mbinguni

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MamaSamia2025

    Je, unapenda pilau kuku, biriani mbuzi, nyama choma, makange ya samaki, ugali dagaa na mbogamboga? Mbinguni hazitakuwepo.

    Kuna vitu na mambo yanayopendwa sana hapa duniani ambavyo sio dhambi lakini ni kuwa hivyo vyote havitakuwepo. Kwa mfano sisi tunaopenda misosi mitamu kama ile ya Shishi food, white rose na Marry brown ni kuwa haitakuwepo. Kitu nachosikia kinatajwa tajwa ni maziwa na asali. Pia huenda kikawepo...
  2. N

    Uzuri wa Mbinguni

    Habari wapendwa! Watu wengi wanacheza na dhambi ni kwa sababu hawajui jinsi mbinguni kulivyo! Leo nitawatazamisha jinsi mbinguni kulivyo baada ya hapo utaamua mwenyewe kuendelea na dhambi au kwenda huko Kutokea uso wa nchi hii kwenda juu kuna mbingu ya tatu, isiyoonekana kwa macho ya nyama...
  3. Mhaya

    Angelica Zambrano: Binti kutokea Ecuador aliyeenda Mbinguni na Kuzimu

    Hii ni makala ya yule msichana wa kule Ecuador aitwaye Angelica Zambrano. Huyu alichukuliwa na kupelekwa Mbinguni na Kuzimu. Kule kuzimu aliwakuta wasanii mbalimbali, akawakuta viongozi wa dini. Yaani yule mtu mliyemwamini sana, naye akakutwa huko. Tutaisoma yote. Ukiingia mitandaoni ipo ya...
  4. matunduizi

    Hii ndio sababu kwanini wahuni, watu tunaowaona wadhambi wengi wataingia mbinguni kuliko watakatifu wa kidigitali

    Hawa jamaa waliopinda, wahuni, wezi, vibaka na watu wa aina hii licha ya ukorofi wao huwa wakibanwa kwenye kona ni wapole sana na wepesi kutubu. Nakumbuka ajali moja ya Bajaji abilia wote walikuwa wamelewa chakali lakini wakiwa majeruhi walikuwa wanatubu na kumuomba Mungu fasta kabla hawajadedi...
  5. M

    Ujumbe kwa Anthony Lusekelo anayeamini ana tiketi ya mbinguni tayari pamoja na wanaojiita walokole

    PAPA FRANCIS ALISEMA: "Fikiria mama asiye na mume anayeenda kanisani au parokiani, na kumwambia katibu: NATAKA KUBATIZA MWANANGU, na mhudumu anasema: 'Hapana, huwezi, kwa sababu hajaolewa..." Tukumbuke kwamba. Mama huyu alikuwa na ujasiri wa kuendelea na ujauzito - na ni kitu gani kilichompata...
  6. J

    Leo tarehe 15 August Wakristo Wanaadhimisha Sikukuu Ya Kupalizwa Mbinguni Bikira Maria

    Ufunuo 12:1 "Kisha, ishara kubwa ikaonekana mbinguni: Mwanamke aliyevikwa jua na mwezi chini ya miguu yake na taji ya nyota kumi na mbili juu ya kichwa chake!" Luka 1:26 "Mnamo mwezi wa sita, malaika Gabrieli alitumwa na Mungu aende kwenye mji uitwao Nazareti huko Galilaya, kwa msichana mmoja...
  7. B

    Kwa tafiti hizi tutafika Mbinguni tumechoka sana

    Utafiti kutoka Chuo kimoja Kikuu huko London unasema kwamba, unapojikwaa au kupata maumivu, kiwango cha uchungu unachopata kinategemea na kiwango chako cha maisha. Iwapo wewe ni maskini basi utahisi uchungu mwingi zaidi kuliko yule ambaye ni tajiri. Una maoni gani kuhusiana na utafiti huu?
  8. Bujibuji Simba Nyamaume

    Nikifa, sio muhimu kwangu kuzikwa kidini. Mbinguni hatuingii kwa kuombewa wala kuswaliwa

    Haya maisha yana mengi, eti niwe jambazi kama Gabi wa UMUGHAKA, Niue watu, niwatapeli watu kwa kuwapa hela feki. Niwe mchawi, nizini na wake wa watu na watoto wao niwape mimba, kisha mizikatae hizo mimba. Niibe mali ya umma, pesa ya kununua madawa ya watu masikini nikaifiche Switzerland 🇨🇭...
  9. Chizi Maarifa

    Kitendo walichonifanyia mwaka jana pale Cinemax. Kweli hawataenda Mbinguni mpaka leo nina jeraha kubwa sana

    Wale jamaa wahuni sana , nawachukia kiroho mbaya. Nliwahi fikiria hata kuwaroga. Basi tu ila nikiona hata jina lao tu napaliwa na chakula, pumzi inakata nahema kwa shida na macho yanakuwa mekundu. Yaani wale jamaa wakunilisha mimi pop corn tsh 8,000? Pamoja na mademu 4 jumla 40,000 pop corn...
  10. Brain Kingdom

    Wazuri katika Mungu hawafi na wakifa husiifiwa sana kwa kuwa wanaenda Mbinguni kwa Mungu

    Hello Mungu ni mwamba wa yote! Ama kwa hakika wazuri miongoni mwa wakorinto hawafi, na wakifa husifiwa mithili ya malaika wateule waishio thethalonike. Spinning for the dead angels does not live long and doesn't work with the common majority. Now that, the minority have assumed bust up and...
  11. E

    Man of God

    Wakuu kwema? Wazee wa zamani walisema "Don't judge a book by it's cover".
  12. ChatGPT

    Mazungumzo ya Bernard Membe na John Magufuli Baada ya Kukutana Mbinguni

    Mara tu baada ya kuwasili mbinguni, Bernard Membe anakutana na Rais John Magufuli wanasalimiana na kuanza kuzungumza, ila punde si punde Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere anawajoin. Membe alimuuliza Mwalimu Nyerere kama alikuwa amefurahishwa na jinsi Tanzania ilivyokuwa ikiendelea tangu...
  13. Mcqueenen

    Jinsi ya kwenda Mbinguni katika kila dini

    Kuna dini nyingi duniani na kila dini ina mtazamo wake kuhusu jinsi ya kufika mbinguni. Sijui kama mbingu ni ile ile kwa kila dini na sijui kama kuna njia bora kuliko nyenzake, lakini Hapa ni maelezo mafupi juu ya jinsi ya kufika mbinguni katika dini kadhaa maarufu: Ukristo: Kulingana na...
  14. BARD AI

    Update: Miili iliyofukuliwa ya Waumini waliofunga hadi kufa yafikia 83

    UPDATE: Miili zaidi imefukuliwa katika Makaburi yanayohusishwa na 'ibada ya njaa', na kufanya jumla ya vifo kufikia 83, huku idadi hiyo ikitarajiwa kuongezeka - Polisi wamekuwa wakizunguka msitu wa #Shakahola kwa takriban Siku 4 baada ya kupokea taarifa kuhusu dhehebu linaloongozwa na...
  15. NetMaster

    Napata mashaka juu ya ahadi ya Mito ya pombe mbinguni. Kama Pombe ni chukizo kwa Allah, ni kwanini Pombe iwepo mahali patakatifu?

    Sijaja kwa kebehi wala maudhi ila nahitaji upembuzi juu ya hili la mito ya pombe mbinguni, Quran 47:15 - Mfano wa Pepo walio ahidiwa wachamngu ina mito ya maji yasiyo vunda, na mito ya maziwa isiyo haribika ladha yake, na mito ya pombe yenye ladha kwa wanywao, na mito ya asali iliyo safishwa...
  16. Jemima Mrembo

    Astral projection mnaona inawezekana, ila mtu kwenda mbinguni na karudi haiwezekani. Rethink

    JamiiForums imevamiwa na viumbe vya ajabu kabisa, ambavyo sasa havitaki kutafuta maarifa tena, havitaki tena kusoma vinataka kuangalia videos ,za tic toc zisizo na tija wala afya kwa akili zao. Maisha ya rohoni ni mapana sana kuliko maisha ya mwilini. Wengi hatuzijui siri za rohoni, lakini tu...
  17. M

    Duniani sheria, haki mbinguni

    Katika harakati za kupiga vita Ushoga yanishangaza elimu ama akili inayotumika kisheria.. SHOGA anakamatwa na kuhukumiwa kwenda jela miaka 30, Jela ambayo kuna Wanaume njaa wasio na wake! Je, hii ni adhabu au starehe kwao.🤔🤔 Je, kumpeleka Shoga Magereza sio kama tunapandikiza mbegu ya...
  18. MzeeKipusa

    Mwl. Mwakasege: Nilienda Mbinguni nikaongea na Yesu na Musa

    Wadau kwema? Nipo hapa nafuatilia Semina ya Neno la Mungu - Dodoma mubashara kabisa kupitia Upendo TV (Huduma ya Mana) Mwalimu Mwakasege naye anasema eti eti alienda Mbinguni akakutana na Musa, na pia akakutana na Yesu na akapiga nao story. Na kasema eti Yesu kamwambia yuko njiani anarudi...
  19. Lady Whistledown

    Kenya: Mchungaji akamatwa baada ya Waumini Wanne kufa njaa katika Mfungo

    Polisi katika Kaunti ya #Kilifi wamemkamata Paul Makenzie Nthenge wa Kanisa la Good News International baada ya vifo vya Waumini 4 na kuwaokoa wengine 11 wakiwa mahututi msituni ambapo walidaiwa kudanganywa na kufunga hadi kufa na Mchungaji huyo. Nthenge alianza kufuatiliwa mwishoni mwa Mwezi...
  20. Nyuki Mdogo

    Tutafika mbinguni tumechoka sana. Huyu nae ni muimbaji wa Gospel huko Kenya

    Anaitwa Nica the queen Dhambi mpya zimeanza baada ya Bwana Yesu kusulubiwa msalabani
Back
Top Bottom