi mitatu toka juzi ni kagonjwa hakataki chakula, kamelegea, kanalala TU, kalitapika juzi usiku naomba ushauri dawa Gani nitumie
Nzima , nusu, robo 🤣kape panado
Hapo jirani hakuna daktari wa wanyama umpeleke/umuite amtibu?Habari ndugu wanajamii, Nina kitoto cha mbwa umri miezi mitatu toka juzi ni kagonjwa hakataki chakula, kamelegea, kanalala TU, kalitapika juzi usiku naomba ushauri dawa Gani nitumie
Yani ameeleza kisa vizuri kabisa halafu mwisho umeamdika "kwa nini"?Mimi na mbwa ukweli itabaki historia tu. Siku moja majambazi wamevamia kwa jirani wakapiga mchuma ndugu zangu mwisho wa siku seleka limeisha mda wa saa tano mbwa anatokea chumbani akibounce yaan kaogopa hatari anatetemeka hadi mashavu. Kachoka kishenz kwa milio ya risasi tangu siku hiyo mbwa aliugua mwenyewe ni kama kalishwa sumu akafa ku. Mpaka sasa sikuwahi kujua kwanin,
Na za baba na mama yako usizisahau. KiaziPumbaf zako
Huu ugonjwa wa mbwa umenikumbusha mbali nyumbani Rebu, kama ndio huo pavo. Huyo puppy ni bye bye.. haponii 😌Nimejaribu kupitia Google wanasema huo ugonjwa unaitwa canine parvovirus
Mpe mbinu mbadala.Usimfanye akaanza kulia.Huu ugonjwa wa mbwa umenikumbusha mbali nyumbani Rebu, kama ndio huo pavo. Huyo puppy ni bye bye.. haponii 😌
Sina mbwinu Mimi,😁😁 ila huo ugonjwa umenikumbusha zamani uliua mbwa home, Kuna mdogo wangu aliachiwa mbwa na Shirika tla wagerman... Ndio wakafa na huo ugonjwa.Mpe mbinu mbadala.Usimfanye akaanza kulia.
Kwa nini usiende mjini saa hizi?Huoni mtoto atakufa?Kesho nitaenda mjini nipo bush
Mimi nilizika vimbwa 6 sababu ya ugonjwa kama huo,walianza kutapika kila wanachokula kulegea mwili kuharisha damu,nikapeleka hospital dokta anataka kila mmoja alipiwe sh laki mbili na 70,kwa dozing ya siku tatu ,nikashndwa wakafa wote ,kama ni huo ugonjwa kupona ni nadra na kutopewa chanjo kwa wakatiHabari ndugu wanajamii, Nina kitoto cha mbwa umri miezi mitatu toka juzi ni kagonjwa hakataki chakula, kamelegea, kanalala TU, kalitapika juzi usiku naomba ushauri dawa Gani nitumie