matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,603
- 15,401
Hawa jamaa waliopinda, wahuni, wezi, vibaka na watu wa aina hii licha ya ukorofi wao huwa wakibanwa kwenye kona ni wapole sana na wepesi kutubu.
Nakumbuka ajali moja ya Bajaji abilia wote walikuwa wamelewa chakali lakini wakiwa majeruhi walikuwa wanatubu na kumuomba Mungu fasta kabla hawajadedi mmoja baada ya mwingine.
Hawa wengi wataingia mbinguni kupitia dirisha la yule jambazi aliyetubu msalabani. Alisema tu "Unikumbuke katika ufalme wako" hapohapo akapata fursa hiyo wala hakuekuendeshwa sala ya toba na mwokozi.
Hakulisti maovu yake. Na wengi wanapokaribia kufa hutoa kauli za namna hii na Mungu huwa anawapa nafasi.
Walokole, watu wa dini sana na wafiadini mbalimbali wengi watapata shida kwa sababu ya kiburi na kujihesabia haki. Wengi wamedanganywa kuwa hawana dhambi hivyo atakufa kama mtakatifu bila kuomba rehema na msahama mwisho wa siku inakula kwake. Hawa ndio Yesu atawakataa, kusema siwajui.
Kitu cha kujifunza. Pamoja na mambo yako yote, usisahau kumwambia Mungu akukumbuke, akupe rehema zake. Hata ukibanwa kwenye engo ambayo opsheni yako ni kifo tu. Ingia kifona na kauli hii Mungu unikumbuke katika ufalme wako.
Ni hilo tu mkuu.
Fanyia kazi litakusaidia.
Nakumbuka ajali moja ya Bajaji abilia wote walikuwa wamelewa chakali lakini wakiwa majeruhi walikuwa wanatubu na kumuomba Mungu fasta kabla hawajadedi mmoja baada ya mwingine.
Hawa wengi wataingia mbinguni kupitia dirisha la yule jambazi aliyetubu msalabani. Alisema tu "Unikumbuke katika ufalme wako" hapohapo akapata fursa hiyo wala hakuekuendeshwa sala ya toba na mwokozi.
Hakulisti maovu yake. Na wengi wanapokaribia kufa hutoa kauli za namna hii na Mungu huwa anawapa nafasi.
Walokole, watu wa dini sana na wafiadini mbalimbali wengi watapata shida kwa sababu ya kiburi na kujihesabia haki. Wengi wamedanganywa kuwa hawana dhambi hivyo atakufa kama mtakatifu bila kuomba rehema na msahama mwisho wa siku inakula kwake. Hawa ndio Yesu atawakataa, kusema siwajui.
Kitu cha kujifunza. Pamoja na mambo yako yote, usisahau kumwambia Mungu akukumbuke, akupe rehema zake. Hata ukibanwa kwenye engo ambayo opsheni yako ni kifo tu. Ingia kifona na kauli hii Mungu unikumbuke katika ufalme wako.
Ni hilo tu mkuu.
Fanyia kazi litakusaidia.